Naomba kuelimishwa vitu gani vinamfanya mtu kuwa Celebrity?

Vaa cheni kubwa ya silver shingoni,ma pete makubwa mkononi,hereni masikioni.vaa jinsi kata **** ya kupauka na raba. Tshirt ya kubana.CLUB MAARUFU NA UZINDUZI WA ALBUM USIKOSE
 
Vaa cheni kubwa ya silver shingoni,ma pete makubwa mkononi,hereni masikioni.vaa jinsi kata **** ya kupauka na raba. Tshirt ya kubana.CLUB MAARUFU NA UZINDUZI WA ALBUM USIKOSE kuhudhuria
 
publicity, i mean kuwa popular in whatever the case be it positive or negative.
 
Kwa wanawake ukiolewa na mzungu ni moja ya sifa muhimu.kwa wanaume sifa ni nyingi sana nyingine nzuri na nyingine mbaya naogopa kuzitaja naweza kula ban ya nguvu lakini najua umeshaelewa.
 
kuwa playboy
kuwa mamahur...
jifanye unaish ki brokyln kumbe we tandale product....
nyodo +dharau hommies wote wa zaman unawapotezea wasje wakakushusha hadhii.
kujichubua kdg hasa kwa mwanaume , mwanamke ni kawaida
unashnda masak unalala segerea
kusuka nywele(kwa mwanaume)
ONGEA NONSESE sjawai kuta macelbrty wakiongea sense zaid ya mafagio+kujikweza(ni wachache sana wanaobakia kuwa wao)
dah nilimit na msanii mmoja iv ambaye nilisoma nae vosa kipnd iyo wakawa wamekuja mabibo hstl kuekt basi nkamshobokea eehhhhh stv jaman mambo ?ahhh akanipandsha akanishusha as if kaona ghost dahh nkajiona nyaa cz he was 2low wakat ametoka kashozi uko na kuish tandika devis kona pale na lafudhi yake ya kihaya ..mmoja wa marafiki zangu ndo alikuwa amemleta shule pale bas ikabd nae awe mshkaji tu ..stor ,kusoma..mmh alivyojifanya haniju skuzile afta kuwa staa bas ahh namwona MSHAMBAAAAAAAAAAAA na ivi kajichubua skuiz ahh ndo kabisa!
thou nampa hngera kwa kaz nzuri anayoifanya bt namwona mshambaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!
 
Back
Top Bottom