Search results

  1. Kaka mwisho

    Kwanini Tanzania latest Car ni chache sana kuonekana. Bado wanaagiza Magari ya 2000-2010

    Kwanini Tanzania bado wanaagiza Magari ya zamani sana. Yaani mpaka Leo mtu bado anaagiza Old Model Car.
  2. Kaka mwisho

    Kweli HELSB inakusanya pesa za mkopo kupitia TRA kwa wanufaika waliojiajiri?

    Kichwa cha habari kinajieleza. Ni kweli Bodi ya mikopo elimu ya juu inakusanya mikopo Kwa wanufaika kupitia TRA ambao wamejiari. Maana tetesi zilipo ukienda kujisajili na kufungua TIN ya biashara TRA. Kuna gharama wanaongeza ambazo ni za HELSB. Je, hizi tetesi ni kweli.?
  3. Kaka mwisho

    Nataka kununua pikipiki Honda Ace 125 Individual. Je, kuna pikipiki nzuri zaidi ya kwa level yake na bajeti?

    Wadau Nataka kununua pikipiki Aina ya Honda Ace 125 individual made in South Africa. Bei yake ya ofa 2,600,000/= mpya. Je, kuna pikipiki nzuri zaidi ya hii ambayo bajeti take haivuki milioni 3.2. Ni ya kutembelea tu sio Kwa biashara ya bodaboda
  4. Kaka mwisho

    Nitumie dawa gani kutokomeza wadudu warukao na watambaao nisiwaone angalau kwa mwaka 1 ndani ya nyumba

    Wadau ni dawa gani naweza tumia kutomeza wadudu watambaao na warukao ndani ya nyumba. Nataka dawa ambayo nikitumia Mara moja naweza kaa angalau kwa muda mrefu bila kutumia. Sitaki dawa ya kutumia kila siku au kila wiki. Nataka mende,sisimizi,siafu,mbu n.k viwe vitu adimu ndani ya nyumba.
  5. Kaka mwisho

    Mfuko 1 wa cement unajengea tofali ngapi (block inch 5)?

    Kichwa cha habari kinajieleza. Mfuko 1 wa cement unajengea tofali ngapi (block inch 5)?
  6. Kaka mwisho

    Kenya 2022 Utaratibu wa upatikanaji wa viti maalum Kenya upoje?

    Utaratibu wa upatikinaji wa Viti maalum Ubunge vya Wanawake Kenya upoje? Wadau, Katiba ya Kenya na sheria ya uchaguzi imeweka utaratibu upi wa upatikanaji wa wagombea wa viti maalum wanawake.
  7. Kaka mwisho

    Nataka kulima Karanga na muhugo sehemu gani nzuri kwa mazao haya iwe ndani ya mkoa wa Mwanza?

    Wadau wa Kilimo na wenyeji wa kanda ya ziwa Mwanza n.k. Nataka kulima Karanga na muhugo sehemu gani nzuri kwa mazao haya iwe ndani ya mkoa wa Mwanza au jirani na mkoa wa Mwanza. Pia sehemu ambayo taweza kulima mahindi angalau mara mbili kwa msimu mmoja.
  8. Kaka mwisho

    Kituo gani kizuri kwa Dar es salaa kinafundisha A-level(form 5&6) kwa mwaka mmoja.

    Wadau wa Elimu kwa Dar es salaam kituo kipi kinafundisha vizuri masomo ya A-level (form 5&6) kwa mwaka mmoja.
  9. Kaka mwisho

    Zipi Simu nzuri za kununua kwa bajeti ya 200,000 - 300,000/=Kabla ya mwaka 2022 hujaisha?

    Wadau na wataalam wa Simu ushauri kwa bajeti ya 200,000 - 300,000/= naweza pata smartphone ya aina gani nzuri.
  10. Kaka mwisho

    Je inawezekana kutumia kingamuzi(decoder) kimoja kwa TV 2, na kila TV iwe na uwezo wa kubadili chaneli kivyake.?

    Wataalamu nahitaji utaalamu wa kutumia kingamuzi kimoja kwa TV mbili tofauti na kila TV iwe na uwezo wa kubadili chaneli kivyake., yaani niangalie chaneli 2 kwa wakati mmoja. Mfano wa kingamuzi cha Azam na Dstv.
  11. Kaka mwisho

    Tunamchangia Prof J kwa sababu tunampenda au hana uwezo wa kugharamia matibabu au nimazoea?

