Kwa ambao wamekuwa wakifuatilia harakati za huyu mama watakubaliana nami kuwa haogopi kulisema linalokuwa moyoni mwake. Nimemikia alivyorekodiwa na EA radio akikemea tamko la wajeshi na kuwaponda waandishi wa habari makanjanja. Haki nimemkubali!
Mimi nadhani huyu mama sio mkakamavu bali ni shujaa na mzalendo kiingetreza COURAGEOUS AND A PATRIOT!!
ndio nani huyu?
U.S Ambassador Alfonso E.Lenhardt,presents the 2010 Tanzania Woman of Courage award to Ananilea Nkya for her efforts to preomote equality,opportunity,and justice for Tanzanian Women and girls.
Ananilea Nkya is a journalist and the Executive Director of Tanzania Media Women Organization (TAMWA).