Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,025
Mshikwa masaburi, lazima mdunde kama kitenesi
umeshapanic ehh??
Mshikwa masaburi, lazima mdunde kama kitenesi
Mlilolitenda limetimia.Mleta mada hajakosea ,huo ndiyo ukweli.
Kwa hiyo wewe mtangazaji wa Azam unakubali kabisa kuwa Rais na watendaji wake wote na CCM yote ni washamba na unakubaliana na Zitto? Kwanini usemi kwenye kipindi chako cha jioni? Wewe ndio sio mshamba? Wewe kwa hiyo una ujanja gani na chadema wenzio?....
Wewe unaona hii siyo hoja? Wapinzani wanapaswa kuwa kama Zitto, mnaweza kufikiri Zitto anajikomba kumbe ndivyo siasa inatakiwa kuendeshwa, roho mbaya ya Lissu, angeumia Zitto kweli angemsogelea?nch ina tatzo kubwa sana hii, itahtaj miaka 100 kwa baadh ya wat kuwa na mawazo na hoja zenye tija, we n hasara kwa taifa na familia yako pia
Maneno ya mfa maji haya, Zitto amewapa fundisho kubwa sana, Lissu alikomalia sana Zitto kufukuzwa Chadema, akipona hataamini kama Zitto hakujali yote hayo.Mlilolitenda limetimia.
Alimiminìwa na watu wasiojulikana, bakini na hisia kama waganga wa kienyejindiyo sababu mkamvamia Lissu kwa SMG??
Pamoja na hayo, kamwaibisha Lissu vibaya sana. Ameonesha msemo wa "Kwenye siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu" kwa viltendoMsaliti tu uwa anacheza mguu nje mguu ndani.
Swissme
Alimiminìwa na watu wasiojulikana, bakini na hisia kama waganga wa kienyeji
Nani amtafutie ulinzi binafsi? Chama chake au serikali? Kama ni serikali tayari ameshaitusi, sasa unategemea nini hapo? Tumia busara.ZITTO ATAFUTIWE ULINZI BINAFSI...I REPEAT,ZITTO AWEKEWE ULINZI.La sivyo we both know the outcome.
maneno ya. mfa maji. haya.nch ina tatzo kubwa sana hii, itahtaj miaka 100 kwa baadh ya wat kuwa na mawazo na hoja zenye tija, we n hasara kwa taifa na familia yako pia
Kwa maneno haya ZZK amefikia kikomo cha uvumilivu,amejitoa mhanga na sidhani kama anawazia tena kuhusu mke,watoto na marafiki (totally disconnected).Amefikia hatua ya mwisho ya uvumilivu na naamini hata ndani ya kamati hakuna kitu positive watapata.View attachment 592437
Ameandika haya dakika chache zilizopita katika mtandao wa Facebook.
"
Maneno ya Zitto:
Tumekabidhi nchi Kwa washamba na malimbukeni wa madaraka. Mihimili karibu yote ya dola letu inaongozwa na malimbukeni. ' wajanja ' wanalamba miguu ya washamba ili kuishi tu. Werevu wananyamazishwa, wanaitwa si Wazalendo. Wanapangiwa mauaji. Nchi imewashinda. Anguko kubwa la uchumi laja sababu ya maamuzi ya kishamba na kukosa maarifa. Hata hivyo watabaki werevu kadhaa na watarejesha nchi yetu kwenye mstari."
Aisee watu wamekasirika sana. Sijui kinachofata ni nini
Anazikwa lini !?.....yatakuwa ya kitaifa au kimataifa ?Mmemuua Lisu
Nyie mmemuua Lisu. Tubuni dhambi.maneno ya. mfa maji. haya.
Memuua Lisu.Anazikwa lini !?.....yatakuwa ya kitaifa au kimataifa ?
Umemsahau lemaZitto amekomaa kisiasa, Hakuna mtu mwenye siasa za chuki kama Lissu.
Swali zuri sana.Anazikwa lini !?.....yatakuwa ya kitaifa au kimataifa ?
Ana uhuru wa kusema chochote.Wakati huo huo, ZZK anaandika kuwa tumekabidhi nchi kwa _______________ na _________________
Zitto amewavua nguo hususan Lissu ambaye alifikiri kumuondoa Zitto chadema yeye angekuwa Mwenyekiti. Chadema ina wengewe na wenyewe wako kaskaziniUmewahi sana, au ndio upo so desperate, kwenda nairobi, kutengeneza matukio hakuna anayejali? Sasa hasira na chadema ya nini?Kwani ndio walikupa kazi ya usaliti na kudandia matukio ili uyapotoshe. Unaishi km ndege asiye na nyumba.Mtu usio na mizizi ardhini. Lazima kila upepo ukuosogeze.Umeona nini nairobi?