    Kwasasa hapa nchini pamekuwa na utaratibu mtu akipata matatizo tunakimbilia kuchangishana fedha. Mtu kama Joseph Haule a.k.a Prof J alipopata maradhi na kulazwa, familia yake ikaomba achangiwe kusaidia gharama za matibabu, bila shaka familia hawana uwezo wa gharamia matababu kutokana na maradhi...
  12. Kaka mwisho

    Naomba uzoefu wa biashara ya utotoleshaji wa vifaranga

    Wafugaji wenzangu leo naomba tupeane uzoefu kuhusu biashara ya utotoleshaji vifaranga vya kuku, utaratibu upoje na bei zake zipoje. 1. Analipia kila yai analoleta au kwa kila kifaranga kitotolewacho. 2. Bei huwa sh ngapi na bei hutolewa kwa kila yai au trei nzima.
  13. Kaka mwisho

    Tupeni ushuhuda kwa mliowahi kukopo kwenye taasisi za kifedha zinazofuata utaratibu wa Sharia za Kiislam. Utaratibu upoje

    Leo naomba tupate utaratibu kuhusu mikopo inayotolewa na taasisi za kifedha za kiislam kama Amana bank, NBC Islamic account n.k. Utaratibu wao upoje. Mikopo yao huchukua muda gani mpaka umalizapo kulipa,(wa muda mrefu na mfupi) Mfano nahitaji gari lenye thamani ya 15, talipataje na talipa jumla...
  14. Kaka mwisho

    Tatizo kubwa la kitochi 4G za tigo ni ni anaganda baada ya matumizi. Nimeambatanisha picha

    Hili limekua tatizo kubwa sana kwa simu za kitochi 4G ukiitumia baada ya muda Fulani Kanaganda yaani ukiiwasha haiwaki inaishia hapo tu kwenye "karibu tigo". Je, unaweza kutumia mbinu gani kukatengeneza mwenyewe bila kwenda kwa fundi ikiwa una laptop. Maana hata ukikatengeneza baada ya muda...
  15. Kaka mwisho

    Je, kuna madhara yoyote kutumia simu wakati unachaji?

    Watalaam na wazoefu je kuna madhara yoyote simu itapata ikiwa unaitumia wakati unachaji?
  16. Kaka mwisho

    Non Removable Battery Phone.? Faida na Hasara zake.

    Hivi inawezekana ukabadilishs battery pindi battery likianza kuwa dhaifu au kufa kabsa.? Utaratibu wakubadilisha battery ni mwepesi au mpaka uende center za kampuni zao za simu.? Kati ya Non Removable Battery na Removable Battery unashauri mtu anunue simu IPI.?
  17. Kaka mwisho

    Je unajua tofauti ya aina hizi za battery za simu Li-Po na Li-Ion.

    Kuna tofauti gani kati ya aina hizi mbili za battery Li-Po na Li-Ion ipi ni bora.?
  18. Kaka mwisho

    Kati ya Techno R7 LTE na Itel T20 LTE za tigo ipi bora

    Wadau kati ya hizi simu ipi bora zaidi, nataka kununua moja. Tecno R7 LTE vs Itel T20 LTE zote zinauzwa TIGO shop. NB: Napenda ambayo haitokuwa inanibana napotaka apps mbalimbali ziwe zinakubali kuinstall ( update)
  19. Kaka mwisho

    Tovuti ipi nzuri ya bure kwa nyimbo zilipendwa

    Wadau wa nyimbo hasa zilipendwa kama Msondo,Sikinde,Marijani, Mbaraka,Les Wanyika nk ni tovuti (web) gani nzuri nitapata hizi nyimbo bure.
  20. Kaka mwisho

    Kati ya hizi kampuni mbili Zola Tanzania na Mobisol Tanzania ipi ina bidhaa nzuri?

    Wadau nataka kufunga umeme wa jua Nyumbani, Naombeni ushauri na uzoefu wenu kati ya hizi kampuni mbili Zola Tanzania na Mobisol Tanzania ipi nzuri na bora kwa vifaa vyake. ZOLA wanamitambo ya WATT 40 mpaka 100 NA MOBISOL ni WATT 40 mpaka 200. NIJIUNGE KAMPUNI GANI KATI YA HIZI?
Back
Top Bottom