Ziwa Tanganyika: Je Kampuni ya Ndege ya KLM iwajibishwe na Tz

Nali

JF-Expert Member
Mar 31, 2010
1,155
811
Nipo ndani ya Ndege ya KLM , naangalia screen iki-display ramani ya Africa ghafla ikaonyesha Ziwa lenye mgogoro Kati ya Tanzania na Malawi na ikaandika "Ziwa Malawi".....Je kufanya hivi ni bahati mbaya au ni maksudi kabisa.

Na kibaya zaidi Hii Ndege inatoka Amsterdam kuja straight KIA na Dar then Amsterdam.

Nini maoni yako mdau?

IMG_20170225_233423.jpg
 
Nipo ndani ya Ndege ya KLM , naangalia screen iki-display ramani ya Africa ghafla ikaonyesha Ziwa lenye mgogoro Kati ya Tanzania na Malawi na ikaandika "Ziwa Malawi".....Je kufanya hivi ni bahati mbaya au ni maksudi kabisa.

Na kibaya zaidi Hii Ndege inatoka Amsterdam kuja straight KIA na Dar then Amsterdam.

Nini maoni yako mdau?

View attachment 474600


Kwani wewe ulitaka waliite hilo Ziwa jina gani? Ziwa Kyela au
 
utata katuachi aliyetuloga.... kwa taratibu za kimataifa. nxhi mbili zinapoingiliana mpaka ukawa kuna mto, ziwa lazima mpaka uwe katikati ya maji. mbona malawi na msumbiji mpaka umepita katikati ya ziwa?
 
Nipo ndani ya Ndege ya KLM , naangalia screen iki-display ramani ya Africa ghafla ikaonyesha Ziwa lenye mgogoro Kati ya Tanzania na Malawi na ikaandika "Ziwa Malawi".....Je kufanya hivi ni bahati mbaya au ni maksudi kabisa.

Na kibaya zaidi Hii Ndege inatoka Amsterdam kuja straight KIA na Dar then Amsterdam.

Nini maoni yako mdau?

View attachment 474600
Nipe flight number mkuu!
 
We mwenyewe umekosea kuandika ziwa Tanganyika kwenye Heading, ni ziwa Nyasa ,na Nyasaland ni Malawi.Jina halimaanishi ni la malawi.Mpaka ndio unaonyesha ni la wapi.Rejea ziwa Tanganyika, sio kwamba lote ni la Tanganyika
 
Hebu chukua GPS yenye ramani au Trimble alafu angalia ramani ya mpaka eneo la ilo ziwa umepita wapi alafu urudi tujadiliane pamoja.
 
tumejua km unaedna amsterdam,sema kingine,ziwa nyasa la wanyasa ziwa tanganyika letu.

jaribu kwenda chooni kwa klm upunguze mawazo,ukirudi watume hao wadada wine kisha ulale.safari ndefu hiyo hayo maramani yatakuumiza kichwa km umeanza kucomplain hapo mbeya tu
 
tumejua km unaedna amsterdam,sema kingine,ziwa nyasa la wanyasa ziwa tanganyika letu.

jaribu kwenda chooni kwa klm upunguze mawazo,ukirudi watume hao wadada wine kisha ulale.safari ndefu hiyo hayo maramani yatakuumiza kichwa km umeanza kucomplain hapo mbeya tu
Hehehe
 
We mwenyewe umekosea kuandika ziwa Tanganyika kwenye Heading, ni ziwa Nyasa ,na Nyasaland ni Malawi.Jina halimaanishi ni la malawi.Mpaka ndio unaonyesha ni la wapi.Rejea ziwa Tanganyika, sio kwamba lote ni la Tanganyika
Mimi sikutaka kurudia makosa waliyofanya KLM, mm ni mtanzania na nimeumizwa na hiyo display ya screen ya ndege....
 
tumejua km unaedna amsterdam,sema kingine,ziwa nyasa la wanyasa ziwa tanganyika letu.

jaribu kwenda chooni kwa klm upunguze mawazo,ukirudi watume hao wadada wine kisha ulale.safari ndefu hiyo hayo maramani yatakuumiza kichwa km umeanza kucomplain hapo mbeya tu
Watu wengine bhana,,,,, Sijashindwa kujibu utumbo wako, nimekupuuza kabisa....
 
We mwenyewe umekosea kuandika ziwa Tanganyika kwenye Heading, ni ziwa Nyasa ,na Nyasaland ni Malawi.Jina halimaanishi ni la malawi.Mpaka ndio unaonyesha ni la wapi.Rejea ziwa Tanganyika, sio kwamba lote ni la Tanganyika
Indian Ocean pia sio ya wahindi! Let's lay a low profile tutengeneze Pesa tukiwa na ufahamu kuwa hakuna mzungu, mwarabu, mchina, mhindi au mtu yeyote ambaye sio mtanzania anayetutakia kheri. Tuilinde na kuiombea nchi yetu pamoja na kuipenda kwa dhati
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom