KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 197
tulichofanyiwa na hawa wanaojiita viongozi wa madhehebu ya kidini ni kinyume na hakizote za kibinadam sidhani kama Mungu aliwapa hadi upeo wa kufanya prediction ya kujua kiongozi huyu anafaa yule hafai mpaka wanatuingiza mkenge wa kuchagua viongozi ambao awaendani na hali halisi yetu nawachukia sana hawa viongozi kwa kujifanya miungu watu