bujibuji

  1. Bujibuji Simba Nyamaume

    Waraka wa Mwinjilisti Bujibuji kwa wana JamiiForums wote. Soma ufaidike na hekima ya Simba Nyamaume

    Dondoo za maisha: 1. Usiwakopeshe ndugu zako. Wasaidie. ¹ Ndugu zangu wapendwa katika jamvi hili adhimu la JamiiForums nawausia, usimkopeshe nduguyo, msaidie. ²Kuna ndugu wazandiki wenye husda, anakuja na gia ya kukopa, kumbe hana nia ya kurudisha, usimkopeshe, mpe aende. ³Leo familia nyingi...
  2. TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

    E FM wachukueni Bujibuji, Mshana Jr na GENTAMYCINE, radio itabadilisha direction na kuleta ubunifu mpya

    Hebu fikiria hapa una GENTAMYCINE , kushoto una Mshana Jr na katikati kakaaa mkaka wa haja, Bujibuji Simba Nyamaume , Simba halisi wa kiume. Watu wanataka kusikia madini, fanya mabadiliko bro Majizo
  3. Superbug

    Wapare tunajivunia Mshana, Wanyakyusa Bujibuji, Wahaya GENTAMYCINE na Wasukuma Paskal Mayala

    Sisi wapare wa jf tunajivunia Mshana Jr wanyakyusa wanajivunia Bujibuji Simba Nyamaume wahaya wanajivunia GENTAMYCINE na wasukuma wanajivunia Pascal Mayalla. Ni hayo tu kwa leo.
  4. TAJIRI MKUU WA MATAJIRI

    Bujibuji usijaribu kununua vita isiyokuhusu, utapata shida sana kushinda.

    Bro huu ni ujumbe kwako, malaika wa mtu ni mtu. Malaika walisha acha kushuka zama za bikira Maria, Yesu alipoacha msaidizi, wasaidizi ni sisi wenyewe binadamu. Nimeona kuna uzi mmoja umesema unataka kumvusha mtu mmoja, Broo, ngoja nikupe darasa ambalo hulijui. Umaskini ni laana, laana hii...
  5. Sky Eclat

    Bujibuji ninakusalimia kwa jina la JamiiForums

    Bujibuji Simba Nyamaume Mwalafyale wewe ni mwenye kiti wa mtaa, unapoondoka bila taarifa kero za mtaa wetu tuzipeleke kwa nani. Nyamaume ulipita kwa kura zote japo kulikua na figisu lakini ushindi wako ulikua bayana mpaka wale waliokata pumzi ilibidi wakuapishe. Kama uko salama huko ukoko...
  6. Jemima Mrembo

    Happy birthday kwako mwana JF, Bujibuji na wote mliozaliwa leo

    Bujibuji najua huwa hupendi personal life iwe exposed, lakini kwa umuhimu wako hapa Jukwaani, niona nikutakie heri wee na Wana JF wote mnaoadhimisha siku yenu ya kuzaliwa leo.
  7. Kiranja Mkuu

    Ana kwa ana Bujibuji na Mshana Jr

    Nadhani hujabahatika kukutana na magwiji Hawa wawili wakiwa nje ya jukwaa letu pendwa. Jumamosi iliyopita nilibahatika kuonana nao mitaa ya Kasumulo wakijiandaa kuvuka mpaka kwenda Lilongwe, hakika ilikuwa ni shangwe Sana.
  8. Herbalist Dr MziziMkavu

    LHRC, Amnesty International wataka Mbowe aachiwe na uhuru wa kisiasa uheshimiwe Tanzania

    Mbowe pamoja na wenzake 11 kutoka chama cha Chadema walikamatwa na polisi usiku wa kuamkia Jumatano jijini Mwanza. Mashirika yanayotetea haki za binadamu yameikosoa vikali hatua ya Jeshi la Polisini nchini Tanzania ya kuwakamata baadha ya viongozi wa chama cha upinzani nchini humo Chadema...
  9. Herbalist Dr MziziMkavu

    Athari tano za kiuchumi zinazoweza kutokea baada ya kuongezeka kwa tozo za miamala ya simu Tanzania

    Hii leo, Julai 15 2021 gharama ya miamala ya fedha kupitia mitandao ya simu nchini Tanzania imepanda baada ya serikali kupandisha tozo ya miamala hiyo. Sintofahamu kubwa inashuhudiwa hii leo kwa wananchi wa Tanzania ambao wengi wao ni watumiaji wakubwa wa huduma hiyo. Hali hii imepelekea maswali...
  10. Herbalist Dr MziziMkavu

    Wasafiri Uwanja wa Ndege Dar, Walalamikia utaratibu wa kupimwa corona

    Download 720 Waziri wa Afya anatakiwa kubadilisha utaratibu mbaya unaofanywa Mjini Dares-Salaam Airport. kuhusu Wageni ama sivyo Mwaka huu Tanzania itakosa wageni wengi na pato la Taifa kuhus wageni litashuka. Sikiliza hiyo video. ==== WASAFIRI katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa...
  11. mud-oil-chafu

    SQL injection..

