Zitto: Tunapokea bil 640 na tumepoteza tril 1.8 ya capital gain ya makinikia kwa ubabe usio na tija

Mazungumzo yalikuwepo na watu wasingeacha kazi zao na kukaa vikao vya jambo lisilokuwepo au kuwezekana.
kama yalikuwa mazungumzo tu ina maana hata bei walikuwa hawajafikia muafaka wowote .Zitto kabwe hilo la kusema wangeuzwa kwa bei hiyo hiyo bei kaokota wapi wakati mazungumzo yalikuwa bado kukamilika?
 
kama yalikuwa mazungumzo tu ina maana hata bei walikuwa hawajafikia muafaka wowote .Zitto kabwe hilo la kusema wangeuzwa kwa bei hiyo hiyo bei kaokota wapi wakati mazungumzo yalikuwa bado kukamilika?
Bei ilikuwa tayari,mazungumzo ya namna ya kulipana(terms).
 
Bora watupeleke MIGA tu tuwalipe koh

Hawawez kukupeleka huko mana toka matrion had bilion ya nn kupotezeana muda? Mzungu noma kapiga hesabu kesi huenda ikachukua 10 years uzalishaj unasimama wakat ndani ya tena years kishatengeneza pesa ya maana bora akupe usd 3000 bilion tu ukae kimya.
 
Hawawez kukupeleka huko mana toka matrion had bilion ya nn kupotezeana muda? Mzungu noma kapiga hesabu kesi huenda ikachukua 10 years uzalishaj unasimama wakat ndani ya tena years kishatengeneza pesa ya maana bora akupe usd 3000 bilion tu ukae kimya.
Sasa mbona Lopolopo wa Nairobi alisema tutashtakiwa na tutawalipa hawa wazungu pesa nyingi sasa imekuaje hao wazungu hawajatushtaki na wametupa sisi pesa hata hizo kidogo?So lopolopo wa Nairobi ni mzushi,Muongo na mzandik?
 
What a shame to the Government..
From a claim of USD 400+ Trillion and u get only USD 300 Bil..!!
Mruma and Ossoro reports were purely Professorial Nonsense and Rubbish hapa lissu alikuwa sahihi kabisa.

Halafu kuna watu wanashangilia wakat jamaa wapo clear kabisa kwamba yote yatafanyika hadi bodi ikubali wakienda huko london sasa hapo tunategemea huruma ya bodi wakikataa ngoma inaanza upya mana jamaa walikataa madai yote ya kodi basi kwa hisani na huruma wametuachia kishika uchumba kwa miaka yote waliovuna hapa kwetu.


Maths hata hujui...

$ 300 bil umetoa Mtaa wa Ufipa mnakojazwa ujuha..!! Do you know what does $ 300 bil mean? Unajua kukariri tu, Nani alitamka $ 300 bil?
 
Sasa mbona Lopolopo wa Nairobi alisema tutashtakiwa na tutawalipa hawa wazungu pesa nyingi sasa imekuaje hao wazungu hawajatushtaki na wametupa sisi pesa hata hizo kidogo?So lopolopo wa Nairobi ni mzushi,Muongo na mzandik?

Yeye katazama upande huo wao wameangalia upande wa muda vyote vingewezekana kama umenunuliwa ukae kimya kwa Usd 3000 bln halafu naendelea kuzalisha trilion kwa nini nikushtak wakat nshautumia udhaifu wako?
Hakuna hata kimoja walichomibali kodi na madai wameishia kutuonea huruma kutupa pesa ya hisani hii ina maana kama tungegomea hiyo pesa tunayataka yale matrilion feki mahakaman pangetuhusu
 
Yeye katazama upande huo wao wameangalia upande wa muda vyote vingewezekana kama umenunuliwa ukae kimya kwa Usd 3000 bln halafu naendelea kuzalisha trilion kwa nini nikushtak wakat nshautumia udhaifu wako?
Hakuna hata kimoja walichomibali kodi na madai wameishia kutuonea huruma kutupa pesa ya hisani hii ina maana kama tungegomea hiyo pesa tunayataka yale matrilion feki mahakaman pangetuhusu
Lisu alisema makinikia ni mali yao na watatushtaki na tutawalipa vp wametushtaki?vp tunawalipa?
 
Je hiyo 300 Million USD baadae itakuwa deducted katika deni kama deni lipo au Tutawarudushia kama ikibainika hatuwadai chochote?
 
Maths hata hujui... Zero kabisa..

$ 300 bil umetoa Mtaa wa Ufipa mnakojazwa ujuha..!! Do you know what does $ 300 bil mean? Unajua kukariri tu, Nani alitamka $ 300 bil?

