Shule gani nzuri ya kwenda form 1?

February Makamba

JF-Expert Member
Jan 31, 2020
2,116
2,820
Mambo vipi wakuu?

Mwaka huu mambo yakienda sawa nitamaliza darasa la 7.

Ni shule gani nzuri mnanishauri kwenda nikasome sekondari?

Iwe na sifa zifuatazo:

-Chakula kizuri (muhimu sana)
-Mazingira (library, computer room etc.)
-Inafaulisha.

NB; nataka shule mixer sio boys 2 men.
 
Mambo vipi wakuu?

Mwaka huu mambo yakienda sawa nitamaliza darasa la 7.

Ni shule gani nzuri mnanishauri kwenda nikasome sekondari?

Iwe na sifa zifuatazo:

-Chakula kiburi (muhimu sana)
-Mazingira (library, computer room etc.)
-Inafaulisha.

NB; nataka shule mixer sio boys 2 men.
Nikiangali umejiunga jamiiforums miaka mitatu nyuma. Umeingia humu ukiwa darasa la tano? Au wewe ni elimu maalumu ya watu wazima?
 
Nenda Milembe Sec School.

WANA MKATABA NA MAZINGIRA MAZURI (HUTOJUTIA).

KaziKwelikweli/JobTrueTrue
 
Mambo vipi wakuu?

Mwaka huu mambo yakienda sawa nitamaliza darasa la 7.

Ni shule gani nzuri mnanishauri kwenda nikasome sekondari?

Iwe na sifa zifuatazo:

-Chakula kizuri (muhimu sana)
-Mazingira (library, computer room etc.)
-Inafaulisha.

NB; nataka shule mixer sio boys 2 men.
Ongeza kahawa
 
Back
Top Bottom