DOKEZO Je, kuna nini kinaendelea JNIA Terminal 3? Ndege hazitui wala kuondoka

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Watu8

Platinum Member
Feb 19, 2010
70,993
94,015
Swali kwa mamlaka husika yenye kusimamia Termanal 3 ya Dar es Salaam, je ni kwanini ndege toka nje zimeshindwa kutua wala kuondoka karibu siku nzima ya jana na hata sasa?

Kuna tatizo gani ambalo halipo bayana kiasi cha wasafiri kujikuta wakipoteza muda wao hapo uwanjani na safari zao kuwa cancelled?

Ukiacha hilo, wasafiri wengine wapo stranded viwanja vya karibu kama KIA na JKINA wakisubiri hatma ya kufika Dar es Salaam.

Huku tetesi zilizopo zikiwa ubovu/hitilafu ya miundombinu kwenye runway, je ni kweli na kama ni kweli kwa nini iwe jana na leo na sio siku nyingine?

Je terminal 3 haina runway zaidi ya moja kwa ndege kubwa?

Hii picha chini ni status ya flight # KL0569 (KLM) ambayo jana ilishindwa kufika JNIA (Dar), hivyo ikabaki JRO (KIA) hadi sasa ikisubiri kwenda Dar kushusha abiria na kuchukua abiria waliopaswa kwwnda Amsterdam

1669538495760.png

EEED23C6-B5EC-459F-A3B3-8760264AEE02.jpeg

3D038367-27E3-44F8-ADD1-B62F708515CC.jpeg


Naambiwa runway imechimbika hivyo ndege kubwa ambazo zinahitaji eneo kubwa la kukimbia kabla ya kuruka (initial velocity) haziwezi kutokana na hayo mashimo.
 
Swali kwa mamlaka husika yenye kusimamia Termanal 3 ya Dar es Salaam, je ni kwanini ndege toka nje zimeshindwa kutua wala kuondoka karibu siku nzima ya jana na hata sasa?

Kuna tatizo gani ambalo halipo bayana kiasi cha wasafiri kujikuta wakipoteza muda wao hapo uwanjani na safari zao kuwa cancelled?

Ukiacha hilo, wasafiri wengine wapo stranded viwanja vya karibu kama KIA na JKINA wakisubiri hatma ya kufika Dar es Salaam.

Huku tetesi zilizopo zikiwa ubovu/hitilafu ya miundombinu kwenye runway, je ni kweli na kama ni kweli kwa nini iwe jana na leo na sio siku nyingine?

Je terminal 3 haina runway zaidi ya moja kwa ndege kubwa?
Cc Pdidy, nyboma (tiss uchwara), barafu
 
Swali kwa mamlaka husika yenye kusimamia Termanal 3 ya Dar es Salaam, je ni kwanini ndege toka nje zimeshindwa kutua wala kuondoka karibu siku nzima ya jana na hata sasa?

Kuna tatizo gani ambalo halipo bayana kiasi cha wasafiri kujikuta wakipoteza muda wao hapo uwanjani na safari zao kuwa cancelled?

Ukiacha hilo, wasafiri wengine wapo stranded viwanja vya karibu kama KIA na JKINA wakisubiri hatma ya kufika Dar es Salaam.

Huku tetesi zilizopo zikiwa ubovu/hitilafu ya miundombinu kwenye runway, je ni kweli na kama ni kweli kwa nini iwe jana na leo na sio siku nyingine?

Je terminal 3 haina runway zaidi ya moja kwa ndege kubwa?

Hii picha chini ni status ya flight # KL0569 (KLM) ambayo jana ilishindwa kufika JNIA (Dar), hivyo ikabaki JRO (KIA) hadi sasa ikisubiri kwenda Dar kushusha abiria na kuchukua abiria waliopaswa kwwnda Amsterdam

View attachment 2428883

Ni mambo ya aibu sana
Naambiwa runway imechimbika hivyo ndege kubwa ambazo zinahitaji eneo kubwa la kukimbia kabla ya kuruka (initial velocity) haziwezi kutokana na hayo mashimo.


Ni aibu kubwa sana, ivi kweli Rais anaona haya mambo?
Waziri Mkuu?
Makamo wa Rais
Viongozi wakubwa
Uongozi wa Airport

Ni aibu kubwa sana hii nchi, kuna wakati najisikia mnyonge sana kuwa mtanzania
 
Back
Top Bottom