utafiti

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. D

    Utafiti rushwa ya ngono wa TAKUKURU haukufanyika kisayansi

    Mimi ni mmojawapo wa watu waliosoma kwa undani taarifa ya Utafiti (si uchunguzi) ya Rushwa ya Ngono katika vyuo vikuu vya Dar es Salaam na Dodoma iliyotolewa na TAKUKURU. Ni jambo la kufurahisha kuona taasisi za serikali zinajua umuhimu wa kufanya tafiti ili kufikia malengo yake. Hivyo huu ni...
  2. Bujibuji Simba Nyamaume

    Utafiti: Kahawa huongeza hamu ya wanawake kufanya mapenzi

    Imethibitika Kahawa huwaongezea wanawake ashki ya kujamiiana..! Watafiti hivi sasa wanasema huenda wanaume wanaowategemea wanawake wanywe pombe kwanza ili iwe rahisi kwao kuwakubali, hawana haja ya kufanya hivyo. Hawana haja ya kufanya hivyo kwa sababu, imebainika kwamba, kahawa inafanya kazi...
  3. J

    Uchaguzi 2020 Askofu Gamanywa: Nimefanya utafiti wa soko la almasi na Tanzanite huko Ulaya, tumeibiwa sana Rais Magufuli ni Mwokozi

    Askofu Gamanywa amesema Tanzania imeletewa Rais Magufuli na Mungu ili aikomboe kutoka mikononi mwa mabeberu. Gamanywa amesema baada ya kufanya utafiti huko Ulaya amegundua mabeberu wametuibia sana na Rais Magufuli ameletwa na Mungu kuja kutuokoa watanzania. Gamanywa alikuwa katika majadiliano...
  4. W

    Idadi ya wabunge tarajiwa ACT-Wazalendo inawabeba dhidi ya CHADEMA Bungeni, kama Zitto akishinda Ubunge kuwa KUB

    Ndugu zangu, Hii inatokana na uzoefu wa kura za Wazanzibar hususani wapemba ambao hupiga kura kutegemea chama anachotoka Maalim Seif. Kama hali itakuwa hivyo ACT wana uhakika wa wabunge angalau 20 kutoka Zanzibar kitu ambacho CHADEMA au chama kingine hakiwezi kupata wabunge kumi (10) nchi...
  5. Course Coordinator

    Uchaguzi 2020 Taasisi iliyokusanya maoni ya mgombea wa CCM kushinda uchaguzi mkuu kwa asilimia 85, inachekesha na kusikitisha

    MAANA YA UTAFITI Utafiti ni njia ya kupata utatuzi wa suala fulani katika jamii na mazingira ya binadamu kwa njia ya uchunguzi unaotumia nadharia za kitaaluma na kisayansi. Aidha utafiti ni njia maalum inayofuatwa ili kufikia ujuzi au taarifa muhimu inayokusudia kuchangia katika usomi wa kina...
  6. The Sheriff

    UTAFITI: Mgodi Petra washutumiwa kupiga watu risasi na kuua, kuendesha kituo cha utesaji mgodini na kuwafunga pingu wagonjwa hospitali ya Mwadui

    Taarifa ya RAID, shirika lisilo la kiserikali lenye makao yake nchini Uingereza ambalo linajishughulisha na kufichua ukiukwaji wa haki za binadamu, limebaini kutendeka kwa vitendo vya kidhalimu katika Mgodi wa Petra Diamonds uliopo Shinyanga Kwa mujibu wa taarifa yake, shirika hilo limefanya...
  7. Infantry Soldier

    UTAFITI WANGU: Kwanini wanafunzi wengi (jinsia zote) wenye maendeleo mabaya shuleni huwa ni watu wa kujituma sana katika shughuli ngumu za nyumbani?

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums. Sio kila siku tunapaswa kuandika, kusoma na kujadili makala zinazohusiana na masuala ya kizungu kama Cold War, jeshi na ujasusi wa KGB, CIA na Mossad. Leo ngoja tujadili kidogo masuala ya kimaisha katika jamii zetu hizi tunamoishi. Ndugu zangu...
  8. britanicca

    Utafiti wangu Binafsi, Taasisi zinazoongoza kwa Rushwa

    Nashangaa tunajiulize kwanini hasa Tanzania rushwa haikomi Utafit mdogo niliofanya ni huu 1. POLISI TANZANIA Hapa wanaongoza kwa kutengeneza mazingira ya Rushwa. Ukiwa na kesi inayohusisha madai au Jinai lazima wale pande zote mbili, Pia kuna hawa askari wa Usalama Barabarani, nao kila ukipita...
  9. Miss Zomboko

    Utafiti: Joe Biden (Democrat) ana nafasi ya kushinda katika Uchaguzi wa Marekani kwa 71.1%

    Joe Biden stands a 71.1% chance of winning the Electoral College, according to the Sept. 7 run of poll aggregator FiveThirtyEight’s election forecasting model. He is predicted to win 334 of 538 electoral votes. The model estimated Donald Trump’s chances at 28.4% According to the Sept. 7 run of...
  10. beth

    UTAFITI: Marais Wanawake waongoza kudhibiti maambukizi ya COVID19 duniani

    Tofauti na matarajio ya wengi, utafiti uliofanywa na Shirika la Centre for Economic Policy Research na Jarida la World Economic Forum umebaini kuwa mataifa yanayoongozwa na wanawake yana kiwango kidogo cha maambukizi na athari zinazotokana na ugonjwa wa homa kali ya mapafu, COVID-19...
  11. Titicomb

