jakaya kikwete

Jakaya Mrisho Kikwete (born 7 October 1950) is a Tanzanian politician who was the fourth president of Tanzania, in office from 2005 to 2015. Prior to his election as president, he was the Minister for Foreign Affairs from 1995 to 2005 under his predecessor, Benjamin Mkapa. He also served as the chairperson of the African Union from 2008–2009 and the chairman of the Southern African Development Community Troika on Peace, Defence and Security from 2012–2013.

View More On Wikipedia.org
  1. KAKADO

    Wanajichafua wakidhani wanamchafua

    Kumekuwa na Juhudi nyingi kufuta Mazuri yaliyofanywa na Hayati Magufuli,Jitihada hizi zinaonekana waziwazi hasa kutokutambua mchango wake kwenye Miradi aliyoiacha, Katika Daraja jipya la Wami aliloliasisi tumeona mzinduzi alivyokwepa kutambua mhasisi dr Magufuli. Katika ukaguzi Wa Meli tumeona...
  2. Inanambo

    Huduma za Afya JKCI Outpatients ziboreshwe

    Unaumwa, una appointment ya kumuona Cardiologist JKCI. Unaambiwa njoo saa 12 asubuhi. Unafika mnakusanywa kwenye mahema mnasubiri Daktari. Unapewa namba. Unaambiwa Katie Bima. Mnapanga foleni ya Bima. Saa 4 tayari huiamuona Doctor unaambiwa Yuko Wodini Bado. Unakaa unamuona Doctor Saa 7...
  3. Erythrocyte

    Uchaguzi 1995: Kumbe Jakaya Kikwete alikuwa kwenye rada za CHADEMA

    Baada ya Rais Mstaafu Jakaya Kikwete kufunguka kwamba kundi lake lilitaka kuanzisha chama baada ya kuenguliwa kugombea Urais Kupitia CCM Mwaka 1995, Gazeti la Raia Mwema linadokeza kwamba Mpango wa kundi la Boyz to Men ilikuwa kujiunga Chadema. Taarifa hii imenifanya niiamini, kwa sababu...
  4. JanguKamaJangu

    Party ya Siku ya kumbukizi ya kuzaliwa ya Jakaya Kikwete akitimiza miaka 72, Oktoba 7, 2022

    Uwanja wa Polisi Chalinze kwenye kilele cha sherehe ya siku ya kumbukizi ya kuzaliwa Rais wa Awamu ya Nne Jakaya Kikwete.
  5. R

    Kwanini Mzee Jakaya Kikwete ameteka mitandao yote leo?

    RAIS Jakaya Kikwete leo Oktoba 7, 2022 anaadhimisha miaka 72 tangu kuzaliwa kwake ni jambo la kheri na tunaungana na Watanzania wengine kumtakia kheri Mzee wetu wa Maisha Bora kwa Kila Mtanzania. Sasa Swali linakuja Tarehe ya Kuzaliwa JK inajulikana ni kwa nini miaka yote hatujawahi kuona Promo...
  6. JanguKamaJangu

    Jakaya Kikwete atahadharisha wanaokwamisha Serikali

    Rais Mstaafu Dk. Jakaya Kikwete, ametahadharisha ya watu wanaokwamisha uwepo wa baadhi juhudi za Serikali katika taasisi nyeti za umma zinazohusika na masuala ya biashara na uwekezaji. Dk. Kikwete amesema ufanyaji kazi kwa mazoea, udokozi, ufinyu wa utafiti, ubora hafifu wa bidhaa ni masuala...
  7. S

    Kwanini Kikwete hakumshauri Samia amteue Prof. Mwandosya kuwa Makamu wake wa Rais?

    Juzi hapa ilitangazwa kwamba Prof. Mwandosya ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa EWURA. Wengi walishangaa kwa nini Prof. Mwandosya kaletwa kutoka hali ambayo wengi wetu tulidhani ni ustaafu na kurudi kuwa Mwenyekiti wa EWURA. Lakini hatupaswi kushangaa. Uteuzi wa Prof. umetukumbusha pia kwamba wakati...
  8. Roving Journalist

    Marekani: Jakaya Kikwete ameshiriki katika Mkutano wa Mageuzi katika Elimu

    Mheshimiwa Dkt. Jakaya Kikwete, Mwenyekiti wa Bodi ya Taasisi ya Kimataifa inayoshughulikia Masuala ya Elimu Duniani (Global Partnership for Education) - GPE) ameshiriki katika Mkutano wa Mageuzi katika Elimu uliondaliwa na Umoja wa Mataifa, tarehe 19 Septemba, 2022 Jijini New York, Marekani...
  9. Z

    Parking Hospital za Umma na Binafsi

    Binafsi nilitembelea hospitali ya Muhimbili jana, nikiwa nimeenda pale Institute ya Jakaya Kikwete, nikakuta hamna parking kabisa nikaelekezwa kupaki upande wa clinic ya watoto. Na kufika upande huo nikakuta parking zilizopembeni ya jengo zote ni za staff, sisi wengine tunapaki nyuma huko karibu...
  10. Mystery

    Maoni kuhusu Katiba mpya ya Jakaya Kikwete, kwanini hayajawa ya uwazi kama ya Jaji Othman Chande?

