Singapore ( (listen)), officially the Republic of Singapore, is a sovereign island city-state in maritime Southeast Asia. It lies about one degree of latitude (137 kilometres or 85 miles) north of the equator, off the southern tip of the Malay Peninsula, bordering the Straits of Malacca to the west, the Riau Islands (Indonesia) to the south, and the South China Sea to the east. The country's territory is composed of one main island, 63 satellite islands and islets, and one outlying islet, the combined area of which has increased by 25% since the country's independence as a result of extensive land reclamation projects. It has the second greatest population density in the world. The country has almost 5.7 million residents, 61% (3.4 million) of whom are Singaporean citizens. There are four official languages of Singapore: English, Malay, Chinese and Tamil. English is the lingua franca. Multiracialism is enshrined in the constitution, and continues to shape national policies in education, housing, and politics.
Modern Singapore was founded in 1819 by Sir Stamford Raffles as a trading post of the British Empire. In 1867, the colonies in Southeast Asia were reorganised and Singapore came under the direct control of Britain as part of the Straits Settlements. During the Second World War, Singapore was occupied by Japan in 1942, but returned to British control as a separate crown colony following Japan's surrender in 1945. Singapore gained self-governance in 1959, and in 1963 became part of the new federation of Malaysia, alongside Malaya, North Borneo, and Sarawak. Ideological differences led to Singapore being expelled from the federation two years later, becoming an independent country.
After early years of turbulence and despite lacking natural resources and a hinterland, the nation rapidly developed to become one of the Four Asian Tigers based on external trade, becoming a highly developed country; it is ranked ninth on the UN Human Development Index, and has the second-highest GDP per capita (PPP) in the world. Singapore is the only country in Asia with a AAA sovereign rating from all major rating agencies. It is a major financial and shipping hub, consistently ranked the most expensive city to live in since 2013, and has been identified as a tax haven. Singapore is placed highly in key social indicators: education, healthcare, quality of life, personal safety and housing, with a home-ownership rate of 91%. Singaporeans enjoy one of the world's longest life expectancies, fastest Internet connection speeds and one of the lowest infant mortality rates in the world.
Singapore is a unitary parliamentary republic with a Westminster system of unicameral parliamentary government. While elections are considered generally free, the government exercises significant control over politics and society, and the People's Action Party has ruled continuously since independence. One of the five founding members of ASEAN, Singapore is also the headquarters of the Asia-Pacific Economic Cooperation (APEC) Secretariat and Pacific Economic Cooperation Council (PECC) Secretariat, as well as many international conferences and events. Singapore is also a member of the United Nations, World Trade Organization, East Asia Summit, Non-Aligned Movement and the Commonwealth of Nations.
Kampuni ya mitaji ya Singapore, PAY imetoa dola za kimarekani milioni 320 kwa mradi wa Graphite mkoani Ruangwa unaotekelezwa na Magnis.
Kampuni ya Magnis Energy kupitia kampuni yake tanzu nchini, Uranex Tanzania Limited inamiliki mradi wa Nachu Graphite uliopo Ruangwa mkoani Lindi.
Kampuni ya...
Ndege kubwa ya abiria ya C919 ya China hivi karibuni iliwasili nchini Singapore ili kushiriki kwenye Maonyesho ya Ndege ya Singapore ya mwaka 2024 yanayofanyika siku hizi. Hii ni mara ya kwanza kwa ndege kubwa aina ya C919 ya COMAC inayozalishwa nchini kuonekana nje ya nchi. Hali hii inaonesha...
Ni jambo LA kusimitisha Sana kuona nchi ndogo kama Singapore ikiwa na uchumi mkubwa kuliko taifa lolote ndani ya bara LA Africa
Ukubwa wa Singapore ni kama tu wilaya ya kigamboni. Ina raia karibia million Sita
Uchumi wake ni gdp karibia 500 billion usd. Kwanini tunazidiwa na nchi ndogo kiasi...
Singapore’s Transport Minister S. Iswaran has resigned after being charged with corruption on Thursday, the prime minister’s office said, confirming a historic development for a city state that prides itself on having a squeaky-clean government.
The charges against Iswaran are part of the...
Ukiwa kiongozi wa nchi unapaswa kuwa vipi? Huyu hapa Waziri mkuu wa mwanzo wa Singapore Lee Kuan Yew akitoa somo kuhusu Singapore yake kwa ukali.
Hapa akiizungumzia SIA (Singapore Airlines na uongozi wake miaka ya 1980s).
Singapore Airlines sasa ni shirika bora la ndege duniani kote.
Kwa makini tumsikilize former Singapore PM Lee Kuan Yew akielezea kwa nini wakristo wameshindwa kuwafanya wachina na wahindi kuwa wakristo.
Na kwa nini pia wameshindwa kuifanya Singapore kuwa nchi ya wakristo.
Kufail kwetu waafrika na kuangukia kwenye mikono ya waislam na wakristo sababu...
