Zitto umewadhalilisha Wabunge wa Viti Maalum CDM; Waombe Radhi

Jamaa kashajisema mwenyewe anacheka kicheko cha juha, unahitaji ushahidi gani zaidi kwamba huyu juha?

Yaani huyu bwana hajui kabisa nini maana ya collective responsibility mpaka anakuja kumwaga tofauti zake na chama JF?

Kama hataki wabunge wa kuteuliwa this much na CHADEMA inataka hilo, ajitoe CHADEMA.

Kama anaona anaweza kubadilisha mambo kutoka ndani ya CHADEMA, na kuiwezesha CHADEMA na bunge letu kufikia kiwango cha kutohitaji wabunge wa kuteuliwa/ viti maalum, basi afanye kazi ndani ya chama kufikia lengo hili, bila kukiumbua chama.

Kwa mbunge wa CHADEMA kusema viti maalum kama "viti vya kupewa", anakidhalilisha chama. Kwamba chama kimekaa pale kugawa largesse (which may very well be the case, but that is not the point).

Nimevishambulia sana viti maalum, na usichukulie post hii kama kuvitetea viti maalum.

Tofauti yangu na Zitto ni kwamba mimi sina unafiki wa kukipiga vijembe CHADEMA wakati nikiwa mbunge wa CHADEMA. Zitto inabidi aamue, anataka kuwa ndani ya CHADEMA na kufanya kazi ndani ya CHADEMA kuondoa haja ya kuwa na viti maalum, au kukataa viti maalum outright, na ku lobby ndani ya CHADEMA wavikatae - not impossible, but an uphill task-.

Kama Zitto angekuwa mtu wa principle, either angejitoa CHADEMA kwa kuwa vinakubali kushiriki katika huu "ubunge wa kupewa" au angeweza kukubali kimoyo kwamba viti maalum ni "ubunge wa kupewa" lakini akawa na humility ya kuondoa udhaifu huu ndani ya chama.

Kwa kauli yake hii, Zitto kakidhalilisha chama na kujionyesha anavyojifanya kuwa "much know" kuliko chama chake.

Zitto, kama wewe ni "much know" kuliko chama chako, kwa nini uko ndani ya chama hicho? Unakihitaji kwa nini?

This is where I really would like to see private candidacy in Tanzanian politics, because that deny give the likes of Zitto any excuse.

Unaweza kumsoma mtu maandishi yake tu ukajua inteligence level iko wapi, na huyu Zitto ana malnutrition ya intelligence.

Mkuu naunga hoja hapo kwenye red. Thats is the only way forward. People are tired to participate in leadership to have to join a political party, even if they do not subscribe to the manifesto, principles, policies or practices of any of the existing political parties. I sense this is what Hon Zitto is missing. This "join a party or I cannot elect you" is liming the respective consciences of those individuals in CCM and Chadema who see something fundamentally wrong with their political parties and cannot associate themselves with those parties.[h=1][/h]
 
Katika maelezo ya Zitto,kuna kauli mbili hapaambazo kwanza inatakiwa mzitenganishe. Huyo mbunge ni wa kuja Chadema kwa kiswahili safi tutasema ni mgeni. Hivyo awe mbunge asiwe mbunge bado ugeni wake ni ktk mapungufu ya hoja ya Zitto. Pili, mtu huyohuyo kapewa Ubunge wa viti maalum nalo sii tusi ila ni ukweli unaouma (mgeni kawezeshwa ubunge) ingawa kwa wao wabunge ni mtaji, sasa sioni majivuno ya mtu yakawa tusi kwa sababu kasema Zitto. Na hakika hamuwezi kuendelea kumshambulia Zitto hapa kijiweni mkitegemea yeye atakuwa mzoa kinyesi, laaa anawafuata humu humu ikiwa mnashindwa kuweka heshima.Iweje swala hili liwe la Mods hali maneno mnayasema nyie na kuyapitisha lakini sio ya Zitto. Huyo mbunge kama angekuwa na heshima hata chembe asingeandika aloandika. Hivi alitegemea Zitto aseme nini kuwa Ewallah bibie! Acheni zenu Zitto ana ujasiri nakiburi cha kupambana na vishka ana kwa ana na kama waona joto kali jikoni toka. v
 
