usiku wa kuamkia leo tar 3 oct kituo cha star tv walikuwa wanafanya marudi ya shivdano la miss tz 2010,kile kipengele cha yule miss aliyezomewa tokana na kumfagilia jk wamekiondoa,hivi wanafanya hayo kwa maslahi ya nani haswa?wanatufanya sisi ni mandondocha?