wadau leo mchana msanii wa muziki Bob junior amekiri live kwamba alilipwa m7 cash ili amfanyie shoo kigogo mkubwa wa kike hapa nchini ambaye ni mwanasiasa mkubwa anayeishi masaki tena wakiwa...
...Kuna taarifa zimeanza kusambaa kuwa VODACOM-Tanzania inaweza ikajitoa kudhamini Miss Tanzania muda si mrefu watatoa taarifa rasmi.Akiongea Meneja Masoko wa Vodacom ndugu George Rwehumbiza...
Jcb leo azingua stagini baada ya kupanda jukwaani soweto na kusema hataki ma underground kupanda jukwaani wala kumpa hi., hali hiyo imeleta purukushani kubwa hadi watu kutupa mawe jukwaaani...
Nimekutana na ferooz leo nimefurahishwa sana na mwenendo wake veeery calm guy down to earth hataki makuu kabisa....nadhani muda ni muafaka sasa kwa wenzake kuiga mfano wa kijana huyu
dizain kuna ngoma kali hivi inahit siku hizi mdundo wa kwaito afu chorus yake inaimbwa na madem wanaitikia "facebook"nataka nijue jina la msanii na jina la nyimbo hiyo
...Wakuu kama wewe ni mpenzi wa comedy hasa za kibongo utakubaliana kundi la comedy linalorusha vipindi vyake kila alhamisi kuanzia saa 1 usiku ni noma..jamaa ni talented na wanajua kuchekesha...
HIVI karibuni kulikuwa na shangwe, hoihoi nderemo na vifijo pale muigizaji nyota wa filamu wa Nigeria, Chinedu Ikedieze, maarufu kwa jina la Aki (33), alipofunga pingu za maisha na mrembo Nneoma...
Huyu jamaa (Manji) aliwagombanisha hawa vijana(Orijino Comedi, Masanja Mgandamizaji ) na mheshimiwa Mengi akawatoa Channel 5 kwa mbwembwe na trip ya UK na mishahara mizuri, hadi ikafikia hawa...
Jay-Z has said he would stop using the word 'bitch' after he and Beyoncé Knowles had a daughter, Blue Ivy Carter. Photograph: Reuters/Corbi
Nilifikiri heshima hahitaji hadi ulizwe au utishiwe...
Jana kwenye mazishi ya Mh Sumari nilimshuhudia Mengi Akiwa na Jackline Ntuyabaliwe kama mtu na mkewe.Sielewi huyu mzee anafundisha nini vijana wa taifa hili bila hata aibu,age difference ni mtoto...
Heidi Klum and Seal -- are they splitting up? That was the question over the weekend, and on Sunday the couple confirmed the news: After seven years together, they are calling it quits.
"We...
Supermodel Heidi Klum and singer Seal were reported to be heading for divorce, but yesterday's rumours have taken a more positive turn overnight, with claims the couple haven't split yet...
Ndugu zangu leo nimepita kwenye FaceBook wall ya Nnape Nnauye nimekuta amejipachika jina la Nape Nnauye (Mtoto wa Kuli). Kwa kuwa mimi nilipata kumjua vizuri Baba yake, Mzee Moses Nnauye na kazi...
By Kat Giantis
Ouch. This one truly hurts. TMZ claims that Heidi Klum is about to file for divorce from Seal after nearly seven years of seemingly head-over-heels togetherness. Word is, she could...
Chiku keto aondoka la familia na amesema wazi kuwa chidi ndio chanzo kwenye mpango mzima wa yeye kuondoka., kwamba chidi hajui management na pia si muwazi., sasa hivi la familia ina watu wawili...