kwanza kabisa nianze kwa kukuomba unitake radhi kwa kuniita jina la kunidhalilisha.
Kisha nakushauri uwe macho na ukurupukaji wako, nakufahamu sana kwa jina na aina yako ya propoganda za kioga na ndio maana umejificha nyuma ya jina la kichina.
Wewe unao uwezo wa kuwa mbunge wa hivyo viti kwa tiketi hiyo tu unayojivunia ila wenzio wenye hali hiyo wanaomba mungu awasaidie waondokane nayo kwani awakujitakia.
Nakuomba uchunge sana kinywa chako, kwani mimi niko wazi sio kama wewe, tangu nimejiunga hapa ninatumia jina langu.
Nakuomba wewe kama mbunge wa cdm viti maalum ujitokeze wazi kwa jina kwani jamii inaaimni una uwezo wa kujenga hoja kwa kudhani umepata nafasi hiyo kwa uwezo wa hoja na fikra nyoofu.
Sasa mam tokea hadharani tukusikie vinginevyo nitaweka saver yako na id zako zote.
Unatumia copmuter moja na ina gps haya kaa sawa mama.

Mbona umeshamtaja mkuu.
 
EMT. Huyu jamaa wala asikutishea kwanza ningetamani anitaje.Yeye kuna mtu anamuhisi amabye ni Mbungekama walivyosema kwenye post yake na mimi sio.Hata hivyo jamaa hana huo ubavu,yeye ni mwimbaji aliyeingia mitini kwenye kuimba baadaye akaingia kwenye siasa kachomoka tena akaenda kuunganishaunganisha elimu akajitahdi akapata sijiui ni cheti sijui ni diploma ya clinical officer sijui lab technician karudi anajiita daktari.Na kompyuta wapi kwa wapi..

Umeleta hoja, simamia hoja, acha mipasho.
 
Katika maelezo ya Zitto,kuna kauli mbili hapaambazo kwanza inatakiwa mzitenganishe. Huyo mbunge ni wa kuja Chadema kwa kiswahili safi tutasema ni mgeni. Hivyo awe mbunge asiwe mbunge bado ugeni wake ni ktk mapungufu ya hoja ya Zitto. Pili, mtu huyohuyo kapewa Ubunge wa viti maalum nalo sii tusi ila ni ukweli unaouma (mgeni kawezeshwa ubunge) ingawa kwa wao wabunge ni mtaji, sasa sioni majivuno ya mtu yakawa tusi kwa sababu kasema Zitto. Na hakika hamuwezi kuendelea kumshambulia Zitto hapa kijiweni mkitegemea yeye atakuwa mzoa kinyesi, laaa anawafuata humu humu ikiwa mnashindwa kuweka heshima.Iweje swala hili liwe la Mods hali maneno mnayasema nyie na kuyapitisha lakini sio ya Zitto. Huyo mbunge kama angekuwa na heshima hata chembe asingeandika aloandika. Hivi alitegemea Zitto aseme nini kuwa Ewallah bibie! Acheni zenu Zitto ana ujasiri nakiburi cha kupambana na vishka ana kwa ana na kama waona joto kali jikoni toka. v


Unajiyahidi.Kwa Zitto huhemi kabisa ila lingekuwa kwa mwingine hapa tungekuona unavyotoka povu.
 
MTM.

kujuana isiwe sababu ya kutoa mwelekeo wa mimi ni nani?waache wanedlee kuhisi mimi ni Mbunge si kila anayezungumza mambo ya CDM ni mwenye jina la kike ni Mbunge wa vitimaalum kama alivyojidanganya Zitto kama Marytina na wanaJF wengine hapa wanaodhani Miss Parliament ni Mbunge tena wa viti maalumu wakati sio mbunge na sio mwanamke.

