Nitajulikana
JF-Expert Member
- Sep 20, 2017
- 328
- 355
Zitto alichokisema ni sahihi sema,tatizo lake hasimamii misimamo yake na hivyo haaminiki!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshamba ni ww wewe unamaarifa gani yakuiongoza nchi zaidi yakupinga kila kitu na ujue ulikuwa kwenye kamati ya madini ulienda buzwagi hukuonesha madudu yaliyokuwa yanafanyika Leo hii unaiponda serikali Kwa lipi tulia dawa ikuingie acha serikali ifanye kazi cc huku tunaona pouwa tu kwasababu hatukuzoea vya kunyonga ,kama ulikuwa unapata madili c kipindi hiki na kudhihilisha HVO hata chama ulichokianzisha na washirika wako wengi wamekikimbia baada yakuona hakina Tija kwenye taifa kipo Kwa ajili ya masilahi binafsi ,na nukuu mama Anna mwighulwa alisema HV upinzani niwakupinga kila kitu hata kama ni swala la maendeleo ,utaisoma namba utazdi kukimbiwa na wanachama wameshaona umebeki unalalama kwenye mitandao tuView attachment 592437
Ameandika haya dakika chache zilizopita katika mtandao wa Facebook.
"
Maneno ya Zitto:
Tumekabidhi nchi Kwa washamba na malimbukeni wa madaraka. Mihimili karibu yote ya dola letu inaongozwa na malimbukeni. ' wajanja ' wanalamba miguu ya washamba ili kuishi tu. Werevu wananyamazishwa, wanaitwa si Wazalendo. Wanapangiwa mauaji. Nchi imewashinda. Anguko kubwa la uchumi laja sababu ya maamuzi ya kishamba na kukosa maarifa. Hata hivyo watabaki werevu kadhaa na watarejesha nchi yetu kwenye mstari."
Aisee watu wamekasirika sana. Sijui kinachofata ni nini
Yeye mwenyewe limbukeni!View attachment 592437
Ameandika haya dakika chache zilizopita katika mtandao wa Facebook.
"
Maneno ya Zitto:
Tumekabidhi nchi Kwa washamba na malimbukeni wa madaraka. Mihimili karibu yote ya dola letu inaongozwa na malimbukeni. ' wajanja ' wanalamba miguu ya washamba ili kuishi tu. Werevu wananyamazishwa, wanaitwa si Wazalendo. Wanapangiwa mauaji. Nchi imewashinda. Anguko kubwa la uchumi laja sababu ya maamuzi ya kishamba na kukosa maarifa. Hata hivyo watabaki werevu kadhaa na watarejesha nchi yetu kwenye mstari."
Aisee watu wamekasirika sana. Sijui kinachofata ni nini
Kwa hiyo wewe mtangazaji wa Azam unakubali kabisa kuwa Rais na watendaji wake wote na CCM yote ni washamba na unakubaliana na Zitto? Kwanini usemi kwenye kipindi chako cha jioni? Wewe ndio sio mshamba? Wewe kwa hiyo una ujanja gani na chadema wenzio?....100% Correct !
Huu ni ukweli mchungu!
Washamba nyinyi mnaopapatikia wenye pesa, kama wale dada poa ambao wakisikia mlio wa honi ya gari wanalikimbilia, kumbe mwenye gari anampigia mbwa ili avuke upesi.Ujumbe uwafikie
@kabombe,Phillipo Bukililo ,@lizaboni,Wakudadavuwa ,Ruttashobolwa ,na kundi lote la washamba na malimbukeni
Wasukuma wamezoea kuzurura maporini na mifugo,wagogo ni ombaomba maarufu nchini hata kutoa nzi kwenye macho ilibidi wasaidiwe na serikali,jamii za hovyo kabisa na disgrace kwa nchi,sijisikii raha kuitwa mtanzania na hili kundi pia nalo likijiita watanzaniaWashamba nyinyi mnaopapatikia wenye pesa, kama wale dada poa ambao wakisikia mlio wa honi ya gari wanalikimbilia, kumbe mwenye gari anampigia mbwa ili avuke upesi.
Yule ambao kaka TL alikuwa anamkejeli wakati akiwa na cheo kikubwa serikalini ndio ambaye baadae akawa anaamka asubuhi na mapema kwenda kumpelekea reports za maendeleo ya kampeni!!.
Nyinyi sio tu kwamba ni washamba na malimbukeni bali mnayo bei, ambayo mzee wa Monduli aliiona na akaamua kuwanunueni jumla jumla.
Ushamba wala ulimbukeni si matusi! Unless ujenge hoja za kujifurahisha..hata hivyo, alicho kisema Zitto ni maoni na mtazamo wake vile vile ni wajibu wake kikatiba kama Mtanzania!Kwa hiyo wewe mtangazaji wa Azam unakubali kabisa kuwa Rais na watendaji wake wote na CCM yote ni washamba na unakubaliana na Zitto? Kwanini usemi kwenye kipindi chako cha jioni? Wewe ndio sio mshamba? Wewe kwa hiyo una ujanja gani na chadema wenzio?....
Kama kawaida yakeUmemshtukia mekuu !
Na uzuri analetaga changamoto zenye Mashiko.Ndio maana Mimi huwa namkubali sana Lissu,hata kama jambo likifanyika zuri yeye anabaki kulipa changamoto tu. Yeye hakopeshi sijui nini.
Kamata kamata ya wabunge namna hii sio nzuri....... inakera sana, eti mwisho ni kuojiwa tu basi!...... nguvu zote hizo za nini sasa?Nasikia kashakamatwa tayari
Nikweli ila pamoja na hayo, maneno yake yanaendana na ukweliZitto kwa tactics za siasa anajitahidi sana, anajua anachokifanya! Chama chake bado kichanga na sasa kwa kauli hizi anaanza kurecruit baadhi ya bavicha ktk bandwagon yake. Anachofanya ni kuandika tu kitu wanapenda sikia wanamfuata wote!!
Werevu kamwe hatunasi huu mtego!