Zitto umewadhalilisha Wabunge wa Viti Maalum CDM; Waombe Radhi

Tambara Bovu

JF-Expert Member
Dec 19, 2007
585
140
Nimefuatilia mjadala uliokuwa ukiendelea hapa JF uliokuwa ukijadili kuhusu Zitto,JK VS gazeti la tanzania daima na mmiliki wa gazeti hilo amabye ni Mbowe. Kuna mengi yamesemwa lakini lililoniku na hili la huyu Naibu Katibu Mkuu wa CDM Zitto Kabwe.Katika kujitetea na kuhamishia lawama kwa wenzake kiongozi huyu ninayemuamini miaka yote tangu nimemfahamu amewadhalilisha na kuwadharau wanachama wapya wa CDM.Naomba ninukuhuu maneno yake hapa chini wakati akimjibu mchangiaji mmoja kwenye ile thread.

[Ha ha ha ha ha ha. Kwi kwi kwi! Unanifanya nicheke kijuha juha na maneno yako.Chadema ni chama cha kidemokrasia na kitabaki hivyo. Sisi tulio ndani ya chama hiki toka kianze ndio tunajua utamaduni wa chadema. Wewe kwa kuwa ni wa kuja na ukazawadiwa ba Ubunge lazima useme hayo unayosema.Napenda nirudie kusema sina umri wa kugombea Urais kwa sasa. Nitamwunga mkono mgombea Urais wa CHADEMA atakayepitishwa ba vikao vya chama wakati utakapofika. Kwa sasa hakuna mgombea Urais CHADEMA na mie wala sioti kuwa mgombea. Kama uropokaji huu unatokana na Urais, mie simo. Kwamba sitaweza kuwa kama ningekuwa nina vigezo, unajidanganya tu na unajua unajidanganya. Chadema ni wanachama. Bring a free and fair election uone! ]

maneno haya ni ya dhihaka kubwa na hayakupaswa kuongelewa na kiongozi kama yeye tegemeo la taifa kwasababu zifuatazo
1. Zitto unaposema kuwa yeye ni mwananchama wa siku nyingi na wenzake ni wakuja ni dharau kubwa kwa wanachama wapya.Anamaanisha kuwa wanachama wazamani ndio wanajua zaidi utamaduni wa chama kuliko wapya na hawastahili kuhoji ukiukwaji wa tamaduni hizo zinapofanywa na wanachama wa zamani.Zitto unapaswa kuwaomba radhi wanachama hawa wapya.

2. Zitto unaposema kwa huyo aliyekujibu kuwa ni wakuja na amezawadiwa Ubunge ndio maana akaksema livyosema unamaanisha kuwa Wabunge wa CDM wamezawadiwa viti maalum-kauli hii ikitoka kwa kiongozi kama wewe maana yake ni kuwa vitimaalum CDM ni zawadi na hivyo waliopata wamepewa zawadi.Unatumaanisha nini sisi tuliogombea nahatukabahtaika kupata nafasi hizo?kuwa kumbe wenzetu walipewa zawadi?nilikuwa mgombea kwenye mchakato ule na baadaye tulitangaziwa vigezo kuwekwa ili watu wapite kwa vigezo ili kuepusha rushwa iliyotaka kufanyika aabayo iliasisiwa na wewe ndani ya chama,ulitumia pesa nyingi sana ili watu wako washinde. Zitto acha kupotosha umma,usikiharibu chama chako unapaswa kukijenga.Maneno kama hayo hayapawsi kusemwa na mtu kama wewe,ulishiriki kwenye mchakato wa kuwapata,unajua vigezo,mama yako alikuwepo kwenye kamati,rafiki yako Dk Kitilla alikuwa Mwenyekiti wa Kamati.Tueleze hawa wabunge walizawadiwaje?je ni mama yako,ni wewe,ni Kitilla,ni Dk Slaa,ni Mbowe tuambieni na sisi ambao hatkupata ili mwaka 2015 tujipange vizuri.