MTM nimeona hapo unasema ninapotumika niangalie madhara yake,ukweli ni kwamba sijatumika na sijashirikisha yeyote katika hili ila nimekwazwa sana Zitto kutamka maneno yale.Nilikuwa mgombea vitimaalum,udiwani na ubunge na sikubahatika kupata ila ninatarajia siku za usoni kufanya.Ninaposikia kauli kama hizi zinatolewa na kiongozi niyamuamini na kumpenda na kwazika sana.Sisi tulikosa tuamini lipi?na vigezo au la kupewa kama zawadi?inauma unajua.Pili kiongozi kama yeye anaposema hayo anaiaminisha nini jamii?anampango gani na chama?unafikri wapnzani wetu wamelala?Magamba wakipick from him itakuwaje?umesahau la vitmaalum na uchaga Bunge lililopita?chama kikipigwa hizo ndoto zake za Urais au Ubunge zitafanikiwaje?au ana mpango wa kuhama cham?

Hapo kwenye red: Kama ulikuwa na nia njema ungem-PM sio kumwanika hapa. Mnajitahidi sana kutafuta chokochoko eeh!
 
zitto ni pekee katikachademawaliobaki ni wafitini na majungu na kwa mchezo wao wataiua chadema
ndio uwezo wako wa kufikiri umeishia hapo?kwamba zitto watu wanamchukia ila ni mzuri sana..!!kweli hii nchi itakuja kuuzwa tena bei ya MTUMBA ulioshindikana..
 
Poor You Jike dume/Mbwazoba..Pole yako ningepata ubunge si ningeshukuru?kila anayewapiga humu ni mbunge wa vitimaalum.Kazi kweli kweli...Mtahisi mwaka huu mpaka jasho liwatoke...Nina ID moja tu tangu nimejiunga na JF 2007 kabla wewe hujaanza hata kuijua compyuta wakati ule unaimba kile kibao chako cha Chama Cha Demkorasia.Ila mshikaji songi lako lile kali mpaka leo bado lipo kwenye chati..Kotide mwenzako anaendlea kukamua na kujipatia kipata ndani ya chama wewe kujipendkeza na kujishababdua kwa wanaume wenzako,angalia wengine hawana msalie mtume ati..

Outa Control
 
Kuna watu wana juhudi kweli kweli.....Duh!

Siku hizi thread zenye hoja nzito zinaonekana kama baba/mama mkwe vile.ila hii rate na speed ya bandwagoning na personal vendatta inatisha...anaother mashada forums in the making.

Where myriad problems comfront the nation,most of the previous comments proves that we are in a mess !

To effect a paradigm shift in our thinking and approach to issues that affect the generality of the populace, I think we need to assess ourselves to see how much we have contributed to the growth of our communities and of Tanzania at large. We need to proffer meaningful solutions to the myriad of problems facing us as a people. We need to discuss how sustainable intellectual, infrastructural and political developments can be achieved. JAMII FORUMS(Where we dare to talk openly) offers us a veritable platform to air our intellectual views and probably amicable solutions in order to salvage our dear motherland.
 
Hiyo nyekundu inaondoa nini kwenye ubinadamu wake? Usirudie tena kuitamka.

Kama ni ulemavu wa miguu inaondoa mobility. Ni sawa wengine wana moblei phone yeye anategema landline . kama ni ulemavu wa kuongea ni sawa kuwa na radio iliyoharibika au kutoboka spika.
 
Kiukweli huu mwendo wana CDM mnaokwenda nao sio mzuri kabisaa, mambo yenu ya chumbani mnaanza kuyamwaga hapa hadharani.....
We FL na mwenzako sijui miss bunge ni wapuuzi wa kutupwa, please zitto na wanzako wapotezeeni hawa wanamipasho
Shame on you
 
hayo majina na picha zitakusaidia nini? jadili mada nasiyo picha na majina yao... maana mnataka kuibua mjadala mwingine

Eti nijadili hoja?Hoja yenyewe iko wapi hapa ya kujadili?au hii mipasho yenu kama taarab ya bi Khadija Kopa?Tukijua majina na cv zenu,itakuwa rahisi sana kuelewa tuna deal na watu wa aina gani.Leta majina mazee,kama hujui u better shut up.
 
Mkuu siungi mkono remark aliyotoa Marytina. Na kama naye ni bunge atakuwa ana matatizo. At the same time, siungi mkono response ya Mh Zitto. Condoning Hon Zitto's response is condoning Marytina's remarks and vice versa. Soma maelezo yangu kwenye post ya 78.

