Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe

Kadi ya Chadema au tiketi ya kuingilia Club Billicanas?

 
 
Hadhi yako ni kumpikia mbowe chai na kufafia ofisi, huna hadhi ya kuwa mjumbe baraza kuu..teh teh, kesho wakati wajumbe wanachagua viongoz wa bavicha utakuwa nje kwenye benchi usubir matokeo utuletee huku jf..

Kachukue ki buku saba chako usije kushindwa kukata gogo buree.
 
He..sijui nimekosea njia au naota?! yaani kama vile kichaa kanyakua nguo za jamaa anaeoga mtoni kakimbia na mwenye nguo anamfukuza wote nyeti ziko hadharani!! wapigeni picha mtuletee tuwajadili.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…