Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,232
- 39,961
Huyu???Buha tunamwita gihugugu.
Huyu???Buha tunamwita gihugugu.
Hybridduuuu huyu c sokwe huyu.???
Aisee umenistua kidogo. Niliwahi pita kigoma nikasikiaga kuna sehemu kunaitwa kuzimu huko ukitaka kutajirika unapelekwa kwenye hilo ziwa na wenye mambo yao alafu unazamishwa utatoweka utakayokutana nayo huko utajua mwenyewe ukifanikiwa kuibuka basi kile ulichonuwia kukifuata huko utafanikiwa sana kama ulifuata uchawi basi utakua balaa na kama ulifuata utajiri aaah ni noma lakini posibility ya wewe kurudi kutoka huko ni ndogo sana. Sasa wewe nae umeleta hii habari mmh au muha wewe?Ziwa Tanganyika linasifika sana kwa urefu Wa kina chake, dagaa watamu wasio na mchanga, samaki aina ya migebuka, meli ya MV Lihemba na fukwe zake nzuri zenye mchanga mweupe zinazozungukwa na milima yenye uoto mbichi Wa kijani kibichi.
Mbali ya sifa hizo pia Ziwa Tanganyika linasifa nyingine tofauti kwenye ulimwengu Wa kiroho. Ziwa Tanganyika ni mlango Wa kuzimu.
Wachawi wote NGULI Wa Sumbawanga, Kigoma na Congo ambayo zamani ilijulikana kama Zaire hutoka katika ziwa hili.
Uchawi Wa Gamboshi umetokea ndani ya ziwa hili. Uchawi Wa Wamanyafu nao mizizi yake ni kwenye hili ziwa.
Ili kuweza kwenda kuzimu unahitajika kuwa na mtaalam mzoefu ambaye atakuombea kibali cha kwenda huko.
Miongoni mwa mahitaji muhimu ya safari yako ni mayai saba viza, mbuzi mweupe au mweusi asiye na doa wala baka lolote, kucha za bundi, manyoya ya shingoni ya kipanga Aziz na vitu vingine utakavyoambiwa na kiongozi wako.
Duh hizi picha mnazitoa wapi jaman, kufungua post za hivi yahitaji moyo vinginevyo utaweweseka sana usikuHuyu hapa Kipanga Azizi
![]()
Pole sana mkuu..Duh hizi picha mnazitoa wapi jaman, kufungua post za hivi yahitaji moyo vinginevyo utaweweseka sana usiku
Buha tunamwita gihugugu.
Maelezo zaidi basiMiaka si mingi nyuma, ukiwa na kipara wewe ni dili Ziwa Tanganyika. Wenye kipara walipotea katika mazingira ya kutatanisha na miili yao ilipatikana ikiwa haina vichwa.
Sometimes ni elimu tu ya ufahamu wa hayo mamboMtoa mada nae pia atakuwa nimember wa kwenda huko kuzimu, coz anajua hata taratibu za jinsi ya kwenda.
Kuna njia mbalimbali za kujifunza nje ya taasisi rasmi za kielimu kumbuka hata shule kuna vitabu vya kiada na vitabu vya ziadaMshana,pamoja na elimu lkn ninavyo fahamu tz haina chuo cha kufundisha hiyo kitu labda kwa wenzetu ng'anbo
Siku hizi huhitaji hard copy unaenda Google unaandika topic yako unapata kila kituNi sawa but kwa Nchi nambie ni kitabu gani kimeandika mbinu za kufuata ili uwe mchawi au uende kuzimu? Nitajie nami nijifunze.