UMUCHAMICHI
Member
- Oct 20, 2012
- 41
- 13
Ndugu wana jf naomba kujua,ikitokea zzk akafukuzwa chadema kabla ya kutueleza(au kututajia majina ya hao watoloshaji) alikofikia kwenye uchunguzi wake wa mabilioni ya fedha zilizofichwa nje ya nchi,je ataweza kuendeleza hayo mapambano akiwa nje ya chadema?(chukulia mfano akatangaza kuhamia ccm).