Zitto unapaswa kuomba radhi wabunge hawa waliopita kihalali kwa vigezo.

Nawasilisha.
 
zitto hata kama umri ungeruhusu hana sifa za kugombea urais kupitia CDM LABDA ccm au NCCR.

zitto anataka kumaanisha KITILIA NKUMBO alitoa upendeleo ???? Zitto,Zitto kuna siku utauza watanzania
 
zitto ni pekee katikachadema

waliobaki ni wafitini na majungu na kwa mchezo wao wataiua chadema
 
Nimefuatilia mjadala uliokuwa ukiendelea hapa JF uliokuwa ukijadili kuhusu Zitto,JK VS gazeti la tanzania daima na mmiliki wa gazeti hilo amabye ni Mbowe. Kuna mengi yamesemwa lakini lililoniku na hili la huyu Naibu Katibu Mkuu wa CDM Zitto Kabwe.Katika kujitetea na kuhamishia lawama kwa wenzake kiongozi huyu ninayemuamini miaka yote tangu nimemfahamu amewadhalilisha na kuwadharau wanachama wapya wa CDM.Naomba ninukuhuu maneno yake hapa chini wakati akimjibu mchangiaji mmoja kwenye ile thread.

[Ha ha ha ha ha ha. Kwi kwi kwi! Unanifanya nicheke kijuha juha na maneno yako.Chadema ni chama cha kidemokrasia na kitabaki hivyo. Sisi tulio ndani ya chama hiki toka kianze ndio tunajua utamaduni wa chadema. Wewe kwa kuwa ni wa kuja na ukazawadiwa ba Ubunge lazima useme hayo unayosema.Napenda nirudie kusema sina umri wa kugombea Urais kwa sasa. Nitamwunga mkono mgombea Urais wa CHADEMA atakayepitishwa ba vikao vya chama wakati utakapofika. Kwa sasa hakuna mgombea Urais CHADEMA na mie wala sioti kuwa mgombea. Kama uropokaji huu unatokana na Urais, mie simo. Kwamba sitaweza kuwa kama ningekuwa nina vigezo, unajidanganya tu na unajua unajidanganya. Chadema ni wanachama. Bring a free and fair election uone! ]

maneno haya ni ya dhihaka kubwa na hayakupaswa kuongelewa na kiongozi kama yeye tegemeo la taifa kwasababu zifuatazo
1. Zitto unaposema kuwa yeye ni mwananchama wa siku nyingi na wenzake ni wakuja ni dharau kubwa kwa wanachama wapya.Anamaanisha kuwa wanachama wazamani ndio wanajua zaidi utamaduni wa chama kuliko wapya na hawastahili kuhoji ukiukwaji wa tamaduni hizo zinapofanywa na wanachama wa zamani.Zitto unapaswa kuwaomba radhi wanachama hawa wapya.

2. Zitto unaposema kwa huyo aliyekujibu kuwa ni wakuja na amezawadiwa Ubunge ndio maana akaksema livyosema unamaanisha kuwa Wabunge wa CDM wamezawadiwa viti maalum-kauli hii ikitoka kwa kiongozi kama wewe maana yake ni kuwa vitimaalum CDM ni zawadi na hivyo waliopata wamepewa zawadi.Unatumaanisha nini sisi tuliogombea nahatukabahtaika kupata nafasi hizo?kuwa kumbe wenzetu walipewa zawadi?nilikuwa mgombea kwenye mchakato ule na baadaye tulitangaziwa vigezo kuwekwa ili watu wapite kwa vigezo ili kuepusha rushwa iliyotaka kufanyika aabayo iliasisiwa na wewe ndani ya chama,ulitumia pesa nyingi sana ili watu wako washinde. Zitto acha kupotosha umma,usikiharibu chama chako unapaswa kukijenga.Maneno kama hayo hayapawsi kusemwa na mtu kama wewe,ulishiriki kwenye mchakato wa kuwapata,unajua vigezo,mama yako alikuwepo kwenye kamati,rafiki yako Dk Kitilla alikuwa Mwenyekiti wa Kamati.Tueleze hawa wabunge walizawadiwaje?je ni mama yako,ni wewe,ni Kitilla,ni Dk Slaa,ni Mbowe tuambieni na sisi ambao hatkupata ili mwaka 2015 tujipange vizuri.

