Mh ZITTO. unakumbuka mwaka 2009 kama sikosei ulikorofishana na CHADEMA wenzio ikapelekea hadi kina Kafilila na wenzie wakahamia NCCR? Unakimbuk iliundwa kamti kukusuruhisha akiwemo marehemu mpendwa wetu mama yako? Unkumbuka ulisema unatembea na barua mfukoni ya kujiuzuru wakati wowote? Unakumbuka ulipokua umelazwa hosp nchini INDIA ulituhumiwa kutaka kumpindua Mwenyekiti wa NCCR ndg Mbatia kwa kumtumia Kafulila mkajaribu kumshawishi Moses Machali lakini alikataa na Machali alikukemea sana wewe kupitia kipindi cha tuongee asubuhi? Unakumbuka hali hiyo ilipelekea Kafulila kufukuzwa NCCR hadi akalia na baadae kusamehewa? Mh kwa nini wenzio wakipanga kutoka bungeni wakati KIKWETE alipozindua bunge wewe uligoma kuungana nao na kubaki chumbani?
Mbona unarudia hadithi za kale, Huyu ZITTO si ameshaelezea sababu za yeye kutofautiana na viongozi wenzie kuwa ni kukuza demokrasia ndani ya CHAMA?au DEMOKRASIA kwenye CHADEMA inamaanisha nini?
Unakubaliana na mimi kuwa wakati huo wabunge wote wa Chadema walikua wegeni bungeni isipokua wabunge wote wa 2005 kasoro DK Slaa tu? sasa ni wageni gani au wapambe gani waliokukuta CHADEMA waliokugombanisha na Mbowe 2010 ambao pia walikugombanisha nae 2009 kabla ya uchaguzi mkuu ikapelekea wewe kutembea na barua na akina KAFULILA kuhamia NCCR? WHY ONLY YOU? Mkuu kwa nini ugombanishwe wewe tu na Mbowe na sio Slaa na Mbowe.
Haya maswali ya kitoto, kwani ni siri kuwa ugomvi wa hawa mafahari wawili ni kwa sababu ya ZITTO kutaka kuwa mwenyekiti?sasa akagombane na Slaa katibu mkuu wakati yeye aspiration yake kuwa mwenyekiti wa CDM?
Dr.Slaa hakuwahi kuwa na ambitions za kuwa Mwenyekiti wa CDM especially publicly.
Mkuu kama umesema huna kinyongo umeanza lini kutokuwa na kinyongo?
Hakuna mtu aendaye mahakamani bila kuwa na Kinyongo, concept nzima ya mahakama ni kugawa haki, kuondoa vinyongoi kwa lugha nyengine.alichokielezea ZITTO ni kuwa ameenda UMRA ili kuondoa kinyongo cha kupelekana na jamaa zake mahakamani.
Mkuu kwa nini ulisema Mbowe alihongwa na Nimrod Mkono na Mkono akakanusha?. Mkuu uko tayari CHADEMA iendelee bila wewe kuwepo?
Hujui kuwa CDM walituma waraka kuonesha kuwa ZITTO anahongwa na CCM?hujui kuwa ghadhabu za kutuhumiwa ndio zilisababisha yeye kutoa tuhuma zile?mbona maswali yako mengi ni public knowledge?hayana tofauti na kuwauliza wazanzibari kwa nini wanapenda kuvaa kanzu.
na uko tayari CCM ing'olewe uchaguzi ujao? Mahusiano na mawasiliano yako na Jack Zoka na Rostam unafikiri yaliwafurahisha viongozi wenzio wa CHADEMA?na unafikiri yalikua yana manufaa kwa chama cha CHADEMA? JE? huoni kuwa mawasiliano hayo ndio yamekuchonganisha na wenzio? Unafikiri wenzio watakuamini kweli kwa mawasiliano ja mahasimu wao.
Wewe umeishia darasa la ngapi?la nne?TISS wawe na Uhasimu na CDM TISS ni chama cha siasa?Umesahau Slaa alisema NUSU ya TISS wanaripoti kwake?kuna ubaya gani 10% ya TISS wakiripoti kwa ZITTO if we are to assume Katibu Mkuu wa CDM kama Taasisi?ZITTO katika capacity yake kama Naibu Katibu Mkuu anafanya kazi kwa ukaribu na Katibu Mkuu,hivyo hayo mawasiliano kwa Slaa ni shujaa, ila kwa Zitto Msaliti.
Unajua kuwa mtu hawezi kutunga bank statement au kumbukumbu za mawasiliano ya simu za CELLPHONE? Kwa hayo machache yote umechonganishwa n wapambe? mimi ni mmoja wa watu niliokua mshabiki wako mkubwa na hadi leo.
Huwezi kutunga Bank statement????????
Ndugu,hiyo mihuri ya magogoni tu inapatikana posta itakuwa Bank statement?
naona hapo kwenye red umeamua kututajia kiwango chako cha elimu sasa.
Kijana acha kuwa mshabiki, acha kushabikia watu, nyie ndio sehemu ya tatizo, tafuta itikadi unayoiamini, unayoielewa, unayoshabihiana nayo, ifuate hiyo.Kinyume na hapo utageuka bendera. Siasa sio kandanda.