BIG Banned
JF-Expert Member
- May 4, 2012
- 262
- 71
CCM nao wameamua kufanya mkutano Viwanja vya Jangwani jijini Dar jumapili hii ili kushindana na Chadema, kwani wengi wa wanachama wao wamelalamika sana kuona Chadema imejaza watu sana kwenye mkutano wao wa M4C wiki iliyopita.
Je, wana JF hili limekaaje la Chama cha Mapinduzi kutaka kushindana na CDM?
Yasemekana mkutano huo utahutubiwa na Mwenyekiti wa Chama chao yaani J.K mkuu wa nchi.
Tunaelekea wapi?
Nawasilisha.
Unamaanisha Chadema[SUP]2[/SUP]