Kwanini Tanzania latest Car ni chache sana kuonekana. Bado wanaagiza Magari ya 2000-2010

Kwanini Tanzania bado wanaagiza Magari ya zamani sana.
Yaani mpaka Leo mtu bado anaagiza Old Model Car.
Mkuu ni sawa uende kwenye familia kipato 100.000 uulize kwanini hii familia mnakula tu ugali tembele ina maana kuku hamuwaoni.
We mishara ya watu wengi haifiki hata milioni, mtu anaingia zake beforward anapata kigari dollar 2000 hapo kwa sasa ina maana milion tano na ushee, ongeza 1500 ya kukisafirisha hapo ishagonga milioni nane na ushee, bado ukutane na kodi ya serikali ndipo milion 13 au 14 inakata.
Kwa watanzania wengi hiyo ni pesa nyingi. Sio kwamba gari latest hatuziona wala hatuzitaki, ni kipato tu.
 
Hata TRA wangeweka 0 zero rate wangapi wangeweza kununua gari za kuanzia $50,000? Jibu ni low purchasing power. Pato la waTz ni dogo. Wenye pato kubwa wanaingiza hizo gari latest na TRA ipo.
Nchi za wenzetu mbona wananunua sana tu. Kwa sasa watu wananunua used kwa sababu hiyo option ipo lakini pia wengine wananunua kwa sababu kodi ya kununua gari jipya ni kubwa.
South Africa wame restrict used cars, si unaona wanavyosukuma vyuma vipya. Nenda kwa majirani. Magari yote hayawezi kuuzwa kuanzia $50,000/-. Kila mmoja atanunua kulingana na uwezo wake. Hata wazungu wanazidiana kwenye kumiliki gari kilingana na uwezo wa kiuchumi. Wenye uwezo wa $10k watanunua na wenue uwezo zaidi watapata ya size yao.
 
Nchi za wenzetu mbona wananunua sana tu. Kwa sasa watu wananunua used kwa sababu hiyo option ipo lakini pia wengine wananunua kwa sababu kodi ya kununua gari jipya ni kubwa.
South Africa wame restrict used cars, si unaona wanavyosukuma vyuma vipya. Nenda kwa majirani. Magari yote hayawezi kuuzwa kuanzia $50,000/-. Kila mmoja atanunua kulingana na uwezo wake. Hata wazungu wanazidiana kwenye kumiliki gari kilingana na uwezo wa kiuchumi. Wenye uwezo wa $10k watanunua na wenue uwezo zaidi watapata ya size yao.
Nchi za wenzenu kuna kitu kinaitwa finance. Unachukua kwa mkopo. Unaweka deposit kama 10% then inayobqki unalipa kidogo kidogo kulingana na aina ya gari.
Still gari kubwa ni wenye pesa tu watawezana na malipo yake ya mwezi.
Hii ipo hata cmc,Nissan ila unaweza kuambiwa kwa mwezi ulipe $1500 hapa Tz unafikiri kwa vipato vya waTz wengi ni rahisi kutenga $1500 kwa ajili ya makato tu? Bado mafuta,wewe na familia hamjala hamjalala,watoto hawajaenda shule etc.
Tz purchasing power ndogo sana.
 
Nchi nyingi bank zina utaratibu wa kukopesha magari/nyumba ili kusaidia mzunguko.

Sisi Tanzania kila kitu tunafanya cash. Hatukopi wala kukopeshwa. Unakuta ukienda Toyota unaweza kununua gari kwa installement maisha yakaenda.

Ila mbongo akisikia mtu ana mkopo anamuona maskini au ana shida. Hii mentality sijui tumetoa wapi ..
 
Back
Top Bottom