EMT ujuwe kuwa Watanzani wote wana njaa na hii njaa ndio inayosababisha wanasiasa wanatuchezea akili na kutugombania kama mpira wa kona.

Tofauti ipo kwenye aina ya njaa na kiwango cha njaa nakuakikishia hilo take it na lifanyie kazi; kuna njaa mbaya sana ambayo inaendelea kutula maana hata viongozi wetu wanapo pata madaraka wanamaliza njaa ya tumbo lakini kwasababu wanasoma wakiwa na madaraka hawaelimiki hivyo wanatoka kwenye njaa ya tumbo na kuamia kwenye njaa ya kichwani hii nayo sasa inatula sana.

Ukiangalia huu mjadala hawa wabunge wetu kama ni wabunge wetu kwetu wote wawili wanasumbuliwa na njaa zote mbili ingawa mwingine anamwambia mwenzake wewe una njaa ya tumbo ila anadhiirisha wazi yeye anayo sasa ya kichwa ndio inamtesa. maana wao kama wanajuwa ni wabunge hawakupaswa kuja kujadiliana hapa na kurushiana maneno ya kipuuzi wangekutana chini Mbowe na Lissu na kuelezezana bayana, lakini pia inatowa picha gani juu yao? ndio maana mara zote ime-rise question juu ya kuwaamini hawa watu wana-credibility gani ya kuaminiwa na kupewa madaraka makubwa kama kwenye Ubunge wanajibizana hivyo kama paka na panya!

Hakika siku zote nasema na nitarudia kusema mpaka nione vinginevyo CDM siamini mtu kasoro Dr. Slaa peke yake wote waliobaki wanauchu na tamaa kubwa sana ya madaraka na wanatumia tu nafasi hii kutuadaha kutimiza matakwa yao binafsi. CDM haiamini narudia tena kama ingelikuwa ina aminika kuna makosa mengi sana ambayo wangeshayarekebisha na hata kuchukuwa hatua mbele dhidi ya wababaisha waliopo CDM. Simuamini zaidi Mbowe na Zitto wote wawili ni hatari sna nawatatufikisha pabaya wakipata nafasi ya kutumaliza hawana tofauti na Maalimu seif.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
KIranga kwa hili natofautiana na ww. Healthy intellingence km unavyoita ww si kukaa kimya kisa chama.Haya ya ukimya ndio yameifanya nchi iwe ilivyo kisa kuwa na kadi. Huu si wkt wa kubembelezana ni wa kuelezana ukweli. Kuna mifumo mingi mibovu tukipata fursa ya kuikataa tuseme hivyo.

Anfal,

Utakuwa hujanitendea haki kwa kunitafsiri kwamba natetea wabunge, na wanachama wa vyama vya siasa, wakae kimya hata pale vyama vyao vinapofanya maovu.

Ni jana tu nimetoka kuongelea hili katika thread nyingine (ambayo sasa imefungwa) ya kuwahusu viongozi wa CHADEMA na chama chao.

Mimi napiga vita groupthink popote ninapoiona, na wazo la kusema wabunge/ wanachama wasiwe na uhuru, wabaki kufungwa na itikadi za chama, ni groupthink ya category one.

Nionachosema hapa, ni kwamba, watu inabidi wawe na a healthy balance iliyokuwa informed na intelligence.

Kwamba, kama natofautiana na chama, kuna mawili, naweza kuona chama kinapotoka kiasi cha kwamba siwezi kuwa na nafasi ya kukishawishi na kukibadilisha, hapo uamuzi, kama alivyosema Nyerere (CCM si mama yangu) ni kujitoa katika chama.

La, kama unatofautiana na msimamo wa chama, lakini pia unaona tofauti zako na chama hazitoshi kujitoa ndani ya chama, na kwamba unaweza kubadilisha msimamo wa chama kwa kufanya kazi ya ushawishi ndani ya chama, basi unabaki ndani ya chama, unatoa ushawishi ndani ya chama kwamba mifumo hii imepitwa na wakati hivi na hivi, na mifumo mipya ambayo inafaa kukumbatiwa ni hii na hii, unaangalia nafasi ya fkira zako kukubalika.

