johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,138
ACT Wazalendo leo wamefanya uchambuzi wa Ripoti ya CAG.
KC Zitto Kabwe amesema kuanzia mwaka 2015 Serikali imekuwa ikipeleka fedha kwa mabilioni Mkoani Mwanza ambazo hazijulikani ni za nini na huwa zinapokelewa na nani.
Zitto Kabwe amemtaka CAG kutolea maelezo ya kina yalipo mabilioni hayo ya walipakodi huko Mwanza.
Kadhalika Zitto Kabwe ametaka Polisi, TAKUKURU na TISS waongezewe uwezo ili waweze kudhibiti kabla ufisadi na wizi haujatokea kwani hali ni mbaya sana.
Source: ITV habari
KC Zitto Kabwe amesema kuanzia mwaka 2015 Serikali imekuwa ikipeleka fedha kwa mabilioni Mkoani Mwanza ambazo hazijulikani ni za nini na huwa zinapokelewa na nani.
Zitto Kabwe amemtaka CAG kutolea maelezo ya kina yalipo mabilioni hayo ya walipakodi huko Mwanza.
Kadhalika Zitto Kabwe ametaka Polisi, TAKUKURU na TISS waongezewe uwezo ili waweze kudhibiti kabla ufisadi na wizi haujatokea kwani hali ni mbaya sana.
Source: ITV habari