    SQL Injection (SQLi) is a type of an injection attack that makes it possible to execute malicious SQL statements. These statements control a database server behind a web application. Attackers can use SQL Injection vulnerabilities to bypass application security measures. They can go around...
  12. Beesmom

    Hivi mtu akifariki humu mnajuaje?

    Sijaanza leo kujiuliza, hivi kwa mfano MTU akapotea ghafla katika utoaji thread,uchangiaji wa mada, tunawezaje kutambua taarifa zake. Maana sijawahi ona watu kushtuka humu ndani MTU anapopotea ghafla afu mazima. Mi naamini hata kama hatufahamiani lakini kuuliziana hali ni jambo jema na kiutu...
  13. Hplp2275H

    Throwback special thread: Hadithi na Mashairi ya zamani

    Upepo wa vuma twainama Twainama hatuvunjiki Mwalimu akisema ye hasikii Mwenye nyimbo hii na Hadithi yake atupie hapa. Jogoo wa ajabu.. Machaku na njiwa... Sungura na fisi Sitaki mbichi hizi.. Sadiki na Chitemo.. Tupia zako ..siyo tittle tuu Kama unakumbuka vizuri Ni vyema kushare nasi...
  14. Herbalist Dr MziziMkavu

    Chakula cha Wahadzabe cha matunda na nungunungu Tanzania

    Jamii ya Wahadzabe ni moja kati ya makabila yaliyobaki duniani yanayoendeleza shughuli za uwindaji, inadhaniwa kuwa jamii hii imeishi kaskazini mwa Tanzania, ikila matunda na mizizi, na aina mbalimbali za wanyama kwa miaka 40,000. Mwandishi wa BBC, Dan Saladino alikwenda kuwashuhudia...
  15. Gilbert A Massawe

    Ole Sabaya leo atakuwa live katika kipindi cha Star Tv cha Big Ajenda

    Lengai Ole Sabaya leo atakua live katika kipindi cha Star Tv cha Big Ajenda kimachorushwa Live kwanzia saa 3:30 mkapa saa 4:30 usiku Mengi yamezungumzwa ,Mengi yamezushwa ni wakati sasa wa kuendelea kumpuuza mzushi wa Vifo mtandaoni. Maendeleo hayana Vyama.
  16. Kasomi

    Ushamba wa msukuma upo wapi?

    Ninavyo mfahamu Msukuma hufanya yafuatayo; 1- Hapendi makuu ukimchokoza anasema Kaya ya Ng'wobha nayo Kaya ili siku ipite salama. 2- Hapendi Kesi, ukimdhurumu anasema Maguzu Masese ili asipoteze muda wa kufuatilia mambo ya kesi badala yake afanye kazi. 3- Hapendi kuumiza moyo kwa Hasara iliyo...
  17. Mnabuduhe

    Msaada wa jinsi ya kusamehe na kuachilia

    Habari wana JF! Mimi ni Muhanga wa hali hii nimevumilia sana lakini nimeshindwa. Juzi kuna jamaa yangu amekuja hapa kunihadithia kisa kilichomkuta maishani mwake ameshindwa kabisa kusamehe na kuachilia inagawaje anadai hana shida na watu waliomuumiza na kumpiga majungu. Baada ya kunieleza...
  18. Bujibuji Simba Nyamaume

    Msaidie Bujibuji anunue VW Polo

    Ndugu wana JamiiForums, hivi kwani maisha mazuri kaumbiwa Kiduku Lilo tu? Hata mimi napenda niendeshe gari kali ya Mjerumani VW Polo, yaani. Amaizing (hili neno hata sijui tafsiri yake). Haya sasa mpango uko kama hivi, nauza mgoma wangu huu Toyota Wish, ukiuchukua naongeza hela kuduchu tu...
  19. Bujibuji Simba Nyamaume

    Bujibuji leo niko Mwanza

    Bhing'hwe, mwo misha mola? Weekend hii nipo Mwanza, kabla sijachomoka jumatatu asubuhi na bundi wa Chato. Sii mbaya nikikutana na mwana JF hata mmoja, akiwa wa ile jinsia pendwa itakuwa poa zaidi, huenda tukaperuzi ule uzi wetu pendwa wa KULA TUNDA KIMASIHARA
Back
Top Bottom