Lakini ukija na kukipiga vijembe chama JF kwa kuwa kinatoa largesse ya "viti vya kupewa" in the form of wabunge wa viti maalum, bila ya kujitoa ndani ya chama, na bila ya kutaka kubadilisha mfumo wa chama kuhusu swala hili kwanza, unanifanya nikuone mtovu wa si tu nidhamu na fadhila, bali pia weledi.

Waswahili walisema "Mpanda Punda wawili hupasuka msamba".

Zitto ananikumbusha wimbo wa chakacha la Mombasa, "Huku hayuko, kule hayuko wankula O"

Yaani, kwenye CHADEMA, wanaotumia mfumo wa wabunge wa viti maalum, hayupo, kwani amevishutumu kama "ubunge wa kupewa".

Na kwetu sisi tulio nje ya CHADEMA (indeed nje ya mfumo wote wa vyama vya siasa Tanzania, kwa kuelewa charade hii) hayupo, kwa sababu yupo ndani ya CHADEMA.

Kwa hili Zitto anaongeza vito katika taji lake la ujuha wa kutojua.

Angekuwa mtu mwenye busara angefanya kimoja kati ya mawili haya.

1. Angejitoa CHADEMA (na kutoingia chama chochote kinachokubali viti maalum) na kushutumu mfumo mzima wa viti maalum.
2. Angebaki ndani ya CHADEMA hata kama hapendi viti maalum, lakini akaufunga mdomo wake kuhusu kukishambulia chama kuhusu viti maalum publicly, huku akitafuta ufumbuzi wa chama kujitoa katika viti maalum kwa kufanya kazi ndani ya chama kwanza.

Kwa kukurupuka na kushambulia viti maalum bila ya kufanya either 1 or 2, Zitto amejionyuesha si mtu makini na anakwenda kwa hisia za wakati anaokuwa mbele ya kompyuta yake hapa JF.

In other words, hana kile Waingereza wanachokiita "underlying principles". Misingi ya chini kabisa.

Jana nilimuuliza mtu mmoja anajiita "Technology", aliyedai kwamba Zitto ana "a very heavy foundation" kwamba Zitto foundation yake ni nini? Iko wapi? Akashindwa kunijibu mpaka topic inafungwa.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Ukipiga hesabu ya wabunge wanaoteuliwa na wengine kupita kupingwa utashangaa aian ya democracy tuliyo nayo.Ndiyo maana kuna post moja nilikuwa nimetoa suggestion kwamba kama tukiwa na federal system basi Bicameral parliament haitaepukika na pengine hapo tunaweza kuunda structure nzuri ya uwakilishi na ya demokrasia ya kweli kama INDIA,US,Switzerland etc.Najaribu kutafakari aina hii ya Demokrasia ambayo Executive kama mhimili wa Dola unapata mwanya mkubwa wa kuingilia bunge kwa teuzi holela tu za wabunge,unategemea nini kutoka kwenye mhimili wa mmoja kuuwajibisha mwingine na kuusimamia?Kwa hiyo sisi kama Taifa huu mjadla unaweza kuwa mpana zaidiHilo fungu la wabunge wengi wa viti maalumu ambao hata kazi yao haipo consistent na dhumuni la kuwa na bunge au dhana nzima ya parliamentary system ni bora lingetumika vizuri kwa kupanua wigo wa uwakilishi kwa kuunda Rotating pyrammid like structure of representative kwa kusogeza uwakilishi zaidi kwa councillors/madiwani ili tuwe na Demokrasia ya pekee,vinginevyo tutaishia kuwa na udikteta wa mhimili(pillar dictatorship or totalitarian).Wale disadvateged group wataweza kuwakilishwa vizuri zaidi na kujenga uwakilishi uliokusudiwa kwa haki ya walipa kodi na katika utekelezaji wa dhamira ya kweli ya uhuru wa mawazo na uwakilishi uliotukuka kwa wananchi wake. nPengine tungeweza kuwa mfano wa kuandiaka theory mpya ya uwakilishi
we BEN si ndio jana umeandikwa unataka kuuza nchi??ebu tuambie leo umefikia wapi na mipango yako! NEW PAN AFRICANISM..Sikuona ukikanusha
 
Kuna watu wana juhudi kweli kweli.....Duh!