Hakuna mahali pakukokotoa ni maandishi tu naona unapapalika nafikir majuha ni ile ripot ya matrion mwisho ni bilion za hisani mtu wa ajabu sana
 
Zitto amefocus faida za muda mfupi tu, ingawa hakuna kilichoharibika coz makinikia bado yapo kwa hiyo bado resource ipo na hiyo pesa tuliyoikosa tutaipata kwa namna nyingine.
Magufuli amefocus faida ya muda mrefu. Ndio maana katengeneza mazingira mazuri ya kupata pesa nyingi zaidi na kuzuia wizi.
Magufuli for Change
 
Mwezi Machi 2017 niliwaambia Watanzania kuwa tumepoteza TZS 1.8 trilioni za kodi ya capital gains kwa maamuzi ya papara ya Rais kuhusu mchanga. Nilitukanwa Sana.

Leo tumeishia kupata TZS 640 bilioni ( 1/3 ya tulichokosa ). Mnashangilia Sana.

Nikiwaita Mazwazwa mnasema nawatukana.

Niliandika Machi 2017

" Amri ya Rais kuhusu 'Mchanga wa Dhahabu' imepotezea nchi Tshs 1.8trn Capital Gains Tax

Jana nilipokuwa natoa mada kuhusu miaka 50 ya Azimio la Arusha niliongelea pia suala la umakini wa viongozi katika kauli zao. Kwamba Kiongozi lazima ujue unatoa kauli gani wakati gani. Niliwaeleza wanachama na wageni wengjne katika mkutano wa ACT Wazalendo kuwa Amri ya kiholela aliyoitoa Rais John Magufuli kuzuia usafirishaji wa Mchanga wa Dhahabu imepelekea nchi yetu kupoteza USD 880m Kama kodi ya ongezeko la Mtaji kutokana na mauzo ya Acacia Mining.

Hivi sasa nchini kwetu kuna sheria ya kutoza 20% ya thamani ya mauzo iwapo kampuni zinauziana hisa. Tozo inayotozwa inaitwa Capital Gains Tax. Kodi hii mpya ilitungwa mwaka 2012 ili kukabili wawekezaji waliokuwa wanauziana makampuni juu Kwa juu bila Tanzania kupata lolote. Tanzania imeshafaidika na kodi hiyo Kwa mauzo mbali mbali ambayo yamekwisha fanyika kwenye sekta mbalimbali.

Wakati Rais anatoa AMRI kuhusu Mchanga wa madini kusafirishwa kwenye nje ya nchi kulikuwa na mazungumzo yanaendelea kati ya Kampuni ya Acacia mining ( yenye Assets zinazozalisha nchini Tanzania tu kwa sasa - Buzwagi, Bulyanhulu na North Mara) na kampuni nyengine ya nchini Canada kuhusu Acacia kununuliwa Kwa USD 4.4bn. Mara baada ya amri hiyo mazungumzo yalivunjika na hivyo mauzo kutofanyika.
Iwapo Rais angechelewa kutoa kauli yake Kwa wiki moja tu mazungumzo yale yangepelekea mkataba wa mauzo kusainiwa na hivyo Serikali ingepata 20% ya thamani ya Mauzo Kama kodi ya Ongezeko la Mtaji ( capital gains tax ). Hivyo kauli ya Rais imesababisha hasara Kwa nchi yenye thamani ya USD 880m sawa sawa na shilingi 1.8 trilioni".

Watanzania amkeni huu usingizi wa pono.
Once Msaliti always msaliti. Hajui hata anachoongea.
 
Hivi Zitto anajua hizo janja za kuuziana makampuni huwa zinalenga nini? Anajua ambacho huwa serikali inapoteza/ inapigwa kwa janja hizo?

Hivi ameelewa kweli hayo makubaliano yaliyofikiwa kati ya serikali yetu na Barrick Company and their economic & financial implications to this nation? Hajui kweli kwamba hata kule tu makampuni haya kulazimishwa kuweka pesa yao kwenye mabenki yetu ya hapa nchini, shillingi yetu ita stabilize na serikali itapata kodi yake ya withholding tax kama ilivyo kawaida po pote duniani. Zitto hajui ajira za kudumu kwa watanzania zitakavyoongezeka kutokana na makubaliano hayo ambayo pia yameelekeza makao makuu ya kampuni hizo kujengwa Mwanza badala ya ku operate directly from London or Canada. Uchenjuaji utafanyika hapa hapa nk nk.

