Iran anataka alipize kisasi, ili kuondoa collateral wameona wafunge anga.Ndege za kijeshi zenyewe swala la GPS sio issue sana?
Tuachane na hayo. Hivi huko kunataka kutokea nini haswa? Maana hizi ni dalili za jambo fulani
Ni kuweka pressure tu ila Iran hatajaribuRais wa Marekani, Biden akatiza likizo yake huko Delaware na kurudi Ikulu kujadili kinachoendelea mashariki ya kati, inaaminika usiku wa leo Iran atalipiza kisasi na tayari kaweka sawa makombora zaidi ya 100 na ndege nyuki zisizo na idadi
Kwani US atarusha ndege au atatumia tomahawks kutoka meli vita?Turkey has announced that the US cannot use its airspace against Iran
The US is becoming isolated in the region
Anaweza maana asipofanya ataonekana hawezi katumia muda kufikiri na kujipanga offensive and defensive.Ni kuweka pressure tu ila hatajaribu
Na Qantas Airlines imebadili route ikikwepa anga la Middle East for a while! Probably other airlines will follow or directed to follow for "safety reasons".Jordan imefunga matumizi ya anga lake kwa ndege za kiraia baada ya mfumo wa GPS kutokuwa sahihi.
Nchi zingine ni Kuwait,Iraq,Syria, Bahrain
Mtu mpk ana jam GPS mashariki ya kati yote imepotea huyo si wa mchezo mchezoAnaweza maana asipofanya ataonekana hawezi katumia muda kufikiri na kujipanga offensive and defensive.
Israel ana disadvantage maana yeye anaweza shambuliwa na pande nyingi kwa mpigo ambapo atapigwa sehemu kadhaa maana akitumiwa drones 200 na ballistic 100 hawezi tungua zote ndo maana kajam GPS kwa msaada wa Marekani
Bull limeshaelekezwa kibla; miguu yote imeungwa pamoja kwa kamba mchinjani kanyanyua jambia juu bado unaamini the bull lina nguvu na akili kuzidi waliolizunguka wakisubiri nyama! Utakuwa na akili za hilo bull sio bure!Hapa ndo naamini iran ni baba wa mashariki ya kati
Hakuna atayepita hapo maana Israel tayari kapaisha ndege angani kusaidia track incoming missiles, drones etc.Na Qantas Airlines imebadili route ikikwepa anga la Middle East for a while! Probably other airlines will follow or directed to follow for "safety reasons".
Katumia muda mwingi sana kuchukua uamuzi.Jamani acheni kudanganyana Iran utapoteza kila kitu, hakuna tofauti na enzi za Sadamu na mabomuyake ya scud baada ya Israel kushambulia nuclear plant on Iraq.
Basi walimfanyia Ile kitu mbaya kama maamrisho yalivyotolewa na papaYesu hakuuawa na wayahudi