Ili wapate Pumzi wakati wa Mapishi ya Ndani.Kumekuwa na ongezeko la wanawake kwenda mazoezini (Jim) bila hata ya waume zao.Inasemekana huko mazoezini wanafaidi sana kuimarisha afyaHongereni sana wanaume kwa kuona umuhimu wa mazoezi kwa wake zenu
nguvu za kijinsia ni janga 🐒Kumekuwa na ongezeko la wanawake kwenda mazoezini (Jim) bila hata ya waume zao.Inasemekana huko mazoezini wanafaidi sana kuimarisha afyaHongereni sana wanaume kwa kuona umuhimu wa mazoezi kwa wake zenu
TumefanyajeKuna wa gym na hawa wa kukimbia barabarani.
mnajitahidi sana kutafta pumzi na stamina ila vitambi vimegoma kuachia dah🐒Tumefanyaje
Gym.
Wanawake gym ni way back ndugu yangu.
Hata maofisini wayback zipo session za gym.
Wanawake gym ni kawaidaaa sana. Nina miaka 20 naona wanawake wengi gym.
Mfano mdogo wakazi wa kimara pale baruti. Baha mamama sheli wayback gym ile ina jaza wanawake na mabinti. More than 20 yrs ya ile gym.
Kaenda gesti huyoKuna cku bana tupo gym kaja mdada m1 na kispika chake ananukia vzuri, kuingia mule gym akakaa kwenye kibench anachezea cm zaid ya nusu saa then akashuka chin akachkua gar ake akasepa, skumwelewa kwakwel
Zamani Ukimwi haukuwepo, Ghono na Kaswende walidhani ni stori.Mwanamke akitaka kuchepuka hauwezi mzuia tambua yule ni mtu mzima ana meno 32 kama wewe , hakuna haja ya kumnyimanyima vitu kwa hofu ya kuchepuka kama mtoto .
Anaweza chapwa humo humo ndani ukitoka , haya mahofu ya kuchapiwa ndio maana hayo mandoa yenu hayadumu .
Wazee wazamani walijua kuchapiwa kupo ,ndio maana wakikaribia na nyumbani walitumia hekima yakupiga mluzi ili kama kuna tofauti waweke mambo sawa maisha yaendelee .
Vijana wa sasa mnaoingia kwenye ndoa hawana wala hawawezi kuwa na hekima ya hivi ndio maana ndoa zimegeuka ndoano.
Kumbe sasa watu mnalinda kwa sababu ya magonjwa! Ooh sawa.Zamani Ukimwi haukuwepo, Ghono na Kaswende walidhani ni stori.
Wanawake walinyanduliwa kutokana na Genye na sio vinginevyo.
Hivyo usifananishe zama utakufa kinywa wazi.
Hawa wa kukimbia barabarani.... vile vivazi vya... Namuachia MunguKuna wa gym na hawa wa kukimbia barabarani.