Zitto unapaswa kuomba radhi wabunge hawa waliopita kihalali kwa vigezo.

Nawasilisha.
  1. Kwanza sioni tatizo la hiyo kauli ya Mh. Zitto (Red color)
  2. Pili ni kweli kila pahala kuna utamaduni wake (Blue color) ambapo kitalaamu huitwa corporate culture, kwa mtu yeyote kama ni mgeni unapoingia sehemu (mfano mazingira mapya ya kazi ktk kampuni mpya) huwa kuna muda wa kujifunza, ndiyo maana mtu mwenye akili timamu na msomi hubidi kuwa mpole anapoingia mazingira mapya na huwa msikilizaji zaidi kabla ya kuropoka ropoka. Mfano mzuri ni wewe na mimi unapoleta mtu wa kuishi naye nyumbani kwako (mfano mtumishi wa ndani) asipokuwa mpole kuizoea culture ya hapo nyumbani na kuanza kuropoka ropoka basi utamtimua na kumuita anatabia mbaya na wale waliopo tangu mwanzo watamshangaa.
 
Hata mimi sioni ubaya wa maneno ya Zitto..
Watanzania tuna ustaarabu wetu wa lugha na matumizi yake. Majibu yalikuwa safi kabisa kwa mhusika kwani aloanza maneno haya sii Zitto. Nachopenda na kufurahia ni uwezo wa viongozi wa Chadema kuwa mbele ktk kujibu maswali na unapoleta uhuni unapewa dawa! Na nampenda Zitto kwaq kutomung'unya maneno. Ujasiri na kiburi chake kinahitajika sana na hakika tunamuhitaji mtu kama yeye ktk nafasi muhimu.

Mbunge wa viti maalum ni kuzawadiwa hilo halina ubishi tena kama umejiunga hivi karibuni ndio kabisa inatakiwa ukae kimyaa maanake hujui! na kutojua sii tusi bali ni usia mzuri kwa viongozi wageni wapate kujifunza kuheshimu viongozi wao. Zitto ni naibu katibu wa chama, na lugha inayotumiwa na baadhi ya vijana wa Chadema hapa JF nadhani inavuka mpaka wa heshima wakati wao wamemkabidhi mamlaka hayo..
 
Nimefuatilia mjadala uliokuwa ukiendelea hapa JF uliokuwa ukijadili kuhusu Zitto,JK VS gazeti la tanzania daima na mmiliki wa gazeti hilo amabye ni Mbowe. Kuna mengi yamesemwa lakini lililoniku na hili la huyu Naibu Katibu Mkuu wa CDM Zitto Kabwe.Katika kujitetea na kuhamishia lawama kwa wenzake kiongozi huyu ninayemuamini miaka yote tangu nimemfahamu amewadhalilisha na kuwadharau wanachama wapya wa CDM.Naomba ninukuhuu maneno yake hapa chini wakati akimjibu mchangiaji mmoja kwenye ile thread.

[Ha ha ha ha ha ha. Kwi kwi kwi! Unanifanya nicheke kijuha juha na maneno yako.Chadema ni chama cha kidemokrasia na kitabaki hivyo. Sisi tulio ndani ya chama hiki toka kianze ndio tunajua utamaduni wa chadema. Wewe kwa kuwa ni wa kuja na ukazawadiwa ba Ubunge lazima useme hayo unayosema.Napenda nirudie kusema sina umri wa kugombea Urais kwa sasa. Nitamwunga mkono mgombea Urais wa CHADEMA atakayepitishwa ba vikao vya chama wakati utakapofika. Kwa sasa hakuna mgombea Urais CHADEMA na mie wala sioti kuwa mgombea. Kama uropokaji huu unatokana na Urais, mie simo. Kwamba sitaweza kuwa kama ningekuwa nina vigezo, unajidanganya tu na unajua unajidanganya. Chadema ni wanachama. Bring a free and fair election uone! ]