    Kipigo alichopewa Aikande Clement Kwayu toka kwa watanzania sababu ya utafiti wake bandia hatakisahau

    Aliandika maoni yake akayaita utafiti akarusha mitandaoni na watanzania wakamjibu vizuri sana nahisi sasa atajua watanzania wa sasa si wale aliowaacha alipoenda ughaibuni. Kichwa cha habari na mambo aliyoyapa kipaumbele zaidi ya 85% kwenye andiko lake hayahusiani na kichwa cha habari yake...
  12. B

    Uchaguzi 2020 Utafiti unaonyesha baadhi ya majimbo kura za maoni za CCM hazikuwa za siri tena, waliotoa rushwa waliwatisha wapiga kura endapo wasingewachagua

    Baadhi ya wana CCM wamekipaka matope sana chama chetu sababu ya ubinafsi wao. Kilichotokea kwa baadhi ya majimbo husuani Sengerema ni aibu. Mabepari na watoa rushwa hasa jimbo la Sengerema waliwahonga wapiga kura kila kata. Masharti yalitolewa kwa makatibu kata na viongozi wengine wanapokwenda...
  13. Herbalist Dr MziziMkavu

    Matatizo yanayo husiana na maradhi ya figo na ufumbuzi wake

    Ugonjwa wa figo Figo ni ogani inayoshirikiana na moyo. Kuathirika kwake kuna athari kubwa kwa mfumo wa damu na mapigo ya moyo. Magonjwa sugu ya figo hutokea pale ogani hiyo inapopoteza uwezo wa kutenda kazi zake kikamilifu. Tatizo huanza taratibu na kudumu kwa muda mrefu hadi kuonyesha dalili...
  14. Analogia Malenga

    WHO kuzifanyia utafiti dawa za mitishamba juu ya COVID-19

    Shirika la afya ulimwenguni (WHO) na kituo cha udhibiti wa magonjwa barani Afrika CDC yameanzisha juhudi kuangalia uwezekano wa madawa ya mitishamba katika kupambana na janga la Virusi vya Corona. Jopo hilo jipya la ushauri litaunga mkono nchi katika majaribio ya kitabibu, utafiti...
  15. Civilian Coin

    Somo zuri sana kwa Wanamuziki wenzangu"Factor Affecting Music" utafiti uliofanyika Uganda na kuletwa na Don Nalimison

    Pitia Reseach hii ili kuboresha muziki wako, imeletwa kwenu na Don Nalimison kwa maslahi ya Wanamuziki wa Tanzania.(PDF) ya chini. I real Congrats CATHERINE KUTEESA from UGANDA for her Dissertation which is Salvation and Revolution in East Africa Musicians. "FACTORS AFFECTING MUSIC PUBLISHING...
  16. M

    Uchaguzi 2020 Kwenye mitandao ya kijamii na mtaani, Membe hakubaliki

    Napenda kuwajulisha wapinzani wa kweli kuwa nimefanya utafiti wangu usio rasmi. Nimejaribu kupita Facebook, tweeter, Instagram na humu JF na kwenye vyombo vya usafiri nakugundua kwamba wananchi wengi walio upande wa upinzani hawakubaliani na ujio wa Membe. Hoja yao ya msingi ni kwamba Membe...
  17. FrankLutazamba

    Utafiti katika Lugha ya Kiswahili, Nimegundua kati ya maelfu ya maneno ya Kiswahili kuna neno moja tu linaloundwa na irabu pekee

    Nimegundua kati ya maelfu ya maneno ya Lugha ya Kiswahili kuna neno moja tu la ilabu tupu nalo ni UA, kwa kumbushia tu, ilabu ni a, e, I, o, u. Na herufi zote zilizobaki ni konsonati, na ili neno liwe neno lazima uwepo mchanganyiko wa konsonati na ilabu mfano Uzi, hapo tunaona z ni konsonati...
  18. FRANC THE GREAT

    Mwezi una umri mdogo kuliko tulivyodhani! Je, unaamini?

    Habari! Mara nyingi tumekuwa tukijiuliza maswali mengi kuhusiana na masuala mbalimbali yahusuyo Mwezi. Sio ule wa kwenye kalenda bali huu tuuonao angani karibu kila iitwapo leo hasa nyakati za usiku. Yeah, huohuo kama duara fulani linalong'aa. Kwa muda mrefu sasa tafiti mbalimbali zimekuwa...
  19. Nancyjoa13

    Maziwa yanayotokana na korosho kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo, Naliendele

    Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama maziwa yanayotokana na korosho wakati alipotembelea Taasisi ya Utafiti wa Kilimo, Naliendele, Mtwara, Julai 7, 2020. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Gelasius Byakanwa. WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Tano inayoongozwa na...
  20. Kiboko ya Jiwe

    Utafiti: Wafanyakazi wanaolipwa maslahi duni ndio wanaoihujumu kampuni au serikali iliyowaajiri

    Habari wakuu! Uzi huu nimeuleta kwenye jukwaa la siasa ili ikiwezekana viongozi angalau wawili watatu wauone huenda wataamka. Binafsi ajira yangu ya kwanza ilikuwa mgodini Bulyanhulu as security officer 2014-15. Kisha nikaacha kazi kwasababu zangu binafsi then nikaajiriwa na four Seasons...
Back
Top Bottom