Ukubwa wa Singapore ni kama Wilaya ya Kigamboni tu lakini ina uchumi mkubwa sana

ward41

JF-Expert Member
Apr 3, 2022
397
1,394
Screenshot_20240207-185757.jpg


Ni jambo LA kusimitisha Sana kuona nchi ndogo kama Singapore ikiwa na uchumi mkubwa kuliko taifa lolote ndani ya bara LA Africa

Ukubwa wa Singapore ni kama tu wilaya ya kigamboni. Ina raia karibia million Sita

Uchumi wake ni gdp karibia 500 billion usd. Kwanini tunazidiwa na nchi ndogo kiasi hiki? Hii sasa ni too much
 
View attachment 2897248

Ni jambo LA kusimitisha Sana kuona nchi ndogo kama Singapore ikiwa na uchumi mkubwa kuliko taifa lolote ndani ya bara LA Africa

Ukubwa wa Singapore ni kama tu wilaya ya kigamboni. Ina raia karibia million Sita

Uchumi wake ni gdp karibia 500 billion usd. Kwanini tunazidiwa na nchi ndogo kiasi hiki? Hii sasa ni too much
Jibu hoja why uchumi wa Singapore ni bora kuliko wa Tanzania?
 
View attachment 2897248

Ni jambo LA kusimitisha Sana kuona nchi ndogo kama Singapore ikiwa na uchumi mkubwa kuliko taifa lolote ndani ya bara LA Africa

Ukubwa wa Singapore ni kama tu wilaya ya kigamboni. Ina raia karibia million Sita

Uchumi wake ni gdp karibia 500 billion usd. Kwanini tunazidiwa na nchi ndogo kiasi hiki? Hii sasa ni too much
kwaiyo unawashauri viongozi wetu wakuu waende wakajifunze Singapore
 
View attachment 2897248

Ni jambo LA kusimitisha Sana kuona nchi ndogo kama Singapore ikiwa na uchumi mkubwa kuliko taifa lolote ndani ya bara LA Africa

Ukubwa wa Singapore ni kama tu wilaya ya kigamboni. Ina raia karibia million Sita

Uchumi wake ni gdp karibia 500 billion usd. Kwanini tunazidiwa na nchi ndogo kiasi hiki? Hii sasa ni too much
Hapo zenji muungano ukivunjika watatuzidi kiuchumi stay tuned...
 
View attachment 2897248

Ni jambo LA kusimitisha Sana kuona nchi ndogo kama Singapore ikiwa na uchumi mkubwa kuliko taifa lolote ndani ya bara LA Africa

Ukubwa wa Singapore ni kama tu wilaya ya kigamboni. Ina raia karibia million Sita

Uchumi wake ni gdp karibia 500 billion usd. Kwanini tunazidiwa na nchi ndogo kiasi hiki? Hii sasa ni too much
Na tulipata uhuru kipindi kimoja.. . Tukaungana na znz kipindi ambacho wao waliungana na Malaysia
 
View attachment 2897248

Ni jambo LA kusimitisha Sana kuona nchi ndogo kama Singapore ikiwa na uchumi mkubwa kuliko taifa lolote ndani ya bara LA Africa

Ukubwa wa Singapore ni kama tu wilaya ya kigamboni. Ina raia karibia million Sita

Uchumi wake ni gdp karibia 500 billion usd. Kwanini tunazidiwa na nchi ndogo kiasi hiki? Hii sasa ni too much

Kwani mtu mwenye pua kubwa anatoa kamasi nyingi?
 
Wametumia vizuri rasilimali yao ya bandari. Sisi tuna Tanzanite, Almasi, chuma, dhahabu, ardhi, mito, maziwa, wanyama, bahari, misitu, gesi, watu na zingine nyingi lakini tumeshindwa kuzitumia vizuri. Tungekuwa bado tupo chini ya mkoloni tungekuwa tumeendelea kuliko tulivyo sasa.
 
View attachment 2897248

Ni jambo LA kusimitisha Sana kuona nchi ndogo kama Singapore ikiwa na uchumi mkubwa kuliko taifa lolote ndani ya bara LA Africa

Ukubwa wa Singapore ni kama tu wilaya ya kigamboni. Ina raia karibia million Sita

Uchumi wake ni gdp karibia 500 billion usd. Kwanini tunazidiwa na nchi ndogo kiasi hiki? Hii sasa ni too much
Nadharia za Mwl. Nyerere alituambia ili nchi iendelee inahitaji vitu vinne - ardhi, watu, siasa safi, na uongozi bora.

I think ilitakiwa iwe ardhi, watu, elimu bora, na uzalendo.
 
Back
Top Bottom