Mkuu swala siyo kumuombea...kama unaweza ongea na Membe akamfanyie kampeni huko kunako...maana hizi kazi ni za kupigiwa kura...siyo za kuteuliwa... Sasa mkuu utachaguliwa bila kampeni? Harafu huyu bwana kuna thread yake hapa tulishamjadili na wenye mapenzi mema kama wewe walishajitoa kumuombea dua...mimi nilisema TZ itumie diplomacia yake kumfanyia kampeni..sijui tulikoishia...
Watanzania tuwe makini sana tuache hizi longo longo za"kuomba dua" lets do the walking. Unajua Warioba alikosaje re-election ya ile mahakama ya UN kule Hamburg 1999? Bongo walikaa kimya wakiomba dua mzee apate nafasi baadala ya kumfanyia kampeni! na mzee wa Cape Verde Mh. Jesus akalamba nafasi yake kama hana akili nzuri..watu wakabaki wanaulizana..oohh Warioba maarufu nk..ukweli ni kwamba DUA hazitoshi..tufanye kazi.
Huyu bwana hiyo nafasi nadhani hawezi shinda maana African Union walishampendekeza jamaa wa Egypt.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.