Watanzania hawadanganyiki wanataka vitendo ccm haiwezi kuwaambia wananchi kila cku maisha bora kwa kila mtanzania wakati maisha magumu kila kukicha.Na wataenda kuchukua hizo kanga na tsh 5000 zao kwani watu wanashida lkn mwisho wao umefika hakuna binadamu wa tanzania asiyeifahamu ccm kwa hiyo hawahitaji kuwashawishi watu kwa maandamano na mikutano bali watekeleze ahadi zao za maisha bora kwa kila mtanzania.