    Jakaya Kikwete alikuwa kiongozi wa waangalizi, kwa upande huu wa Afrika Mashariki, Katika uchaguzi mkuu, uliomazika hivi Katibuni nchini Kenya. Tulimsikia pia Rais huyo mstaafu, akiwasihi viongozi wawili wakuu, waliochuana vikali Katika uchaguzi huo, William Ruto na Raila Odinga, waliokabana...
  11. Phobia

    Msaada wa maswali ya oral and written interview ya Jakaya Kikwete Cardiac Institute

    Kwema? Jamani samahani kama kuna anaweza nisaidia maswali ya usahili wa taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete oral pamoja na written.
  12. Roving Journalist

    Angola: Dkt. Jakaya Kikwete wa Tanzania na Joaquim Chissano wa Msumbiji watoa tamko

    Marais Wastaafu Dkt. Jakaya Kikwete wa Tanzania na Joaquim Chissano wa Msumbiji kwa pamoja wameungana na Timu mbalimbali za Kikanda na za Kimataifa za Waangalizi wa Uchaguzi wa Angola kutoa tamko kuhusu Uchaguzi Mkuu wa nchi hiyo uliofanyika tarehe 24 Agosti 2022
  13. J

    Watoto wa wakubwa hawasemwi vibaya kwanini Januari Makamba tu?

    Kuna maneno yanasemwa sana humu JF kwamba watu wanamuonea wivu Januari Makamba ndio maana wanamkosoa juu ya utendaji wake wa kazi ni kwa sababu tu ametoka kwenye familia bora ya uongozi Watoto wa Mwalimu JK Nyerere kina Makongoro Nyerere RC wa Manyara mbona hawana kesi na umma na hawasemwi kwa...
  14. Jamii Opportunities

    Physiotherapist Officer II - 2 post at Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI)

    PHYSIOTHERAPIST OFFICERS II – 2 POST EMPLOYER Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) APPLICATION TIMELINE: 2022-07-09 2022-07-22 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To contribute ideas to primary and secondary prevention of functional disabilities; ii.To identify predisposing...
  15. Jamii Opportunities

    Assistant Nursing Officer II - 10 post at Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI)

    POST ASSISTANT NURSING OFFICER II – 10 POST EMPLOYER Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) APPLICATION TIMELINE: 2022-07-09 2022-07-22 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To assess patients’ conditions and identify their needs; ii.To ensure treatments are carried out as prescribed...
  16. Jamii Opportunities

    Medical Specialist II - 12 post at Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI)

    MEDICAL SPECIALIST II – 12 POST EMPLOYER Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) APPLICATION TIMELINE: 2022-07-09 2022-07-22 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To provide routine specialized medical services for in-patients and out patients; ii.To supervise ward rounds and advice on...
  17. Jamii Opportunities

    Medical Officer II - 8 Post at Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI)

    POST MEDICAL OFFICER II – 8 POST EMPLOYER Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) APPLICATION TIMELINE: 2022-07-09 2022-07-22 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To perform Medical duties; ii.To perform daily ward rounds with specialists on call and prepare patients case notes...
  18. Jamii Opportunities

    Health Laboratory Technologist II - 4 post at Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI)

    POST HEALTH LABORATORY TECHNOLOGIST II – 4 POST EMPLOYER Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) APPLICATION TIMELINE: 2022-07-09 2022-07-22 JOB SUMMARY NA DUTIES AND RESPONSIBILITIES i.To prepare re-agents for routine examination of patients; ii.To carry out diagnostic procedures as advised...
  19. B

    Rais Samia atoa TZS Bilioni 600 Ujenzi wa Hospitali ya Muhimbili mpya

    KATIBU ITIKADI NA UENEZI CCM SHAKA HAMDU SHAKA AFANYA ZIARA TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE, MUHIMBILI. KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Shaka Hamdu Shaka amefanya ziara katika Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) pamoja na Hospitali ya Taifa Muhimbili ambapo akiwa...
  20. GENTAMYCINE

    Rais Mstaafu Kikwete acha 'Kuzunguka' mwambie tu Rais Samia kuwa 'Uchifu' si mzuri kwa sasa Tanzania

    Usiogope kwani kwa jinsi Mama anavyokukubali tokea ulipomtoa Zanzibar kwa Karume, ukampa Ulaji katika Bunge la Katiba na mwishoni ukamuombea 'Ulaji' kwa Hayati Rais Dkt. Magufuli ukimwambia kuwa hujapendezzwa na Kitendo chake cha Kuruhusu 'Uchifu' kurejea Tanzania wala hatomtosa Unaibu Uwaziri...
Back
Top Bottom