gps

The Global Positioning System (GPS), originally NAVSTAR GPS, is a satellite-based radionavigation system owned by the United States government and operated by the United States Space Force. It is one of the global navigation satellite systems (GNSS) that provides geolocation and time information to a GPS receiver anywhere on or near the Earth where there is an unobstructed line of sight to four or more GPS satellites. Obstacles such as mountains and buildings block the relatively weak GPS signals.
The GPS does not require the user to transmit any data, and it operates independently of any telephonic or internet reception, though these technologies can enhance the usefulness of the GPS positioning information. The GPS provides critical positioning capabilities to military, civil, and commercial users around the world. The United States government created the system, maintains it, and makes it freely accessible to anyone with a GPS receiver.The GPS project was started by the U.S. Department of Defense in 1973, with the first prototype spacecraft launched in 1978 and the full constellation of 24 satellites operational in 1993. Originally limited to use by the United States military, civilian use was allowed from the 1980s following an executive order from President Ronald Reagan. Advances in technology and new demands on the existing system have now led to efforts to modernize the GPS and implement the next generation of GPS Block IIIA satellites and Next Generation Operational Control System (OCX). Announcements from Vice President Al Gore and the White House in 1998 initiated these changes. In 2000, the U.S. Congress authorized the modernization effort, GPS III. During the 1990s, GPS quality was degraded by the United States government in a program called "Selective Availability"; this was discontinued in May 2000 by a law signed by President Bill Clinton.The GPS service is provided by the United States government, which can selectively deny access to the system, as happened to the Indian military in 1999 during the Kargil War, or degrade the service at any time. As a result, several countries have developed or are in the process of setting up other global or regional satellite navigation systems. The Russian Global Navigation Satellite System (GLONASS) was developed contemporaneously with GPS, but suffered from incomplete coverage of the globe until the mid-2000s. GLONASS can be added to GPS devices, making more satellites available and enabling positions to be fixed more quickly and accurately, to within two meters (6.6 ft). China's BeiDou Navigation Satellite System began global services in 2018, with full deployment scheduled for 2020. There are also the European Union Galileo positioning system, and India's NavIC. Japan's Quasi-Zenith Satellite System (QZSS) is a GNSS satellite-based augmentation system to enhance GNSS's accuracy in Asia-Oceania, with satellite navigation independent of GPS scheduled for 2023.When selective availability was lifted in 2000, GPS had about a five-meter (16 ft) accuracy. The latest stage of accuracy enhancement uses the L5 band and is now fully deployed. GPS receivers released in 2018 that use the L5 band can have much higher accuracy, pinpointing to within 30 centimeters or 11.8 inches.

View More On Wikipedia.org
  1. HIMARS

    Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

    Jordan imefunga matumizi ya anga lake kwa ndege za kiraia baada ya mfumo wa GPS kutokuwa sahihi. Nchi zingine ni Kuwait, Iraq, Syria, Bahrain
  2. P

    Jinsi DCI na makampuni ya simu wanavyopata taarifa za maeneo ya Wakenya hata kama GPS na Data zikiwa zimezimwa

    Vyombo vya usalama na makampuni ya simu wanaweza kutumia teknolojia kupata mahali ulipo kwa madhumuni mbalimbali. Katika mazingira ambayo teknolojia ya kidijitali yanabadilika kila wakati, uwezo wa kubainisha eneo la mtu umekuwa zana muhimu kwaajili ya utekelezaji wa sheria kwenye idara kama...
  3. T

    Wapi naweza kupata kifaa cha GPS Sensor?

    Ni wapi naweza kununua device ya namna hiyo kwa ajili ya kuonyesha location?
  4. FRANCIS DA DON

    Napendekeza nguzo zote za umeme zichukuliwe GPS coordinates, na zifungwe sensor , taarifa zote zilishwe kwenye mfumo wa Geomap ya Tanesco.

    Mfumo huu utawezesha kuwa na real time data feed ya nguzo zote za Tanesco kwa kujua mahali zilipo na kama zinaumeme. Mtendaji wa Tanesco akiingia kwenye hii Geomap, nguzo zote zitaonekana kwa rangi nyekundu kama sensor zinasoma moto, na rangi ya kijivu kama sensor hazisomi moto. Hivyo moja kwa...
  5. JituMirabaMinne

    Kipi unahitaji kufahamu kuhusu GPS trackers? Karibu kwa maswali

    Kipi unahitaji kufahamu haswa?, Uliza swali lako na nitalijibu hapa kwa kina.
  6. T

    Nahitaji kununua gps (nipo mwanza)

    Habari wadau. Nahitaji kununua GPS, kwaajil ya kunisaidia kuchukua coordinates kwenye maswala ya uchimbaji (mining). Budget yangu ni kuanzia Tshs 400,000/= mpaka 900,000/= Kama nikapata contacts za dukani kwa Mwanza au Geita nitashukuru zaidi
  7. JanguKamaJangu

    Devotha Minja: Namshangaa Hussein Bashe kutaka Bodaboda za Maafisa Ugani zifungwe GPS

    "Namshangaa Hussein Bashe anataka pikipiki za maafisa Ugani zifungwe GPS, mbona wao kwenye V8 zao hawajafungiwa" Devotha Minja. Mbunge wa wananchi Jimbo la Morogoro Mjini. Chanzo: Jambo TV === Devotha Minja, ambaye alikuwa mgombea ubunge wa Jimbo la Morogoro Mjini kwa tiketi ya CHADEMA...
  8. KENGE 01

