Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mwenzenu muoga lakini nasikia hawa watu ni maarufu humu mjini ni couple, sasa huyu mume ameacha chakula ya mtoto wake inaangaliwa na kila mtu sijui ndio fashion!!!
0 Reactions
36 Replies
6K Views
jamani me huyu mtengeneza nyimbo wa fish crab studio (producer) me naona kazidi kila nyimbo anayotengeneza lazima atokee kwenye video yake.sasa nini anajitangaza kwa njia hiyo au ndo...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Nijuzeni jamani, hii style ya kuachia nywele za kwapa ni fashion au uchafu?kama ndio fashion imeingia niambieni ili na mimi nianze kufuga zangu,maana kama mnavyojua tunaiga maselebu
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Great thinkers get me clear on this
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Huyu msanii alikua anakuja vizuri sana katika vipindi vya ITV na baazi ya picha alizocheza japokua sinyingi lakini movi yake yamwisho niliyoiona nilimuonea huruma tayari walianza kumwelekeza...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
"The View" co-hosts Whoopi Goldberg and Joy Behar stormed off the set Thursday during a contentious interview with Fox News host Bill O'Reilly. As the cast debated whether there should be a...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
I have the tower ... Mukesh Ambani's $1bn pad, pictured under construction World’s first $1billion pad By MARTIN PHILLIPS Published: Today Add a comment (44)...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
The Facebook phenomenon strikes again, this time helping catapult two new 20-somethings into the ranks of America's richest for the first time and bringing down the average age of America's...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
WanaJF, hivi wale wafadhili wa klabu ya Simba miaka ilee bwana SHAFI BORA na AHMED BORA wapo wapi siku hizi? Maana wametoweka katika anga la futiboli
0 Reactions
0 Replies
3K Views
wakuu, kuna uvumi kwamba anti ezekiel ataolewa hivi karibuni!!! ni vema ikajulikana ni nani atakayefaidiana unyumba na celebrity huyu maisha yao yooooote!!! mkuu yeyote atakayekuwa na habari za...
0 Reactions
48 Replies
30K Views
nimepata kumwona kwa mara ya kwanza kwenye filamu ya kanumba iitwayo the village pastor akishiriki kama mama mchungaji. lakini kwa habari nilizopata sehemu nyingine, sasa inaniwia vigumu kujua...
0 Reactions
23 Replies
16K Views
wapendwa mkisehrekea sikukuu ya mmungwana napenda niwape pongezi zenu mnavyojitahidi kupigana na maisha kwa upendo na kushirikiana huku mkizitunza siri zenu moyni ...mnapendeza naomba tuwapongeze...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kwa ambao wamekuwa wakifuatilia harakati za huyu mama watakubaliana nami kuwa haogopi kulisema linalokuwa moyoni mwake. Nimemikia alivyorekodiwa na EA radio akikemea tamko la wajeshi na kuwaponda...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Pamoja na umbile lake hilo lakini na mvuto wa kipekee...
0 Reactions
36 Replies
15K Views
MFANYABIASHARA wa madini amejikuta akimkimbiza majambazi akiwa uchi baada ya majambazi hao kumpora madini ya dhahabu, fedha taslimu, gari na bastola yenye risasi 24. Mfanyabiashara huyo...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
If it changes your life, let it. Kiss slowly. Forgive quickly. God never said life would be easy. He just promised it would be worth it. Today is Sister's Day. Send this to all your...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani kuna mtu ali tag picha hii kwenye profile ya Lamar kwenye facebook. http://www.facebook.com/dellye?ref=pymk#!/photo.php?pid=5803822&id=599180739&ref=fbx_album So inamaanisha Kwamba jamaa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
usiku wa kuamkia leo tar 3 oct kituo cha star tv walikuwa wanafanya marudi ya shivdano la miss tz 2010,kile kipengele cha yule miss aliyezomewa tokana na kumfagilia jk wamekiondoa,hivi wanafanya...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
On 21st August 2010, while at the Ogus Baba Laugh Goes On comedy club in Port Harcourt, Big Brother Revolution winner, Kevin Chuwang Pam and his lady friend, and Revolution contestant Elizabeth...
0 Reactions
36 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…