KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 197
Mwenye updates atujuze ni nini kinaendelea huko walipo maana nimewaona wanaandamana pamoja na polisi nikawa sijaelewa chezo wale polisi hawana silaha ya aina yeyote ile hata rungu nikajiuliza kama ingekuwa ni CHADEMA jamaa wangejikoki kama wanaenda kwenye mapambano na janjaweed au Taliban.
PoliCCM-CUF poleni sana.
PoliCCM-CUF poleni sana.