Zitti hakuelewa kweli kwamba hiyo $300 million waliyolipa ni ya uaminifu tu wa kuendelea na uchambuzi wa nyaraka za kifedha za miaka 16 kubainisha kiasi haswa za kodi walizokwepa au kudanganya. Kazi hii imepewa kamati ndogo na baada ya hapo kodi ambayo itakuwa itakuwa na vithibitisho vya kukwepwa watailipa.

Yaani kama Zitto hakuyaelewa haya basi ndiyo maana watu wamemkimbia kutoka kwenye lichama lake. Sasa kabaki peke yake anaweweseka.
 
Wewe ni Lumumba wa Congo eeh!
Unauliza uwepo wa Zitto kwenye hoja za madini,are you ok kweli au ni Zero brain?
Zitto alikuwepo kutafuta maslahi bora ya madini kwa watanzania wakati LUMUMBA ya Tanzania inamtoa nje bungeni.
Ni kama Tundu Lissu alivyotokwa na jasho huko kanda ya ziwa akiteteta wenyeji wa maeneo ya madini na Taifa linufaike,na kwa hoja zilezile tena za sasa ni dhaifu munakuja kumpigia mtu makofi aonekane ni mkombozi wakati Lumumba wenzio walikuwa watokwa na jasho kuzuia mijadala yebye maslahi na "masiah"akiwemo.
Tafuta watoto wenzio wa kuwaambia uchafu wako.
BABARI,
Mnondwe,Mbona unajichanganya ndugu mimi sijazumngumzia zitto wala lissu kabisa labda umechangaya post,Kaangalie tena alafu uje na post mpya, mimi zero brain sawa kwakuwa ni maneno yako siwezi kukuzuiya.
Mini kilichonikera ni mtu anapost kana kwamba kitendo alichokifanya Raisi ni kama alikuwa anapoteza muda na ile hoja ya kwamba eti tumepoteza 1.8 trillioni sio kweli kama kweli.
Ni watu wa ajabu sana Raisi amerekebisha mikataba mapaka sasa tunakwenda kunufaika nyie mlitaka afanye nini sasa.Hebu eleza nini ulitaka kifanyike usilaumu tu bila kutoa ushauri.Na kasome itikadi za LUMUMBA ndio uje tena hapa.
Hapa tunachokiongelea ni maslai ya taifa tunufaike na mali asili zetu ndio mada ya hapa sio lissu wala zitto.

LUMUMBA
 
Mwezi Machi 2017 niliwaambia Watanzania kuwa tumepoteza TZS 1.8 trilioni za kodi ya capital gains kwa maamuzi ya papara ya Rais kuhusu mchanga. Nilitukanwa Sana.

Leo tumeishia kupata TZS 640 bilioni ( 1/3 ya tulichokosa ). Mnashangilia Sana.

Nikiwaita Mazwazwa mnasema nawatukana.

Niliandika Machi 2017

" Amri ya Rais kuhusu 'Mchanga wa Dhahabu' imepotezea nchi Tshs 1.8trn Capital Gains Tax

Jana nilipokuwa natoa mada kuhusu miaka 50 ya Azimio la Arusha niliongelea pia suala la umakini wa viongozi katika kauli zao. Kwamba Kiongozi lazima ujue unatoa kauli gani wakati gani. Niliwaeleza wanachama na wageni wengjne katika mkutano wa ACT Wazalendo kuwa Amri ya kiholela aliyoitoa Rais John Magufuli kuzuia usafirishaji wa Mchanga wa Dhahabu imepelekea nchi yetu kupoteza USD 880m Kama kodi ya ongezeko la Mtaji kutokana na mauzo ya Acacia Mining.

Hivi sasa nchini kwetu kuna sheria ya kutoza 20% ya thamani ya mauzo iwapo kampuni zinauziana hisa. Tozo inayotozwa inaitwa Capital Gains Tax. Kodi hii mpya ilitungwa mwaka 2012 ili kukabili wawekezaji waliokuwa wanauziana makampuni juu Kwa juu bila Tanzania kupata lolote. Tanzania imeshafaidika na kodi hiyo Kwa mauzo mbali mbali ambayo yamekwisha fanyika kwenye sekta mbalimbali.

