kitu cha super glueNawewe umeunga unga tuvijistori ili uonekane una utaalamu wa mambo ya giza,dah!
kwa mujibu wa kitabu cha carlos Castaneda "The Art Of Dreaming" anasema kuwa binadamu amesaliwa katila vyumba99 lakini by default he is programed to detact only one room... other rooms needs special activation of certain kind of energyZiwa Tanganyika linasifika sana kwa urefu Wa kina chake, dagaa watamu wasio na mchanga, samaki aina ya migebuka, meli ya MV Lihemba na fukwe zake nzuri zenye mchanga mweupe zinazozungukwa na milima yenye uoto mbichi Wa kijani kibichi.
Mbali ya sifa hizo pia Ziwa Tanganyika linasifa nyingine tofauti kwenye ulimwengu Wa kiroho. Ziwa Tanganyika ni mlango Wa kuzimu.
Wachawi wote NGULI Wa Sumbawanga, Kigoma na Congo ambayo zamani ilijulikana kama Zaire hutoka katika ziwa hili.
Uchawi Wa Gamboshi umetokea ndani ya ziwa hili. Uchawi Wa Wamanyafu nao mizizi yake ni kwenye hili ziwa.
Ili kuweza kwenda kuzimu unahitajika kuwa na mtaalam mzoefu ambaye atakuombea kibali cha kwenda huko.
Miongoni mwa mahitaji muhimu ya safari yako ni mayai saba viza, mbuzi mweupe au mweusi asiye na doa wala baka lolote, kucha za bundi, manyoya ya shingoni ya kipanga Aziz na vitu vingine utakavyoambiwa na kiongozi wako.
Kwenu wap.maana njia rahisi yakwenda karemi utapitia Kirando au sibwesa au ikola ndo rahisi sasa kwenu wap alafu muachw kupotosha watu heti ziwa Tanganyika ni mlango wa kuzimu.Nipo hapa uje nikutembeze, toka kwetu mpaka karemi au moba congo ni masaa ma3 tu, ukuje mukubwa
Kwetu utinta jooKwenu wap.maana njia rahisi yakwenda karemi utapitia Kirando au sibwesa au ikola ndo rahisi sasa kwenu wap alafu muachw kupotosha watu heti ziwa Tanganyika ni mlango wa kuzimu.
Hapana,ni kipanga aziziduuuu huyu c sokwe huyu.???
We ,muha acha sifa,maana waha wanajifanya wakongomaniiiNipo hapa uje nikutembeze, toka kwetu mpaka karemi au moba congo ni masaa ma3 tu, ukuje mukubwa
hahaha sawa nutu ya ngamboWe ,muha acha sifa,maana waha wanajifanya wakongomaniii
KAREMI ndio mji gani huo.
Tuulize sie wamanyema wa Asili,inaitwa Kalemi au unaiswagisha kifaransia KALEMIE
SIO KAREMI,alaaaa
Halafu sio mukulu papaa,ni papaa Mukulu
Haaaha aaaaah! Mbavu zangu mie kama nyesipe!Hahahahah!!
Ndio maana watu wa huko macho yao yamezungukwa na vipele vingi sana!
Kuzimu ni wapi bcoz wale wanasayansi wanaoishi kwenye space wanaiona dunia kama tufe inayoelea wao kuzimu hawapaoni?Ziwa Tanganyika linasifika sana kwa urefu Wa kina chake, dagaa watamu wasio na mchanga, samaki aina ya migebuka, meli ya MV Lihemba na fukwe zake nzuri zenye mchanga mweupe zinazozungukwa na milima yenye uoto mbichi Wa kijani kibichi.
Mbali ya sifa hizo pia Ziwa Tanganyika linasifa nyingine tofauti kwenye ulimwengu Wa kiroho. Ziwa Tanganyika ni mlango Wa kuzimu.
Wachawi wote NGULI Wa Sumbawanga, Kigoma na Congo ambayo zamani ilijulikana kama Zaire hutoka katika ziwa hili.
Uchawi Wa Gamboshi umetokea ndani ya ziwa hili. Uchawi Wa Wamanyafu nao mizizi yake ni kwenye hili ziwa.
Ili kuweza kwenda kuzimu unahitajika kuwa na mtaalam mzoefu ambaye atakuombea kibali cha kwenda huko.
Miongoni mwa mahitaji muhimu ya safari yako ni mayai saba viza, mbuzi mweupe au mweusi asiye na doa wala baka lolote, kucha za bundi, manyoya ya shingoni ya kipanga Aziz na vitu vingine utakavyoambiwa na kiongozi wako.
Waarusha wanaita Makurang'a,chakula chao kikubwa ni parachichi zilizokomaa lakini ambazo hazijaiva na wanakata kama mkasi.Kwetu Kilimanjaro wana msimu wao wa kuja, akikaa mahali huwa wakati wa kuondoka hupiga kelele.
Wakati mwingine hulia kwa kupokezana
Yakiwa mengi sisi tunayaita maharang'a na likiwa limoja linaitwa iharang'a kwa lugha ya kichagga
Vitabu vya Geography vinahitaji updates kama Ziwa tanganyika limekuwa mlango wa kwenda KuzimuZiwa Tanganyika linasifika sana kwa urefu Wa kina chake, dagaa watamu wasio na mchanga, samaki aina ya migebuka, meli ya MV Lihemba na fukwe zake nzuri zenye mchanga mweupe zinazozungukwa na milima yenye uoto mbichi Wa kijani kibichi.
Mbali ya sifa hizo pia Ziwa Tanganyika linasifa nyingine tofauti kwenye ulimwengu Wa kiroho. Ziwa Tanganyika ni mlango Wa kuzimu.
Wachawi wote NGULI Wa Sumbawanga, Kigoma na Congo ambayo zamani ilijulikana kama Zaire hutoka katika ziwa hili.
Uchawi Wa Gamboshi umetokea ndani ya ziwa hili. Uchawi Wa Wamanyafu nao mizizi yake ni kwenye hili ziwa.
Ili kuweza kwenda kuzimu unahitajika kuwa na mtaalam mzoefu ambaye atakuombea kibali cha kwenda huko.
Miongoni mwa mahitaji muhimu ya safari yako ni mayai saba viza, mbuzi mweupe au mweusi asiye na doa wala baka lolote, kucha za bundi, manyoya ya shingoni ya kipanga Aziz na vitu vingine utakavyoambiwa na kiongozi wako.
kuzimu ni shimo la umautiKuzimu ni wapi bcoz wale wanasayansi wanaoishi kwenye space wanaiona dunia kama tufe inayoelea wao kuzimu hawapaoni?