Binafsi nilitembelea hospitali ya Muhimbili jana, nikiwa nimeenda pale Institute ya Jakaya Kikwete, nikakuta hamna parking kabisa nikaelekezwa kupaki upande wa clinic ya watoto. Na kufika upande huo nikakuta parking zilizopembeni ya jengo zote ni za staff, sisi wengine tunapaki nyuma huko karibu na msikiti.
Sasa nikajiuliza ivi ni nani anatakiwa apewe kipaumbile cha parking? Kati ya mgonjwa ama staff? Mgonjwa anaweza kuja pale hoi anafika anapaki mbali mnoo yaani kitendo cha kutembea tena mwendo mrefu, itakuaje kama akianguka pale na kupoteza maisha! Lawama atabeba nani?
Swala la parking liangaliwe upya hasa kwenye hospital za umma. Staff magari yao yapo siku nzima kwann wao wasipangiwe huko nyuma maana hayana movement baada ya kufika!
Sasa nikajiuliza ivi ni nani anatakiwa apewe kipaumbile cha parking? Kati ya mgonjwa ama staff? Mgonjwa anaweza kuja pale hoi anafika anapaki mbali mnoo yaani kitendo cha kutembea tena mwendo mrefu, itakuaje kama akianguka pale na kupoteza maisha! Lawama atabeba nani?
Swala la parking liangaliwe upya hasa kwenye hospital za umma. Staff magari yao yapo siku nzima kwann wao wasipangiwe huko nyuma maana hayana movement baada ya kufika!