Mashariki ya Kati mfumo wa GPS haufanyi kazi

Ni kuweka pressure tu ila hatajaribu
Anaweza maana asipofanya ataonekana hawezi katumia muda kufikiri na kujipanga offensive and defensive.
Israel ana disadvantage maana yeye anaweza shambuliwa na pande nyingi kwa mpigo ambapo atapigwa sehemu kadhaa maana akitumiwa drones 200 na ballistic 100 hawezi tungua zote ndo maana kajam GPS kwa msaada wa Marekani
 
Anaweza maana asipofanya ataonekana hawezi katumia muda kufikiri na kujipanga offensive and defensive.
Israel ana disadvantage maana yeye anaweza shambuliwa na pande nyingi kwa mpigo ambapo atapigwa sehemu kadhaa maana akitumiwa drones 200 na ballistic 100 hawezi tungua zote ndo maana kajam GPS kwa msaada wa Marekani
Mtu mpk ana jam GPS mashariki ya kati yote imepotea huyo si wa mchezo mchezo

Iran anatushia tu hawezi jaribu
 
Back
Top Bottom