KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 197
Kwa kuwa serikali yetu kwa asilimia kubwa inategemea sigara na pombe kwenye bajeti ya kuendeshea nchi na bado kuna matangazo wanayotokea kila siku kwenye vyombo vya habari kuwa matumizi ya hvyo vitegemezi vyetu vya bajeti mara ni noma mara ni hatari kwa afya. :my take. kama serikali itaendelea kuacha vyombo vya habari viendelee na matangazo haya kuna hatari baada ya wananch kuelewa nini kinatangazwa serikali itakosa vyanzo vya pesa ya bajeti hvyo basi serikali kupitia wizara ya habari vipige marufuk matangazo yote yanayohatarisha unywaji pombe na uvutaji sigara. :sent from my samsung galaxy s || using jamii forums