minji
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 2,751
- 4,933
Kula majani ya juu kama Twiga
Kula majani ya juu kama Twiga
Unaipandisha kwa kutazama angani huku kisogo kikielekea mgongoniNimejaribu kufanya hichi ulicho shauri hapa nikajikuta nacheka tu kama mwehu
Sasa shingo unaipandishaje juu chini ?
Huu uzi umenifurahisha
Kula majani ya juu kama Twiga
Kula majani ya juu kama Twiga
victor wa happy kunya maji yaliyo kwenye pipa,unajivuta kwenda chini
Aisee nimecheka balaaMkuu unataka utengeneze shingo iweje
Kula majani ya juu kama Twiga
kwani shingo yako imeharibika hadi unataka kuitengeneza??
tumia maski na kamba,uwe unanyanyua kwa kichwa
Kuwa na mawazo mengi kichwa kitakuwa kizito na hapo shingo lazima iwe gado
Kaombe kazi ya kukamua ng'ombe
Unaipandisha kwa kutazama angani huku kisogo kikielekea mgongoni
Chukua vigeleni viwili vya 5lt vifunge na kamba Nene kias then uvinyanyue Kwa shingo itapendeza zaid ukiwa umekaa
Ikiona vepesi ongeza Lita mkuu
HahahahUzi kiboko huu