sikiolakufa
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 411
- 54
Tumwombee msanii nyota amepumzika sasa kwa masharti ya daktari ili isitokee tena miscarriage kama hapo awali....
amesubiri sana bwana hadi watu wanamuita majina ya ajabu!!
source????
acheni kumuumiza dada wa watu,sidhani kama huo ujauzito anao....
Wewe mwana familia wa JD au jirani mwema?Tumwombee msanii nyota amepumzika sasa kwa masharti ya daktari ili isitokee tena miscarriage kama hapo awali....
Tumwombee msanii nyota amepumzika sasa kwa masharti ya daktari ili isitokee tena miscarriage kama hapo awali....