Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

habari zenu wanajamvi... kwa wale wapenda hip hop sidhani kamakuna mtu hawajui hawa jamaa i.e tamaduni music..hawa jamaa nadhan ndo the best hip hop crew alive hapa bongo na nadhan ndo wenye...
1 Reactions
7 Replies
6K Views
huyu bwana mdogo nakumbuka enzi za miaka ya 2000 katikati alikua anaendesha vipindi vya watoto ITV...naona sasa yupo meneja uhusiano NBC..nimependa ukuaji wake...au ni mwingine?
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Huyu jamaa nilianza kumkubali tangu ngoma yake ile ya napata raha. Then nikamsikia kwenye chorus kadhaa za kwenye baadhi ya hit songs, ila hii ngoma yake mpya 'Uzuri wako' ni kali kuanzia audio na...
0 Reactions
13 Replies
7K Views
  • Closed
Huyu jamaa aache kujipambanisha na jide,kwanza hata tuzo ya kushirikishwa ajapata,sasa anapiga makelele ya nini??,kama yeye anajiona bora sana si angepata tuzo ya mwana hip hop bora???,mwana fa...
1 Reactions
42 Replies
7K Views
Wakuu hawa jamaa ni wakali wa muziki hapa kwetu Tanzania. Hawa jamaa pia ni wakali wa kutupia pamba kali zinazowapendeza. Wewe binafsi kura yako utampa nani kati ya Jux Vuitton na Diamond Platnumz...
0 Reactions
14 Replies
15K Views
Salute, Wimbo huu wa wanafamilia kutoka chama la weusi ni wimbo ambao ni wa ukweli kuanzia kwenye beat mpaka jinsi jamaa walivyo flow kwa kifupi ni ngoma kali sana. Lakini tukiangalia kwa jicho...
0 Reactions
10 Replies
8K Views
Msanii wa miondoko ya hip hop alimaarufu Daz Mwalimu au daz baba...amechanganyikiwa na kuwa kichaaa hii inavyosemekana ni kuwa ni bangi na utumiaji wa madawa ya kulevya. Inavyosemekana alianza...
1 Reactions
18 Replies
10K Views
Na hizi ni takwimu zilizo kwenye youtube account ya Diamond pekee. THANX FANS WA KWELI..WCB FOR LIFE.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Madee na nyumba yake ya kujikweza!!ni kweli gharama yake inaweza kufika milioni 125? dj-sek.blogspot.com/2013/09/madee-atumia-mil-125-kujenga-nyumba.html?m=1
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naomba mnisaidie ili nijue ipi radio kubwa kuliko nyingine,ili baada ya hapo nifanya maamuzi sahihi
0 Reactions
10 Replies
3K Views
MWANAMKE anayedaiwa kufunga ndoa ya siri na mchekeshaji mahiri Bongo, Amri Athuman maarufu kama Mzee Majuto au King Majuto, Rahma Abdallah (20), ameibuka na kudai kutelekezwa na mumewe huyo...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
Dogo ameandika tweets ambazo,zimechefuwa watu wengi,KADISS ELIMU na SHERIA za MAREKANI. source-- http://newztanzania.blogspot.com/2013/09/wamarekani-wachukizwa-na-hizi-tweet-za.html
0 Reactions
0 Replies
2K Views
MWANZONI MWA MIAKA YA 2000 hawa majama hakuna anaebisha walikua on fire mbaya hebu leo tujikumbushe ama tuulizane kati ya ALWAYS ON TIME (JARULE) VS iN DA CLUB (50 CENT) ni wimbo upi ulikukosha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wadau naomba 2kumbushane kidogo ktk hili.hivi kund la kwanza unit lilikuwa linaundwa na wasanii wangap?majina yao ikibidi.walliohai ni wangap na wanafanya nini hiv sasa? ?
0 Reactions
21 Replies
12K Views
moja ya sifa ya huu mziki ni majibzano katika nyimbo. mmoja akitoa line flani mwngne anaijbu,either kwa kusuport or kuipinga. .1.'hata kwa biti ya kapuka ntapga michano ya hiphop by mwanafa na...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Wadau hebu tuambiane ukweli,uyu mwanadada Irene Uwoya anapita nyumba kwa nyumba akitoa ushauri ili tupate jamii bora yenye kuendana na karne ya 21,akipewa ubunge viti maalum...
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Anafahamika kama A.Y katika tasnia ya muziki lakini birth certificate anajulikana kama Ambwene Yesaya ni moja kati ya wasanii wanaojua nini wanafanya katika game ya muziki na kuweza kufanya...
0 Reactions
28 Replies
8K Views
Huyu jamaa ukisikiliza mistari yake zinatia moyo huwa anazungumzia sana maisha,,......naona kama anamfunika hata Stamina. Au nakosea?
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Katika songi Jipya la Diamond " Mwisho anamalizia na msemo "Watuache Tulale" Neno ambalo Penny alimwambia Wema by the time wanaongelea issue ya kurekodiwa The guy knows how to Apply real life...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
chanzo kilianzia pale alipodai kuibia nyimbo ya nataka kulewa kuanzia imekua ni vita ya maneno patashika nguo kuchanika kalia kuliko zote ni juzi pale kwenye show ya fuse odg aka mzee wa azonto h...
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Back
Top Bottom