Road Traffic Signal
JF-Expert Member
- Mar 17, 2022
- 627
- 1,937
Nisiwachoshe sana, huyu bint anafanya siku ionekane fupi kila ukikutana na videos zake mitandaoni.
Kiufupi ni kama comedian flani kuanzia muonekano mpaka kauli zake.
Nilitazama interview moja anasema amelipwa dola za kimarekani 705(mia saba na tano) na kwamba anadai ni sawa milion kumi na saba za kibongo (anasisitiza kabisa zaidi ya mara nne).
Interview nyingine anasema walishuti ile video huko Arusha, na kwamba Arusha ni nchi nyingine haipo Tanzania. Akaulizwa ikiwa Dsm ni saa2 asubuhi je Arusha itakuwa saa ngapi? Anajibu saa6 mchana, dah miyeyusho sana.
Nimetazama interview yake nyingine kafanya Wasafi, dah ana vituko sana huyu bint, sijui ni kujitoa tu ufahamu au kielimu yupo ziiii hana ufahamu wala uelewa, ananifanya nifurahi, nicheke sana kila nitazamapo video zake mitandaoni
Kiufupi ni kama comedian flani kuanzia muonekano mpaka kauli zake.
Nilitazama interview moja anasema amelipwa dola za kimarekani 705(mia saba na tano) na kwamba anadai ni sawa milion kumi na saba za kibongo (anasisitiza kabisa zaidi ya mara nne).
Interview nyingine anasema walishuti ile video huko Arusha, na kwamba Arusha ni nchi nyingine haipo Tanzania. Akaulizwa ikiwa Dsm ni saa2 asubuhi je Arusha itakuwa saa ngapi? Anajibu saa6 mchana, dah miyeyusho sana.
Nimetazama interview yake nyingine kafanya Wasafi, dah ana vituko sana huyu bint, sijui ni kujitoa tu ufahamu au kielimu yupo ziiii hana ufahamu wala uelewa, ananifanya nifurahi, nicheke sana kila nitazamapo video zake mitandaoni