Toa maoni.Sawa,umeeleweka.
Toa maoni.Sawa,umeeleweka.
#NI YEYEToa maoni.
Zito anaongea kinyume, yeye ndie mshamba na mlimbukeni. Alifuata nini benki ya dunia? Hawakumsikiliza kwa unoko wake
@mkojo wa bhange leo ndo cku yenyewe are u alive?Napendekeza zitto apewe cheo cha unabii...haya hata mie nilikuwa nikiyawaza kitambo sana...malimbukeni na washamba walugaluga wamandavaku watu pori wanapopewa nchi kuongoza kwakweli ni shida na aibu kwa werevu.
No wonder nyerere knew this too and he forbid these intolerable guys from stepping into the throne.
MUNGU BABA NAOMBA UHAI NA AFYA NJEMA NIJIONEE YA HAWA WAJA...2020 KAMA MBALI SANA BUT I WILL HOLD ON STRONGLY AND BRAVELY.
Kweli kabisa yaaniKufungia mitandao ni ushamba na ulimbukeni
Kwani kipi kaongea uongo?Mnafiki tu huyu hana lolote
Hao wachache watakaorudisha nchi kwenye mstari ndio hawa akina Bi. Vasco?View attachment 592437
Ameandika haya dakika chache zilizopita katika mtandao wa Facebook.
Maneno ya Zitto:
"Tumekabidhi nchi Kwa washamba na malimbukeni wa madaraka. Mihimili karibu yote ya dola letu inaongozwa na malimbukeni. 'Wajanja' wanalamba miguu ya washamba ili kuishi tu. Werevu wananyamazishwa, wanaitwa si Wazalendo. Wanapangiwa mauaji. Nchi imewashinda. Anguko kubwa la uchumi laja sababu ya maamuzi ya kishamba na kukosa maarifa. Hata hivyo watabaki werevu kadhaa na watarejesha nchi yetu kwenye mstari"
Aisee watu wamekasirika sana. Sijui kinachofata ni nini