Wakati Rais anatoa AMRI kuhusu Mchanga wa madini kusafirishwa kwenye nje ya nchi kulikuwa na mazungumzo yanaendelea kati ya Kampuni ya Acacia mining ( yenye Assets zinazozalisha nchini Tanzania tu kwa sasa - Buzwagi, Bulyanhulu na North Mara) na kampuni nyengine ya nchini Canada kuhusu Acacia kununuliwa Kwa USD 4.4bn. Mara baada ya amri hiyo mazungumzo yalivunjika na hivyo mauzo kutofanyika.
Iwapo Rais angechelewa kutoa kauli yake Kwa wiki moja tu mazungumzo yale yangepelekea mkataba wa mauzo kusainiwa na hivyo Serikali ingepata 20% ya thamani ya Mauzo Kama kodi ya Ongezeko la Mtaji ( capital gains tax ). Hivyo kauli ya Rais imesababisha hasara Kwa nchi yenye thamani ya USD 880m sawa sawa na shilingi 1.8 trilioni".

Watanzania amkeni huu usingizi wa pono.
Inategemea unatoa ushauri kama ushauri au unatoa maelekezo, pia ni lazima utumie soft language pale unapoongea na kiongozi wako mkuu, unaweza ukawa na ushauri mzuri lakini ukashindwa kuutoa kwa kuwa na lugha taka.
 
nafikiri kwa mawazo yangu kila mabadiliko yana maumivu yake hivyo ifike wakati tukubali kupoteza tukiamini kuwa baadaye tutapata zaidi hatuwezi kusogea kama hatutaki kutake risk na hasa kwa kile tunachofikiri kinaweza kuwa na mafanikio.
kwangu mimi naamini hii ni hatua nyingine ya mafanikio katika madini ikifuata hatua za uboreshaji zilizofanya na Kikwete alipoingia madarakani. kila mtu atafanya kwa kiasi chake na ipo siku tutafika tunapotarajia. angalau mjadala huu wa makinikia umesaidia watu wengi zaidi kuelewa kuhusu secta ya madini kwa kiasi fulani na imepunguza maumivu ya kelele za kuona wanaibiwa na kujengewa imani kuwa kuna mafanikio siku zijazo.
hebu tukubali na tuendelee kutoa mawazo na maoni yetu zaidi nini kifanyike ili tuweze kufaidika zaidi katika hiki tulichonacho.
 
Kutoka Tir 484 za TRA hadi kiini macho cha good faith bil 600.

Ama kweli nchi inapiga hatua.
Tumefanikiwa kutengeneza wivu wa ukewenza.
Baada ya Lissu kung'ara wanazuka na common/usual/normal/of no impact/of no additional value/rhetorical stories ili kuwafumba macho watanzania.
Kama story za trilion 450 na Noah kila mtanzania zilivyokuwa maigizo, na haya ya jana ndo vioja zaidi.

Lugha nayo taaabu!!

Iko hivi....

Tanzania INA Kundi kubwa la wenye vyeti hata hivyo wenye uelewa ni 0.01%

Ni hasara
Serikali iliitangazia dunia kuwa Acacia ambao wanamiliki Barrick na Barrick inamiliki migodi ya North Mara , Buzwagi na Bulyanhulu kuwa ni majizi na wametuibia Triilion 450 sawa na Gari 2 aina ya Noah kwa Kila mtanzania ! Rais akatangaza kuwa Wamekubali kulipa matrillion yote !
Miezi 2 ya mazungumzo
Nilisema hapa kuwa kuna kitu kinaitwa Round table , negotiation na Bargaining pia Leo majibu yametoka kama ifuatavyo tutapewa billion 600 mkono wa uaminifu na mahusiano,16 % ya Barrick na 50% ya faida !
Jinsi tulivyo na Phd fake tunapiga makofiiii!!! Duuuu danganyika hii ni zaidi ya ile ya wakati wa Nyerere...
Ziko wapi triilion 450 tulizoambiwa wametuibia na wamekubali kutulipa??
Walioitwa wezi, Leo wanatoa mkono wa uaminifu na tunapokea kwa shangwe eti ni mafanikio!!!
Bilion 600 ndiyo trillion 450?

Hahahaaaha Hahhahahahaha!!!

Kumiliki 16% na faida 50% ni sawa na maneno ya khanga tu.
Nani hajui tuna 46% pale mwadui na hatujawahi pata hata 2% ya faida japo napo kuna makubaliano ya 50%
Iko wapi faida pale urafiki textile tuna hisa 50% na China ?
Iko wapi faida NBC tunakomiliki 48% ya hisa ! Iko wapi faida NMB tuliko na 40% ya. Hisa ?
Iko wapi faida Tazara tulipo na 50% ya share ? Mbona tulipata hasara ATCL tulipoingia hisa na south Africa air way 50% !
Iko wapi 50% ya Airtel????
ZIKO WAPIIIIII????
Tulizeni vichwa wadanganyika
 
Back
Top Bottom