Wanawake kupendelea kwenda gym

Gym.
Wanawake gym ni way back ndugu yangu.
Hata maofisini wayback zipo session za gym.
Wanawake gym ni kawaidaaa sana. Nina miaka 20 naona wanawake wengi gym.
Mfano mdogo wakazi wa kimara pale baruti. Baha mamama sheli wayback gym ile ina jaza wanawake na mabinti. More than 20 yrs ya ile gym.
 
Gym.
Wanawake gym ni way back ndugu yangu.
Hata maofisini wayback zipo session za gym.
Wanawake gym ni kawaidaaa sana. Nina miaka 20 naona wanawake wengi gym.
Mfano mdogo wakazi wa kimara pale baruti. Baha mamama sheli wayback gym ile ina jaza wanawake na mabinti. More than 20 yrs ya ile gym.


Mke wangu Gym bila mimi ni sawa na gari bila matairi, hamjuia wanawake, hata kama ni mwema uki mu expose unampoteza.
 
Mwanamke akitaka kuchepuka hauwezi mzuia tambua yule ni mtu mzima ana meno 32 kama wewe , hakuna haja ya kumnyimanyima vitu kwa hofu ya kuchepuka kama mtoto .

Anaweza chapwa humo humo ndani ukitoka , haya mahofu ya kuchapiwa ndio maana hayo mandoa yenu hayadumu .

Wazee wazamani walijua kuchapiwa kupo ,ndio maana wakikaribia na nyumbani walitumia hekima yakupiga mluzi ili kama kuna tofauti waweke mambo sawa maisha yaendelee .

Vijana wa sasa mnaoingia kwenye ndoa hawana wala hawawezi kuwa na hekima ya hivi ndio maana ndoa zimegeuka ndoano.
Zamani Ukimwi haukuwepo, Ghono na Kaswende walidhani ni stori.

Wanawake walinyanduliwa kutokana na Genye na sio vinginevyo.

Hivyo usifananishe zama utakufa kinywa wazi.
 
Zamani Ukimwi haukuwepo, Ghono na Kaswende walidhani ni stori.

Wanawake walinyanduliwa kutokana na Genye na sio vinginevyo.

Hivyo usifananishe zama utakufa kinywa wazi.
Kumbe sasa watu mnalinda kwa sababu ya magonjwa! Ooh sawa.

Ila wakupigwa atapigwa tu ata ufanye nini.
 
Back
Top Bottom