Meza ya siasa na uongozi
Somo lililopo mezani je, ni mambo gani Singapore, U.S.A na China wanatufundisha sisi nchi iliyo poteza dira ?
Kwangu mimi kama tukitaka kujifunza Vyama bora vya siasa, Mifumo/taasisi imara na Bunge bora Basi yatupasa kuzama hizi nchi.
Kwa Bunge bora
Hapa tutazame na...
Namna taifa letu tunavyo liendesha ni kama wagonjwa wa akili.
Mambo ni hovyo hovyo watu hovyo hovyo wanapewa madaraka makubwa ya kujenga nchi.
Uongozi sio nguo ya ndani kwamba kila mtu lazima avae.
Tunafanya mchezo kabisa katika kujenga nchi siku tutakapo amua kuiga hata theluthi (1/3) ya...
Namna taifa letu tunavyo liendesha ni kama wagonjwa wa akili.
Mambo ni hovyo hovyo watu hovyo hovyo wanapewa madaraka makubwa ya kujenga nchi.
Uongozi sio nguo ya ndani kwamba kila mtu lazima avae.
Tunafanya mchezo kabisa katika kujenga nchi siku tutakapo amua kuiga hata theluthi (1/3) ya...
Namna taifa letu tunavyo liendesha ni kama wagonjwa wa akili.
Mambo ni hovyo hovyo watu hovyo hovyo wanapewa madaraka makubwa ya kujenga nchi.
Uongozi sio nguo ya ndani kwamba kila mtu lazima avae.
Tunafanya mchezo kabisa katika kujenga nchi siku tutakapo amua kuiga hata theluthi (1/3) ya...
Kwa nini China na Singapore zimefanya na zinafanya vyema katika mezani za kiutawala na kimaendeleo huku Afrika ikishindwa?
China na Singapore zimefanya na zinafanya vyema katika mezani ya kiutawala na maendeleo kwa sababu ya
i. Meritocracy system
ii. Accountability
iii. Rule of Law
Afrika...
Habari za leo waungwana.
Mimi nataka kuagiza used gari kutuka nje na nime narrow down kwenye hizo nchi kwani ndio nimeambiwa magari mengi yanatoka huko
Mazingatio makubwa kwangu ni Uimara, usalama na matengenezo ( japo nimeambiwa gari ambayo haijatumika sana hugharamiki sana matengezo au...
Mtuhumiwa huyo Ooi Chuen Wei, 37, ni Mwanaume ambaye alikuwa na utambulisho wa bandia katika mtandao huo amekutwa na hatia ya kuwadanganya wanawake na kuwashawishi wamtumie taarifa zao ikiwemo picha za sehemu zao za siri.
Ooi Chuen alikuwa akiwasiliana na Wanawake na kuwatumia fomu ya ujaza...
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...!
Ni kawaida kusikia Tanzania kufananishwa na nchi mbalimbali barani Afrika hasa katika nyaja za kiuchumi, kisiasa, kijamii na utamaduni. Na tumeziona nchi za Magharibi kama mfano katika nyanja hizo na muda mwingine imekuwa ngumu...
Rais wa Sri Lanka, Gotabaya Rajapaksa anatarajiwa kusafiri kutoka Maldives alikokimbilia kisha kuelekea Singapore anakotarajiwa kuwasili jioni ya leo Julai 14, 2022.
Vyanzo vya habari zimeeleza kuwa Rajapaksa alikuwa akitarajiwa kupanda ndege binafsi kwa ajili ya safari hiyo.
Upande wa pili...
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameendelea kutoa wito kwa wawekezaji kuja kuwekeza nchini kwa sababu Tanzania ina ardhi, barabara na umeme wa kutosha.
Aidha, Waziri Majaliwa pia ameiagiza Wizara ya Viwanda na Biashara kuendelea na utaratibu wa kukutana na wizara au taasisi za serikali na binafsi...
Makamu wa Rais Dr Mpango amesema ameongea na wataalamu wabobezi wa mambo ya bandari ambao watakuja nchini kuifanyia maboresho makubwa bandari ya Dar es Salaam.
Dr Mpango ambaye alikagua teknolojia za kisasa za bandari zinavyofanya kazi amesema Singapore itaboresha miundombinu na menejimenti ya...
Makamu wa Rais wa Tanzania Dr. Philip Mpango jana Novemba 16 amekutana na kuzungumza na Naibu Waziri Mkuu wa Singapore Heng Swee Keat mazungumzo ambayo yamefanyika Shenton way Nchini Singapore ambapo Dr. Mpango amemkaribisha Tanzania na kumueleza jinsi Tanzania imeendelea kuboresha mazingira ya...
16 November 2021
Singapore
Naibu waziri mkuu Mh. Heng Swee Keat akiwa na Dr Philip Mpango makamu wa rais wa Tanzania.(Picha kwa hisani ya wizara ya TEHAMA Singapore).
Makamu wa Rais wa Tanzania Dr Philip Mpango yupo nchini Singapore kuhudhuria mkutano wa kimataifa wa Jukwaa la Majadiliano ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.