Msaada wa maswali ya oral and written interview ya Jakaya Kikwete Cardiac Institute

Phobia

JF-Expert Member
Mar 29, 2021
1,151
1,784
Kwema? Jamani samahani kama kuna anaweza nisaidia maswali ya usahili wa taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete oral pamoja na written.
 
Hvi kwann Watanzania wengi kwenye Uswahili wa kazi, Cha kwanza kukimbilia ni kutafuta Maswali ???

Hii Mentality inaonyesha wazi, Wengi wa Watanzania Husoma ili kufaulu, ila kile wakichokibeba kichwan, hakipo ,kiasi kwamba wanajitilia shaka wenyewe na hawana uhakika wa wakichokibeba


Muwe mnaacha Ubongo unafanya kazi zake !!!
 
Hvi kwann Watanzania wengi kwenye Uswahili wa kazi, Cha kwanza kukimbilia ni kutafuta Maswali ???

Hii Mentality inaonyesha wazi, Wengi wa Watanzania Husoma ili kufaulu, ila kile wakichokibeba kichwan, hakipo ,kiasi kwamba wanajitilia shaka wenyewe na hawana uhakika wa wakichokibeba


Muwe mnaacha Ubongo unafanya kazi zake !!!
 
Kwema? Jamani samahani kama kuna anaweza nisaidia maswali ya usahili wa taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete oral pamoja na written.
Utafanya kada zote? tunaweza kuhangaikia muongozo wa Biomedical kumbe wewe ni Nursing.
 
Hvi kwann Watanzania wengi kwenye Uswahili wa kazi, Cha kwanza kukimbilia ni kutafuta Maswali ???

Hii Mentality inaonyesha wazi, Wengi wa Watanzania Husoma ili kufaulu, ila kile wakichokibeba kichwan, hakipo ,kiasi kwamba wanajitilia shaka wenyewe na hawana uhakika wa wakichokibeba


Muwe mnaacha Ubongo unafanya kazi zake !!!
Ubongo wenyewe utafanyaje kazi wakati CCM iko madarakani? Wewe mwenyewe humu unavyomsifia Jiwe Unabaki kushangaa WTF?!
 
Hvi kwann Watanzania wengi kwenye Uswahili wa kazi, Cha kwanza kukimbilia ni kutafuta Maswali ???

Hii Mentality inaonyesha wazi, Wengi wa Watanzania Husoma ili kufaulu, ila kile wakichokibeba kichwan, hakipo ,kiasi kwamba wanajitilia shaka wenyewe na hawana uhakika wa wakichokibeba


Muwe mnaacha Ubongo unafanya kazi zake !!!
Stop that, Carlos The Jackal , haya mambo si mepesi namna hiyo. Kuna moja imefanyika juzi ya madaktari wanawauliza Olympic ilianza mwaka gani na wapi? Can you imagine? Hili swali linahusiana vipi na Medical professionalism?
 
Back
Top Bottom