Siku hizi thread zenye hoja nzito zinaonekana kama baba/mama mkwe vile.ila hii rate na speed ya bandwagoning na personal vendatta inatisha...anaother mashada forums in the making.

Where myriad problems comfront the nation,most of the previous comments proves that we are in a mess !

To effect a paradigm shift in our thinking and approach to issues that affect the generality of the populace, I think we need to assess ourselves to see how much we have contributed to the growth of our communities and of Tanzania at large. We need to proffer meaningful solutions to the myriad of problems facing us as a people. We need to discuss how sustainable intellectual, infrastructural and political developments can be achieved. JAMII FORUMS(Where we dare to talk openly) offers us a veritable platform to air our views.


Hapa sasa umeongea.mi nadhani tukifanya hivyo tutakuwa tumeitendea haki hii nchi ukizingatia kuwa wengine tumesoma kwa kodi za watanzania wengine..
 
usiendelee kudananya watu utabika hapa.
Nimekuonya mama, komea hapo.
Ukiwa mbishi endelea.
Wewe ni mbunge wa viti maalum una id 3 feki na moja ya jina lako.
Lapo top zina gps take care of ya moth pit which u use as ass canal mama.

Da! Unazidi kumtaja mkuu. Du hadi zile ID unazijua..?

But you need take control of yourself guy. Never be driven by emotions!
 
EMT ujuwe kuwa Watanzani wote wana njaa na hii njaa ndio inayosababisha wanasiasa wanatuchezea akili na kutugombania kama mpira wa kona.

Tofauti ipo kwenye aina ya njaa na kiwango cha njaa nakuakikishia hilo take it na lifanyie kazi; kuna njaa mbaya sana ambayo inaendelea kutula maana hata viongozi wetu wanapo pata madaraka wanamaliza njaa ya tumbo lakini kwasababu wanasoma wakiwa na madaraka hawaelimiki hivyo wanatoka kwenye njaa ya tumbo na kuamia kwenye njaa ya kichwani hii nayo sasa inatula sana.

Ukiangalia huu mjadala hawa wabunge wetu kama ni wabunge wetu kwetu wote wawili wanasumbuliwa na njaa zote mbili ingawa mwingine anamwambia mwenzake wewe una njaa ya tumbo ila anadhiirisha wazi yeye anayo sasa ya kichwa ndio inamtesa. maana wao kama wanajuwa ni wabunge hawakupaswa kuja kujadiliana hapa na kurushiana maneno ya kipuuzi wangekutana chini Mbowe na Lissu na kuelezezana bayana, lakini pia inatowa picha gani juu yao? ndio maana mara zote ime-rise question juu ya kuwaamini hawa watu wana-credibility gani ya kuaminiwa na kupewa madaraka makubwa kama kwenye Ubunge wanajibizana hivyo kama paka na panya!

Hakika siku zote nasema na nitarudia kusema mpaka nione vinginevyo CDM siamini mtu kasoro Dr. Slaa peke yake wote waliobaki wanauchu na tamaa kubwa sana ya madaraka na wanatumia tu nafasi hii kutuadaha kutimiza matakwa yao binafsi. CDM haiamini narudia tena kama ingelikuwa ina aminika kuna makosa mengi sana ambayo wangeshayarekebisha na hata kuchukuwa hatua mbele dhidi ya wababaisha waliopo CDM. Simuamini zaidi Mbowe na Zitto wote wawili ni hatari sna nawatatufikisha pabaya wakipata nafasi ya kutumaliza hawana tofauti na Maalimu seif.

Huwezi kuwa na chama kilichooza, halafu katibu mkuu akawa msafi hana doa.

Either chama bomu na katibu mkuu / mgombea urais aliyepita bomu, au chama safi na katibu mkuu/ mgombea urais aliyepita safi.

Mimi hata Slaa sijamkubali, naona CHADEMA bomu na Slaa naye bomu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom