Ziwa Tanganyika: Je Kampuni ya Ndege ya KLM iwajibishwe na Tz

Nipo ndani ya Ndege ya KLM , naangalia screen iki-display ramani ya Africa ghafla ikaonyesha Ziwa lenye mgogoro Kati ya Tanzania na Malawi na ikaandika "Ziwa Malawi".....Je kufanya hivi ni bahati mbaya au ni maksudi kabisa.

Na kibaya zaidi Hii Ndege inatoka Amsterdam kuja straight KIA na Dar then Amsterdam.

Nini maoni yako mdau?

View attachment 474600
Ziwa Nyasa ndilo jina la asili, Malawi ilipobadirisha jina la nchi yako kutoka Nyasaland kuwa Malawi pia wakabadirisha jina la hilo ziwa kuwa Lake Malawi, Sisi Tanzania tulibakia na jina la Lake Malawi, Mozambique wao wanaliita Lake Niassa
 
Ziwa Nyasa ndilo jina la asili, Malawi ilipobadirisha jina la nchi yako kutoka Nyasaland kuwa Malawi pia wakabadirisha jina la hilo ziwa kuwa Lake Malawi, Sisi Tanzania tulibakia na jina la Lake Malawi, Mozambique wao wanaliita Lake Niassa
Usahihi upo wapi hapa?
 
Wazungu nafikiri waholanzi au washirika wao wamepata mafuta /gas upande wa Tanzania. Anzia hapo
 
Siyo mzoefu wa kupanda ndege. Nimepanda mara chache KLM ikiwa mojawapo ! Nakumbuka mara nyingi wanadisplay zile sehemu unazoruka kwa wakati huo pamoja na zile unazoelekea muda mfupi ujao, pamoja na wakati/muda nyumbani na destination. Hivi ukitoka Shimphol kuja Kia unapitaje ?
 
Usahihi upo wapi hapa?

Mwaka 1967 mgogoro wa kwanza wa mpaka kati ya Malawi na Tanzania ulipoanza, Malawi ndio walilibadirisha jina kuwa Lake Malawi, hope walifata utaratibu wa kubadirisha majina kwenye Body husika, lakini hawakuzihusisha Tanzania na Mozambique kwenye hayo mabadiriko na ndio kisa cha Tanzania na Mozambique kubaki na jina la Asili la Nyasa/Niassa
Nyerere aliwahi kusema hata wakibadirisha jina hawawezi badirisha ukweli wowote kuwa Tanzania ina haki ya hayo maji, Ziwa linaweza kuitwa jina lolote.

Ni kitu cha kawaida kubadirisha jina la kitu maarufu, Ziwa victoria lilikuwa likiitwa Lake Nyanza na lilikuwa likijulikana hivyo na nchi zote za Tanzania, Kenya na Uganda, lakini Waingereza ndio walilibadirisha jina na kiwa Lake Victoria.

Mifano ya kubadirisha majina ya miji au vitu maarufu iko mingi Duniani
Mumbai to Bombay then to Mumbai again
 
We mwenyewe umekosea kuandika ziwa Tanganyika kwenye Heading, ni ziwa Nyasa ,na Nyasaland ni Malawi.Jina halimaanishi ni la malawi.Mpaka ndio unaonyesha ni la wapi.Rejea ziwa Tanganyika, sio kwamba lote ni la Tanganyika

Labda ana issue na hilo pia kwani halionekani vizuri kwenye screen.
 
Siyo mzoefu wa kupanda ndege. Nimepanda mara chache KLM ikiwa mojawapo ! Nakumbuka mara nyingi wanadisplay zile sehemu unazoruka kwa wakati huo pamoja na zile unazoelekea muda mfupi ujao, pamoja na wakati/muda nyumbani na destination. Hivi ukitoka Shimphol kuja Kia unapitaje ?
Haipitii kokote, ni direct flight kutoka Amsterdam kwenda KIA...
 
