Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe


Mwenzio baada ya post hii, keshaingiza siku na watoto wake wameshapata nguvu ya kuwapeleka chooni.
 
Hivi Yule jamaa wa magazeti ya Udaku bado hajaona kipaji chako?

Hivi mods hawaoni topic zako wakusaidie kuziweka kule jukwaa la majungu na udaku?

 
huyu jamaa yeriko sijui katoa wapi hili jina la baba wa taifa? Mbona mwl hakuwa ivi?
 
Hati uturudishie kadi yetu...

Kwi kwi kwi kwi kwi! Teh teh teh teh teh!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…