    Biashara ya GPS Tracking system installation kwenye vyombo vya Usafiri

    Na kenge, Hakuna biashara ngeni lakini unaweza kuifanya bila kuwa na mtaji mkubwa na bila taaluma kama IT au ufundi gereji kama wengi wanavyodhani. UTAFANYAJE? Wizi wa vyombo ni tatizo kote duniani sasa kama ni Jobless na unatafta pakuanzia unaweza kutafta mtaji wa kuanzia LAKI 5 NA...
  9. D

    Mfumo wa gps tracking kwa ajili ya magari pikipiki na bajaji

    GPS TRACKING SYSTEM NI NINI Ni mfumo ambao unawezesha chombo cha moto ambacho kimefungwa kifaa hicho kuweza kutoa taharifa mbalimbali kwa muhusika. Mfano ---- Sehemu chombo kilipo ---- Mwendokasi wake ---- Kupata ripoti mbalimbali za mwenendo wa chombo husika ---- Chombo kuwashwa na kuzimwa...
  10. JituMirabaMinne

    Kwanini GPS trackers zinaondolewa baada ya vyombo vya moto kuibiwa?

    Kumekuwa na cases nyingi za watu kuibiwa vyombo vya moto na GPS trackers kuondolewa, mpaka kupelekea watu kuona kama kufunga GPS trackers hakuna umaana wowote. Hii thread sitazungumzia kabisa detectors na jammers km watu wengi wanavyodhani kuwa wezi wanakuwa na tools hizo ambazo zinawasaidia...
  11. JituMirabaMinne

    INAUZWA GPS trackers za Vyombo vya moto, TV, Computer, n.k. Zinauzwa

    Ninazo GPS za aina mbalimbali kwa ajili ya vyombo vya moto, TV, Computer, n.k.. Zina sifa zifuatazo. 1. Ina uwezo wa kuzima chombo kwa kutumia simu yako. 2. Ina Live location na live tracking. 3. Unaweza kuset fence chombo chako kikiingia au kutoka eneo fulani upate taarifa. 4. Inahifandhi...
  12. JituMirabaMinne

    Kwanini tunafunga GPS trackers kwenye Magari?

    Ukitaka kufunga GPS tracker kwenye chombo chako mathalani gari.... Weka mezani lengo la kufunga tracker kwenye gari lako. 1. Je unahitaji kufunga tracker kwa ajili ya kufatilia mizunguko ya gari lako? 2. Au unahitaji tracker ya kukupa update ya location gari lako likiibiwa? Kuna utofauti...
  13. JituMirabaMinne

    Dhana ya watu wanaofunga GPS tracker kwenye magari kuhusika na wizi wa magari. Je, ni kweli au si kweli?

    Watu wengi huaminishana kwamba eti kwa sababu mtu fulani alikufungia GPS tracker kwenye gari basi mtu huyo anao uwezo wa kujua gari lako lipo wapi na hivyo anaweza kuja kuliiba. Kiukweli mimi nipo against na hii dhana. Naichukulia kama dhana ya mtu aisiyejua jinsi gos tracker zinavyofanya kazi...
  14. mdukuzi

    Nahitaji mtu anayejua kuinstall GPS kwenye magari

    Kama kuna mtu ana huo ujuzi naomba tuwasiliane pliz.njoo pm
  15. D

    Tunatatua tatizo la GPS kuisha muda (GPS expire)

    TATIZO LA GPS KUISHA MUDA (GPS EXPIRE) Je kifaa cha GPS ambacho unatumia kinakwambia GPS expire? Je umeshindwa kulipia platform online unayotumia kwa ajili ya GPS yako Je una kifaa cha GPS ambacho umeshindwa kukitumia kwasababu umekosa platform Je wewe ni fundi na unamiliki vifaa vya GPS na...
  16. Njiwa wangu

    Inawezekana kuzima Sabufa au TV ukiwa mbali kwa kutumia mfumo wa GPS or GSM track?

    Habarini wadau, Naomba kuuliza inawezekana kuzima sabufa au tv ukiwa mbali kwa kutumia mfumo wa gps or GSM track ? Je nini kinahitajika hapa na je unaweza andaa enterface kama site fulani hivi kwa ajili ya kuvifuatilia na endapo kuna mtu anatumia kwa makubaliano fulani asipotimiza mashart...
  17. R

    Vehicle GPS trackers

    Habarin wana jamii forum naomben kujua ni wapi naw3za pata huduma ya kutrack gar au bajaj yangu kwa kufunga mitambo ktk bajaj na kuweka app kwenye simu yangu ili niweze kutrack chombo hicho Natanguliza shukran za dhati
  18. Offshore Seamen

    Boat GPS Tracker iwe suluhu ya uporaji wa injini za boti na usalama wa wavuvi

    Wavuvi na watumiaji wengi wa boti zenye injini wamekuwa wakipata nyakati ngumu za kuporwa injini zao na wengine kujeruhiwa Kesi nyingi za kuibiwa injini za boti ni katika ziwa Victoria, ambapo wavuvi huvamiwa na kuporwa injini za boti. Ni boti chache zenye marine GPS kwa ajili ya uongozaji na...
  19. KITAU TRANSPORT AND GPS

    SOFTWARE Funga GPS kwenye magari, pikipiki yako na komesha wizi

    Habari Wadau wa Jamii Forum, Nimeanzisha biashara ya usalama wa vyombo vya moto kupitia GPS na ninahitaji support yenu. Kama mnavofahamu, biashara katika sector ya usafiri imepamba moto nchini.Lakini palipo na biashara hapakosi changamoto. Wizi wa vyombo vya usafiri kama Pikipiki, Bajaji...
Back
Top Bottom