Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,641
Wakuu msaada apo mwenye kufahamu zoezi la kutengeneza shingo tafadhali
Kwan shingo haitakiw ufanye mazoez chunga kauli yakokwani shingo yako imeharibika hadi unataka kuitengeneza??
Karibu tu.. Hata cha kiume choo vile vileSorry wajameni, naona nimeingia cha kiume hapa
Au mko kwenye banda la kaungalizia mpira? Maana si kwa kauli hizi...
Kujisaidia nikiwa wima sitaweza, wacha tu niwapishe muendeleeKaribu tu.. Hata cha kiume choo vile vile
Kuna zoezi la kuzungusha shingo kulia na kushoto kisha juu chini mara 20 kila upande, asubuhi na jioni. Itakupa matokeo chanya!Wakuu msaada apo mwenye kufaham zoezi la kutengeneza shingo tafwadhali
Nimejaribu kufanya hichi ulicho shauri hapa nikajikuta nacheka tu kama mwehuKuna zoezi la kuzungusha shingo kulia na kushoto kisha juu chini mara 20 kila upande, asubuhi na jioni. Itakupa matokeo chanya!