Mwaka 1967 mgogoro wa kwanza wa mpaka kati ya Malawi na Tanzania ulipoanza, Malawi ndio walilibadirisha jina kuwa Lake Malawi, hope walifata utaratibu wa kubadirisha majina kwenye Body husika, lakini hawakuzihusisha Tanzania na Mozambique kwenye hayo mabadiriko na ndio kisa cha Tanzania na Mozambique kubaki na jina la Asili la Nyasa/Niassa
Nyerere aliwahi kusema hata wakibadirisha jina hawawezi badirisha ukweli wowote kuwa Tanzania ina haki ya hayo maji, Ziwa linaweza kuitwa jina lolote.

Ni kitu cha kawaida kubadirisha jina la kitu maarufu, Ziwa victoria lilikuwa likiitwa Lake Nyanza na lilikuwa likijulikana hivyo na nchi zote za Tanzania, Kenya na Uganda, lakini Waingereza ndio walilibadirisha jina na kiwa Lake Victoria.

Mifano ya kubadirisha majina ya miji au vitu maarufu iko mingi Duniani
Mumbai to Bombay then to Mumbai again
Shukran Mkuu
 
Ndege ya kutoka Amsterdam KIA hadi Dar inarukaje juu ya Ziwa Nyasa?
Hapana haipitii Ziwa Tanganyika/Nyasa ila screen ya ndege inaonyesha kote huko mpk Ziwa Victoria, inaonyesha nchi za Uganda, Kenya,....yaani nchi za jirani zote...
 
Mwaka 1967 mgogoro wa kwanza wa mpaka kati ya Malawi na Tanzania ulipoanza, Malawi ndio walilibadirisha jina kuwa Lake Malawi, hope walifata utaratibu wa kubadirisha majina kwenye Body husika, lakini hawakuzihusisha Tanzania na Mozambique kwenye hayo mabadiriko na ndio kisa cha Tanzania na Mozambique kubaki na jina la Asili la Nyasa/Niassa
Nyerere aliwahi kusema hata wakibadirisha jina hawawezi badirisha ukweli wowote kuwa Tanzania ina haki ya hayo maji, Ziwa linaweza kuitwa jina lolote.

Ni kitu cha kawaida kubadirisha jina la kitu maarufu, Ziwa victoria lilikuwa likiitwa Lake Nyanza na lilikuwa likijulikana hivyo na nchi zote za Tanzania, Kenya na Uganda, lakini Waingereza ndio walilibadirisha jina na kiwa Lake Victoria.

Mifano ya kubadirisha majina ya miji au vitu maarufu iko mingi Duniani
Mumbai to Bombay then to Mumbai again
Very nice comment
Na tofauti zetu na Wamalawi ni kwenye mpaka na jina la ziwa
 
Hapana haipitii Ziwa Tanganyika/Nyasa ila screen ya ndege inaonyesha kote huko mpk Ziwa Victoria, inaonyesha nchi za Uganda, Kenya,....yaani nchi za jirani zote...
Sasa sikiliza:Hizi ndege (planes) zinatumia kitu kinaitwa Global position system(GPS) kuziongoza Hizi GPS zina ramani ya dunia ndani yake nadhani wanashirikiana na google earth.Ndege nyingi zinatumia GPS za Garmin.Ukitaka kubadilisha hilo jina la Malawi kwenda Nyasa lazima kupeleka suala lako la waandaaji wa ramani za dunia(Obvious server iko kwa US Geological survey) na siyo hizo ndege unazozipanda.Na hiki siyo kitu rahisi.In this case KLM/na ndege nyingine hawahusiki na unachokisema.
Shukran Mkuu

Nipe flight number mkuu!

sasa mkuu wewe huko amsterderm ndo umefata nn

na uchumi huu bana,
 
Wengi wanafahamu kua jina ni ziwa Malawi... Inaelekea ramani wanayotumia ndo iko ivo, si wa kulaumiwa.
 
Back
Top Bottom