Mbimbinho
JF-Expert Member
- Aug 1, 2009
- 8,316
- 7,734
mie nitaenda kwenye mkutano kama tu haya yatafanyika
1.jk kujiuzulu urais
2.mkapa na watu wake wakamatwe wawe gerezani kabla ya kesho
3.mawaziri wote walio ondolewa kazini wafunguliwe mashitaka
4.washushe bei ya vitu mara moja kama umeme sukari ada za shule
5.wafute ukuu wa mkoa na wilaya
6.wauze shangingi zote
.
.
.
.
.
.
.
That's new way to say I WON'T GO coz what you said is more than impossible to happen.