mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,583
- 11,659
Idadi ya wanasiasa wanaosema wametumwa na Mungu inaongezeka. Hii ni njia ya bei rahisi zaidi kuwahadaa na kuwalaghai masikini na watu wasiokuwa na elimu au uelewa. Silaha kubwa ya serikali na watawala wengi wa nchi za ulimwengu wa tatu ni ujinga wa raia wao.
".Msiwabomolee Nyumba Mwanza Hata Kama Walikosea Hawa Ndio Walinipa Urais."→ Magufuli
".Mtulia Ameangalia Akaona Watu Wanabomolewa Nyumba Zao Ameamua Ajiunge Na CCM Ili Wasiendelee Kubomolewa."→Paul Makonda
".Nchi Inaongozwa Na Washamba Na Malimbukeni Wa Madaraka."→Zitto
Katiba Ya Tanzania!!
mr mkiki.
".Msiwabomolee Nyumba Mwanza Hata Kama Walikosea Hawa Ndio Walinipa Urais."→ Magufuli
".Mtulia Ameangalia Akaona Watu Wanabomolewa Nyumba Zao Ameamua Ajiunge Na CCM Ili Wasiendelee Kubomolewa."→Paul Makonda
".Nchi Inaongozwa Na Washamba Na Malimbukeni Wa Madaraka."→Zitto
Katiba Ya Tanzania!!
mr mkiki.