Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe


Na siku CDM ikimsamehe huyu laana ZZK itakuwa mwisho wangu kuwa CDM..
 
Naelewa hasira zako mkuu, kwani hata mimi huyu mpuuzi Zitto alinikera sana !. Ninaamni kwa CDM Zitto ndio basi kwani mimi naamini, hakuna mtu mwenye nia nzuri na ya dhati kwa CDM atakayetaka huyu mpuuzi aendelee kuwa CDM !

Na siku CDM ikimsamehe huyu laana ZZK itakuwa mwisho wangu kuwa CDM..
 
Napenda Wenye Akili kama ww. Na sio Yale mafala kazi yao kutukana ma kujifanya ndio cdm damu kuliko watu wengine.

Wasaliti mtaisoma namba mwaka huu...

CDM tunasonga mbele...Zitto tulisha m-delete na kumsahau kabisa....Hahahahaha Zitto anatafuta cheap Popularity....pole yake.....

ZZK ni takataka jalalani hata kunguru hanusi..
 

There goes CDM-Matusi, wewe kutukana hovyo ndio HOJA?Jibu kilichoandikwa, kupanick na kutukana watu ni dalili ya kukosa hoja.

wewe unayemuita ZITTO Takataka Mbowe alishawahi kuja Chumbani kwako hata siku moja kupanga Mkakati wakuijenga CHADEMA na wewe?yep, he probably never did. Huyo unayemuita MNAFIKI, na TAKATAKA ameifanyia CHADEMA Mengi mazuri kuliko asilimia 99.9 ya wanachaa wa CDM na viongozi wao.

Kwa hiyo siku Dr.Slaa akikorofishana na Mbowe au CDM na yeye utamporomoshea matusi pia?Nyie ndio mnaharibu Chama chenu.wanachama/mashabiki wa aina yako ni tatizo kuu lililokuwpo CDM Mtandaoni kwa sasa, hakuna hoja,mmejaa kebehi na matusi.
 

We jifurukunyue tuu hapa kama zuzu....

Nasema hivi huyo mpuuzi mwenzako ZZK akafie mbele huko....Anachama tayari kesha anzisha kinaitwa ACT kwanini asiende huko kama yeye ni.maarufu....?

ZZK ni laana na takataka kwa nchi hii..
 
We jifurukunyue tuu hapa kama zuzu....

Nasema hivi huyo mpuuzi mwenzako ZZK akafie mbele huko....Anachama tayari kesha anzisha kinaitwa ACT kwanini asiende huko kama yeye ni.maarufu....?

ZZK ni laana na takataka kwa nchi hii..

Punguzeni ukali wa maneno kidogo.
Wengi tumechafukwa humu ila tunajitahidi kuwa na vifua vya kutunza heshima ya jamvi.
 

Kama mambo yote yangeenda vizuri Chadema walipanga Kumpa ..Zitto uwenyekiti uchaguzi huu au ujao....KIMSINGI he was on Chadema succession plan along with John John Mnyika

KIMSINGI mambo ambayo yamekuwa yakitokea kwa takribani miaka 7 iliyopita Ndio yamesasononesha wenzake....la sivyo uchaguzi huu ..Zitto alikuwa analamba Ukatibu Mkuu ...na Mnyika Unaibu Katibu Mkuu ....na kwa vyovyote vile hawa vijana kabla ya 2020 ...chama Kilikuwa kinabaki chini Yao ....kwa Zitto kuwa mwenyekiti ...na Mnyika Katibu Mkuu....

Kwa Hali ya Sasa nafasi inabaki kwa Mnyika na ....kijana mwingine atakayeibuliwa na chama kuikiongoza chama Baada ya timu ya Mbowe na Slaa
 

1. Kule mahakamani kesi kuhusu uanachama wake Ipo ukingoni na wapambe wake wakim force kuhamia ACT wakati tathmini yake ni ata-loose

2. uchaguzi unaoendelea na yule m/kiti Tabora waliyemtuma Kuna jambo limepikwa halipikiki baada ya Mpango ule Ludovick aliouweka hapa JF kwenye uzi wake kuhusu Mtoi kuwekwa kando

3. he is no where kwenye Katiba mpya alidhani ktk battle ya Ukawa na ccm angeonekana
 
Habari za asubuhi wadau, mimi naomba kuwarushia lawama hasa viongozi hawa hasa Mbowe na Zitto, wote ni viongozi makini ambao wanahitajika katika harakati za mabadiliko ya haraka ndani ya nchi hii.

Namtaja mbowe kwakuwa ndiye ameshikilia usukani wa CHADEMA, kweli mh. Imeshindikana kumuita Zitto Kabwe na kushauriana na kuondoa tofauti zilizopo ukiangalia mmetoka na mmekitoa mbali chama.

Je, kama mnaweza mkawa mnatafuta suruhisho na hao CCM na kuonana na viongozi wa CCM itashindikana vipi kupata suruhisho kwa mpambanaji?

Hatupendi kuona heading kwenye magezeti kuwa mgogoro unaendelea. Nawe Zitto kaka yangu kwanini usikubari yakaisha?
 

Kwani hilo halikuwahi fanyika hapo mwanzo?
 
Msaliti ameshaanzisha chama chake, kama mnataka mnaweza kwenda kujiunga naye. Mbowe ana mambo mengi ya msingi ya kufanya ambayo wana CHADEMA wamemtuma ayamalizie kuelekea 2015.!! - chapter closed!! :closed_2:
 
Reactions: Awo
Nahisi kuna mchezo mchafu unachezwa hapa ili kuvuruga uchaguzi mkuu wa Chadema.....
 
Kwani hilo halikuwahi fanyika hapo mwanzo?

Kama lilifanyika ni mara moja, je suluhisho na ccm wamefanya mara ngapi? Ni mara nyingi sana, tusikatae huu ni udhaifu uliojionesha kwa hawa viongozi hasa kulingana na dhana yao ya kujenga chama.
 
Chadema tunaitaji viongozi makini ambao wapo kwaajili ya maslai ya wananchi na sioviongozi we ye uroho wa madaraka.
 
Ha ha ha ha haa ha aha zitto atapana na Mbowe baada ya uchaguzi siyo sasa mpaka Mbowe atawazwe kuwa mfalme
 
Mm ni mwanachadema ukweli ni kwamba demokrasia itumike katika pamoja na utu,mm binafsi naona kuna haja yakusamehe nakufungua ukurasa mpya wamapambano yangu ni hayo.
 
Kwa habari ya zito inatosha,yatosha kabisa,mwacheni aende ndugu zangu,achani Zitto Zuberi Kabwe AENDE.Let him go pls!..
 
Wote hawa wamekula ya mbuzi wakaota mapembe watatwangana mwanzo mwisho.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…