…Valéry Giscard d’Estaing alikuwa ni Rais wa Ufaransa kuanzia mwaka 1974 hadi 1981.
Jean-Bedel Bokassa alikuwa ni Rais wa Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR) mwaka 1966 hadi 1979.
Ndani ya miaka 13 ya utawala wake, alibadili mfumo wa utawala nchini mwake CAR na kuwa utawala wa Kifalme… Baadae...
habari zenu wakuu
kutokana na changamoto kubwa zinazotokea kwa watu wengi hasa upande wa ujenzi kwa kutumia vyuma BEST MACHENICS COMPANY tumekuja na huduma inayohusisha design and fabrication ya steel structure kutoka kwa wahandisi wabobevu
Huduma tuzitoazo ni,
-kubuni michoro ya miundo mbali...
Wasalaam
Kabla magari ya KUKODISHA maarufu kama Costa hayajarasimishwa nilikuwa nashuhudia ABIRIA WENGI WAKIIMBA NYIMBO ZA MAOMBOLEZO
Naukiza swali, zile nyimbo zimepitwa na wakati? Maana siku hizi ni KIMYA KIMYA
Wakuu
Nina set ya vifaa vyote vya kuoshea magari vipo Tu home vimekaa
Sasa kama mtu anataka nimkodishe then awe ananipa % flan kila siku aje DM tuyajenge
Vifaa viko Dar
Habari wakuu, Swala la kupenda gari na kutunza ni kipaji ambacho watu wachache wamejaaliwa hii unaikuta kwamba magari ya aina moja yalioagaizwa mwaka mmoja limoja linakua linamuonekano mzuri kuliko lingine na hii inatokana na utunzaji tulivyotofautiana.
Siku ya leo tujadili vitu ambavyo unaweza...
Rhond's company limited, we're car renting company with best services . All types of cars are available (Private)
Some of rental purposes include:
1.Tours
2.Weddings
3.Sendoffs
4.Funerals transfer
5.Picnics
6.Projects requiring car rental
7.NGO's
and many more
Location.Mwembechai
Call us...
Wakuu naomba ushauri wa family car nzuri yenye wastani wa sifa zifuatazo:
1. Seating capacity from 7 packs
2. Fuels economy I.e. engine capacity less than 2000cc
3. Super body appearance
4. Suv
5. Super interior design
6. Offroad suitability
Salaam wakuu,
Nahitaji gari ndogo kwa ajili ya matumizi na mizunguko midogo midogo hapa mjini Dar es salaam. Napendelea zaidi Spacio, Premio, Allex, Runnex, Raum, Ractic na Rumion.
Bajeti yangu ni TZS 6M. Tuwasilisane kupitia namba 0622078182.
Habarini. Kama kuna mtu anafahamu wapi zinapatikana Car Steering Lock please anisaidie kuna jamaa yangu mkoani ana hitaji ameomba nimsaidie.
Nadhani wengi wenye magari mtakuwa mnazifahamu. Zinasaidia kidogo kuleta usumbufu kwa mwizi asiibe kirahisi sana gari lako.
Moderator please rekebisha...
Walinda amani wa Tanzania kurejeshwa nyumbani kutokana na madai ya utovu wa nidhamu CAR
9 Juni 2023Haki za binadamu
Mpango wa Umoja wa Mataifa wa kulinda amani nchini Jamhuri ya Afrika ya Kati (MINUSCA) chenye makao yake makuu mjini Bangui, kimetangaza uamuzi wa Sekretarieti, kuwarudisha...
Nawaza,
chatGPT au hata google bard zimekua msaada mkubwa kutoa majibu ya issue mbalimbaliu kwa siku za karibuni. Naona kama hizi car diagnosis devices zikiwa integrated na chatGPT au google bard zitakua more eeficient. Kwa sasa hizi devices zinatoa results kwa code, ambazo kama sio mtaalamu...
Hili gari origin yake ni crown majesta, engine 3.5Ltr 😬😬lakini Usiiogope 😄😄maana ni HYBRID, mfumo wake ni CVT yaani kiufupi ulaji wake wa mafuta ni kama wa 2.0Ltr engine cars😋😋 kwa average ni 15km/ltr . Hii ni premium Edition ya crown iliyotengenezwa miaka iyo na kama tujuavyo kwa Majesta ndio...
Habari zenu wakuu,
Nahitaji kukodi gari zifuatazo, kwa ajili ya mizunguko ya hapa na pale ndani ya jiji la Dar es Salaam.
Yoyote mwenye moja kati ya hizi gari au zote kwa pamoja naomba aipost gari hapa tujadili au anicheki kupitia +255627315218 niione gari, kisha tuanze jadili gharama na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.