maneno haya ni ya dhihaka kubwa na hayakupaswa kuongelewa na kiongozi kama yeye tegemeo la taifa kwasababu zifuatazo
1. Zitto unaposema kuwa yeye ni mwananchama wa siku nyingi na wenzake ni wakuja ni dharau kubwa kwa wanachama wapya.Anamaanisha kuwa wanachama wazamani ndio wanajua zaidi utamaduni wa chama kuliko wapya na hawastahili kuhoji ukiukwaji wa tamaduni hizo zinapofanywa na wanachama wa zamani.Zitto unapaswa kuwaomba radhi wanachama hawa wapya.

2. Zitto unaposema kwa huyo aliyekujibu kuwa ni wakuja na amezawadiwa Ubunge ndio maana akaksema livyosema unamaanisha kuwa Wabunge wa CDM wamezawadiwa viti maalum-kauli hii ikitoka kwa kiongozi kama wewe maana yake ni kuwa vitimaalum CDM ni zawadi na hivyo waliopata wamepewa zawadi.Unatumaanisha nini sisi tuliogombea nahatukabahtaika kupata nafasi hizo?kuwa kumbe wenzetu walipewa zawadi?nilikuwa mgombea kwenye mchakato ule na baadaye tulitangaziwa vigezo kuwekwa ili watu wapite kwa vigezo ili kuepusha rushwa iliyotaka kufanyika aabayo iliasisiwa na wewe ndani ya chama,ulitumia pesa nyingi sana ili watu wako washinde. Zitto acha kupotosha umma,usikiharibu chama chako unapaswa kukijenga.Maneno kama hayo hayapawsi kusemwa na mtu kama wewe,ulishiriki kwenye mchakato wa kuwapata,unajua vigezo,mama yako alikuwepo kwenye kamati,rafiki yako Dk Kitilla alikuwa Mwenyekiti wa Kamati.Tueleze hawa wabunge walizawadiwaje?je ni mama yako,ni wewe,ni Kitilla,ni Dk Slaa,ni Mbowe tuambieni na sisi ambao hatkupata ili mwaka 2015 tujipange vizuri.

Zitto unapaswa kuomba radhi wabunge hawa waliopita kihalali kwa vigezo.


Nawasilisha.
Kila siku unadandia hoja unaweka mashiko ya plastic halafu unaleta kwenye moto unategemea nini!? Itayeyuka bila shaka.
Ukitumwa na CC Magamba kugombanisha CDM kaa tulia kidogo uweze kupika angalau viive pole weye.!!!!
 
Kweli hujui ulisemalo.

Mbona hukuweka shutuma personal zilizotolewa kwa Zitto tena na mheshimiwa mbunge wa viti maalum? Au kuwa mbunge wa viti maalum one can
behave the way they want? Safi sana Zitto, Shutuma za chooni unazipa majibu ya chooni.
 
Kila siku unadandia hoja unaweka mashiko ya plastic halafu unaleta kwenye moto unategemea nini!? Itayeyuka bila shaka.Ukitumwa na CC Magamba kugombanisha CDM kaa tulia kidogo uweze kupika angalau viive pole weye.!!!!
Kila anapoguswa Kiongozi wa Cdm basi huyo mtu ametumwa na Magamba acheni ujuha fungukeni vijana.
 
Sioni matusi katika kauli ya Zitto kama ni kweli aliyasema hivyo. Ninachokiona ni kwamba mtoa mada anafanya attack tu kwa Mh huyu!
 
Pamoja na weakness zake lakin watu kama nyie hamumuwez kwa hoja,ukweli ndio unamata hapa,zito kanena point za msingi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom