napenda kumpa taarifa cjui ni mkurugenzi mkuu au mwenyekiti wa nida(mamlaka ya vitambulisho vya taifa) kuna makero mengi yametutokea sisi wananchi wakazi wa kata ya vingunguti nitaorodhesha kero mbili kama kuna mwingine anazo azianike hapa
1: hakukuwa na sababu ya kututoa vingunguti na...
jamani kila nikimkumbuka yule sheikh jongo aliyelia bungeni na kudanganya anakosa usingizi kisa nyerere katukanwa huwa nacheka saaaaana kilikuwa ni kilio cha sekunde kama 3 tu
Jamani kama kuna aliyeshuhudia uapaji wa mtikila kutokana na msimamo wake kwa kuitetea Tanganyika je atatamka maneno 'mtiifu kwa jamhuri ya muungano wa tanzania??
Jamani nawaomba msaada natumia simu aina ya ZTE U880E ni adroid version namba 2.3.7 na kuna mahali kwenye seting nikiangalia wameandika mobile netwok type EDGE sasa kiukweli hii simu ipo slow sana kwenye internet yani mpaka naboleka naamini jf ndo karibu kila kitu kwangu na kuna watu wa kila...
Mwenye updates atujuze ni nini kinaendelea huko walipo maana nimewaona wanaandamana pamoja na polisi nikawa sijaelewa chezo wale polisi hawana silaha ya aina yeyote ile hata rungu nikajiuliza kama ingekuwa ni CHADEMA jamaa wangejikoki kama wanaenda kwenye mapambano na janjaweed au Taliban...
Kwa kuwa serikali yetu kwa asilimia kubwa inategemea sigara na pombe kwenye bajeti ya kuendeshea nchi na bado kuna matangazo wanayotokea kila siku kwenye vyombo vya habari kuwa matumizi ya hvyo vitegemezi vyetu vya bajeti mara ni noma mara ni hatari kwa afya. :my take. kama serikali itaendelea...
jamani mimi nimeoa mwaka 2oo9 mke wangu ana miaka 22 lakini tangu mwaka jana mwanzon akaanza kulalama miguu inamwaka moto mara anakosa usingizi mara anahisi anakosa amani mara mwili wa baridi sasa ananiambia anahisi kichwani kama giza muda mwingine haf anajisikia vibaya mwili muda mwingine wa...
pale nyuma ya jengo la msimbazi polisi ni mahala ambapo labda kungefilika ni salama lakin ni kinyume ifikapo saa za usiku kuna vitendo vya ukabaji na ushoga nina uhakika polisi wanalijua hilo kwa sababu ni umbali kama wa mita kumi na sehemu wanazoish na sijui kwa nini wanafumbia macho najenga...
tulichofanyiwa na hawa wanaojiita viongozi wa madhehebu ya kidini ni kinyume na hakizote za kibinadam sidhani kama Mungu aliwapa hadi upeo wa kufanya prediction ya kujua kiongozi huyu anafaa yule hafai mpaka wanatuingiza mkenge wa kuchagua viongozi ambao awaendani na hali halisi yetu nawachukia...
yani inasikitisha utakuta jitu limemaliza mihula yote miwili ya uongozi wa nchi lkn alijawafanyia kitu chochote wananchi hafu bado ling'ang'aniza mahakama iunde sheria ya kulifanya eti ligombee mara ya tatu sijui alijui kama wananch wamelichoka. Kama kule kwa Wade senegal yani sijui vp?
Habari za kusikitisha mmiliki wa zahanati moja maarufu jijini iliyopo mtaa wa swahili kkoo dr f maro amefariki tar 7jan12 mungu aiweke mahala pazuri roho yake
mambo wana jf? Nlikuwa nafatilia sababu za vita ya walibya na nikajiuliza kwa wizi wa kura wa ccm,(ambao ni sawa na udikteta) kutotoa huduma muhimu kwa raia,haki za raia kupuuzwa,ufisadi na rushwa na mengine mengi. Je ya libya watz hatuyahitaji?
Habari za kusikitisha leo tar 17Oct 2011 wachina katka vipepelush vyao walivyobandika ktk maduka yao yote kariakoo na kwingineko wanasema "leo tar hatutafumgua maduka kuomboleza kifo cha mchina mwenzetu aliyeuawa na majambazi na tunasikitishwa na hali ya usalama mdogo wa raia pamoja na wageni...
ktk hali ambayo imenitia uoga leo asubuhi kumekutwa kitoto cha miaka kama miwili kikiwa kimeuawa na inasadikika muuaji alimfanyia ubakaji kabla ajamuua kutokana na sehemu ya kike na haja kubwa kuaribika sana inatisha. eneo la buguruni mnyamani relini
ndugu zangu wana IGUNGA najua mpo ktk wakati wa mgumu wa vishawishi vya vyama mbalimbali lakini muhimu muangale kuwa tupo ktk kipindi cha mageuzi ya kiutawala yani msidanganyike kwa yeyote atakaewaletea kanga,kofia,vilemba mkasahau shida zenu za kudumu kama maji,barabara,utu,huduma za afya...
Jamani ee mimi ni mtanzania halisia baba yangu mzawa wa Morogoro, halaf mama yangu mzawa wa Kihagara, Mbinga huko ziwa Nyasa jimbo la gamba Komba. Kifupi mimi imani yangu inakuwa ndogo sana na hawa ndugu zetu wahindi kwa ushawishi wa vitu vifuatavyo
1. Sio watu wa kujichanganya hata kwa kuzaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.